Sasa Raisi asipowajibisha mtu hapo nitaona kwa kweli yeye ndio awajibike. Huu ni upuuzi. Au ma Co-president wanafanya mambo?
Lazima kwa mwendo huu mitambo ya Dowans inunulike tu!
Nchi nzima haina umeme ninapoandika dakika hii...
Kaazi kwelikweli
Lusajo, Rais hahusiki wala msimlaumu. Yeye ni 'Rais' tu
Nchi nyingine hali kama hii inaweza pelekea cabinet/congress/UWT kuhaha kutafuta maelezo kwa wahusika iweje umeme ukatike nchi nzima. Lakini Tanzania ambayo Rais wake uonesha kutojihusisha na masuala yenye kuathiri uchumi/ustawi wa nchi litapita kimya kimya kama vile nchi haina wenyewe.In leadership everything is your fault.
Kama yeye anaweka mabwege na wanasababisha haya ni kosa la nani.This can not happen ..........nchi nzima inakosa umeme.
Wanataka support ya wanainch kununua magenerator au kunauzembe umetokea ? yote haya ni Rais anahusika kulaumiwa.Kupunguza lawama ni kuwajibisha watu husika