dagaa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 290
- 382
- Thread starter
- #21
ndo mana unaambiwa dunia inaenda kasi, kwa na ndo maana protection zipo.Unasema mko makini na mchepuko wako kuhusu maradhi?lakini unakubali kwa mkewe hafanyi kama anavyofanya kwako?na mkewe akiwa na mchepuko wake wa kumkuna kwa siri?na huo mchepuko wa mkewe nao kama una mke ambae nae ana mchepuko?bado sijamzungumzia mumeo na mchepuko wake na mchepuko wa mchepuko wa mumeo