Mchepuko amekomalia hataki ndoa ifanyike

Safi sana tena huyo dada hajakomaa vizuri,
utakuta hapo alikua anamwambia mchepuko i love you i'll marry you etc
leo hii anambadilikia na ningekua mie huyo mchepuko namwaribia mpaka kwa mke mtarajiwa,
wanaume jifunzeni kutuliza dushelele zenu,

Nyiny mbona hamjifunz kutuliza papuch zenu??...Mnayataka wenyewe kisha mnaanza kulalama
 
Ni shidaaaaaaaaaa. sasa kampatia mchepuko mimba anataka akaolewe na nani?
Mi naona bora aendele na mchepuko akiwa na naafasi ile ile ya mchepuko ili naye apate huduma huku naye wife akichukua nafasi yake makao makuu.
 
angekuwepo shemeji hapa angekuumua bonge la kibao.."weh, acha uwongo nimekuta watu walishazindua"...kwikwikwiii!
Kwani responsibility kwa mimba ni kuowa? kuowa ni responsibility kwa "mke", responsibility kwa mimba ni kulea.

Yupo..nimuite atoe ushuhuda?
 
mkuu, dini yake hairuhusu kuoa wake wengi na anadai hana mapenzi na mchepuko(alikuwa wa kuzugia)

Ht mimi nisingekubalI...unifanye wa kuzugia.?? Bora angemtaarifu tangu mwanzo kuwa hapa tunasogeza siku tu...mbona hiyo ipo sana tuu...wangekubaliana before..tena ana mimba heee...ndo kbsaa..bora asingekuwa nayo
 

jamaa alitaka kumficha ila baada ya binti kumwambia ana mimba ikabidi amueleze kuwa anataka kuoa. hapo ndio mchepuko amekomaa haiwezekani ndoa ifanyike wakati yeye yupo. nadhani jamaa hakuwahi kumweleza dada kama ana mchumba.
 

mkuu waambie waelewe.
 
Mpaka mimba bado siyo ukweli? Na nyie muwe siriaz siyo kuchezea watoto wetu. Hapo ni pingamizi tu.

mimba sio kigezo kuwa kuna mapenzi ya kweli. halafu siku hizi mnalengeshea bana.
 
Safi sana tena huyo dada hajakomaa vizuri,
utakuta hapo alikua anamwambia mchepuko i love you i'll marry you etc
leo hii anambadilikia na ningekua mie huyo mchepuko namwaribia mpaka kwa mke mtarajiwa,
wanaume jifunzeni kutuliza dushelele zenu,

umeongea ukweli dada ila sio kila me anayetamka" i love you" anamaanisha wengine wanatafuta kwa kupoozea.
 
Ni shidaaaaaaaaaa. sasa kampatia mchepuko mimba anataka akaolewe na nani?
Mi naona bora aendele na mchepuko akiwa na naafasi ile ile ya mchepuko ili naye apate huduma huku naye wife akichukua nafasi yake makao makuu.

mkuu mchepuko hataki.nafasi ya mchepuko. anataka aolewe yeye.
 

Aoe mchepuko tu. Madhara ya dhambi ni mauti.
 

tatizo mchepuko unaofia matunzo so wakae mchepuko aseme anataka sh.lets m20 afu aache hao malaya wafunge ndoa maana huyo unaemsema mchepuko ndo mke haris huyo wa masomon ndo mchepuko
 
kwanini mkuu? ifike mahali wanawake mjue kutofautisha kati ya mapenzi ya kweli na uongo. msikurupuke

Alivyo mtia mimba akujua kama hana mapenzi nae?Mi mwenyewe ninge wafanya wajute maisha yao yote mi mtoto wangu ndo akose baba????

Alafu mbona siku hizi mambo hadharani unamwambia kabisa mi nna mtu yuko masomoni nataka kampani yako.na mtu anaelewa tu.tatizo la kuficha ficha ndo hiloooo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…