mutant gene
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 876
- 326
Jamaa ana mpenzi wake wa long time kitambo. msichana alikuwa nje ya nchi kimasomo mawasiliano na maelewano kama kawaida(kiufupi wanapenda sana). walipanga mchumba akimaliza wafunge ndoa. mchumba amerudi ndoa tarehe 28/9.
wakati mchumba yupo masomoni jamaa akaona si mbaya kutafuta wa kuzugia(mchepuko).
Mpaka sasa mchepuko anadai ana mimba ya jamaa na anasisitiza kuwa ndoa haitafungwa na hata ikifungwa hawataishi pamoja atamuua jamaa.
Jamaa analia kama demu hajui afanye nini anaona kama mchepuko anaingilia mapenzi yake hivi.
Mimi kama rafiki nimeshindwa kumshauri ila nikaona si mbaya kuwashirikisha wana MMU tumsaidie ushauri kijana wenzetu afanye nini?
wakati mchumba yupo masomoni jamaa akaona si mbaya kutafuta wa kuzugia(mchepuko).
Mpaka sasa mchepuko anadai ana mimba ya jamaa na anasisitiza kuwa ndoa haitafungwa na hata ikifungwa hawataishi pamoja atamuua jamaa.
Jamaa analia kama demu hajui afanye nini anaona kama mchepuko anaingilia mapenzi yake hivi.
Mimi kama rafiki nimeshindwa kumshauri ila nikaona si mbaya kuwashirikisha wana MMU tumsaidie ushauri kijana wenzetu afanye nini?