Mchemsho wa TANESCO? Nchi nzima haina umeme

Ningependa tuwe wakali kwenye hii issue kama tulivyokuwa wakali kwenye issue ya 'kukatika' kwa mafuta.
 
Invi... upo sawa mkuu manake two hours sasa na huku madongo kuinama kwetu bado kweusi aisee..... Kama ni nchi nzima basi kazi ipo yakhe manake inawezekana ikawa yale ya usiku kucha....... Duh, TANESCO, RIP!
 
Ningependa tuwe wakali kwenye hii issue kama tulivyokuwa wakali kwenye issue ya 'kukatika' kwa mafuta.

Kwani hawa wamekata umeme baada ya kuambiwa na EWURA washushe bei?. Hebu naomba ufafanuzi bandungu.

Na poleni sana najua hata kujibu itakuwa ngumu kwani computer zitakuwa zimezima labla wale wa majereta.
 
Mkuu Invi...., duh wameanza na singida.... wanafuata alphabetic order au order ya kukatika.... ha ha haaaaa...... 48 years za uhuru, Mungu Ibariki Tanzania!! Wale wa Arusha watakuwa wa mwisho, ha ha haaaaa.... manake wameanzia kule kwenye "S" then warudi mbele, ha ha haaa!!!
 
Hivi kwani mfumo wa umeme wa TANESCO upoje? yaani kutoka source za Mtera, Kidatu, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Songas nk umeunganishwa kwenye switch moja? mimi nilidhani kila sorce inasupply maeneo yake na switch zipo tofauti, hivyo kuepusha kukatika nchi nzima kama kunatatizo eitheir kwenye source au switch moja.
 
Tanesco wanataka ku justify ununuzi wa iptl na dowans....deal hili tusikubaliii...
 
Kwani hawa wamekata umeme baada ya kuambiwa na EWURA washushe bei?. Hebu naomba ufafanuzi bandungu.

Na poleni sana najua hata kujibu itakuwa ngumu kwani computer zitakuwa zimezima labla wale wa majereta.

Bora hao wahindi na waarabu waliogoma kuuza kiwese chao kwa maslahi binafsi! Huu ni uzembe tu na sioni hata ni kwa maslahi ya nani!
 
Bora hao wahindi na waarabu waliogoma kuuza kiwese chao kwa maslahi binafsi! Huu ni uzembe tu na sioni hata ni kwa maslahi ya nani!

maslahi ya chama..epa imegundulika sasa wanatumia mashirika kutafuta hela za kampeni! jus watch!
 
I bet... Tuone kukicha Bongo watakuja na sababu gani. Mitambo hii inaelekea HAIKWEPEKI kwa wakati huu

Singida inapata umeme toka chanzo gani?

Ukiachia mbali hiyo mitambo, Kihansi na Kidatu hydro power plants ndio tegemeo kwenye peak hours kama hizi. Hata pale Kidatu au mitambo inapolegalega, Kihansi huwa wanaweza kuhimili at least kuzalisha umeme kupeleka kwenye grid ya Taifa na kuwezesha baadhi ya sehemu ya nchi kupata umeme.

Vyanzo vyote vya umeme vinapouzalisha, umeme lazima uingie pia kwenye grid ya Taifa ndio uwe supplied kwa wateja.

Hivyo tatizo linaweza kuwa kwenye grid system in general ndipo nchi nzima ikose umeme (vinginevyo inamaanisha vyanzo vyote vya umeme havifanyi kazi)
I stand to be corrected.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom