Kwanini TANESCO isivunjwe?

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,319
12,622
Hakuna umeme hata dar es salaam, viwanda, majumbani na kwenye biashara hakuna umeme, ni shida na hasara ya matrilion inapatikana: Mvua zinanyesha nchi nzima, mabwawa yamejaa na mafuriko kila kona ya nchi. Kwanini umeme hakuna?

Kipindi cha ukame mnasingizia mabwawa yamekauka na mabwawa yakijaa unasingizia miundombinu mibovu na hakuna anaeonekana kusikitishwa kwaajili ya nchi kukosa umeme. Kwa kipindi kirefu tunaambiwa kuwa maji yaliyoingia bwawa la nyerere yanamudu kuwasha mashine ya kufua umeme, baada ya hapo mvua zikaendelea kujaza mito na mabwawa hadi mafuriko kutokea, lakini unamsikia kiongozi anasema labda mwezi February 2024 ndio mashine ya kwanza inaweza kuwashwa ili kufua umeme, maneno na kauli ambayo haionyeshi kuwa kuna udharura wa upatikanaji wa umeme nchini. yaani hakuna userious wowote kwenye kauli wala muonekano wa msemaji, hovyo.

Shida ni nini, muundo wa tanesco, wafanyakazi wa tanesco, viongozi wa tanesco, wizara ya nishati au serikali nzima?
 
Kwani yule naibu waziri mkuu kashindwa kuziondoa changamoto za umeme?

Si.mlisema Makamba hawezi aondoke ili aingia mtu mahiri (sukuma gang ) mwenzenu mambo yatakuwa sawa?

Haya Sasa mvua zinanyesha mpk milima inaporomoka lkn umeme ni wa mgawo. Na sukuma gang Biteko yupo tu katiba macho.


Never and never again kwa sukuma gang.
 
Nchi imeangukia kwa wafanyabiashara wa mafuta, solar, gas na magenereta pamoja na vipuri vyake, usitegemee mabadiliko ndani ya serikali ya CCM, wako wamiliki wa mabasi huko huko CCM ndo mana mpaka nauli zinapanda.
Kataa CCM na upinzani kwa maendeleo ya nchi,. Vijana wa 90's tunahitaji kuunda chama pinzani Cha ukweli sio njaa.
 
Hakuna umeme hata dar es salaam, viwanda, majumbani na kwenye biashara hakuna umeme, ni shida na hasara ya matrilion inapatikana: Mvua zinanyesha nchi nzima, mabwawa yamejaa na mafuriko kila kona ya nchi. Kwanini umeme hakuna?

Kipindi cha ukame mnasingizia mabwawa yamekauka na mabwawa yakijaa unasingizia miundombinu mibovu na hakuna anaeonekana kusikitishwa kwaajili ya nchi kukosa umeme. Kwa kipindi kirefu tunaambiwa kuwa maji yaliyoingia bwawa la nyerere yanamudu kuwasha mashine ya kufua umeme, baada ya hapo mvua zikaendelea kujaza mito na mabwawa hadi mafuriko kutokea, lakini unamsikia kiongozi anasema labda mwezi February 2024 ndio mashine ya kwanza inaweza kuwashwa ili kufua umeme, maneno na kauli ambayo haionyeshi kuwa kuna udharura wa upatikanaji wa umeme nchini. yaani hakuna userious wowote kwenye kauli wala muonekano wa msemaji, hovyo.

Shida ni nini, muundo wa tanesco, wafanyakazi wa tanesco, viongozi wa tanesco, wizara ya nishati au serikali nzima?
Moyo na roho yangu vinaniambia kuwa ukosefu wa umeme nchini ni wa kutengenezwa kwa ajili ya neema ya wakubwa. Kuna biashara iliyojificha nyuma ya ukosefu huu wa umeme!
 
Kwani yule naibu waziri mkuu kashindwa kuziondoa changamoto za umeme?

Si.mlisema Makamba hawezi aondoke ili aingia mtu mahiri (sukuma gang ) mwenzenu mambo yatakuwa sawa?

Haya Sasa mvua zinanyesha mpk milima inaporomoka lkn umeme ni wa mgawo. Na sukuma gang Biteko yupo tu katiba macho.


Never and never again kwa sukuma gang.
kwanini wakati wa kiangazi wakati hakuna umeme kwenye waya wasingeutumia muda huo kurekebisha miundombinu kama shida ni miundombinu? mfano, Sioni sababu serikali kununua magoli ya simba na yanga na kuandaa afcon badala ya kutumia fedha hiyo kwenye kuimarisha umeme/uchumi kwanza. Maana umeme wa kutosha na madhubuti utaingiza fedha nyingi sana kuliko mashindano ya afcon.
 
Hakuna umeme hata dar es salaam, viwanda, majumbani na kwenye biashara hakuna umeme, ni shida na hasara ya matrilion inapatikana: Mvua zinanyesha nchi nzima, mabwawa yamejaa na mafuriko kila kona ya nchi. Kwanini umeme hakuna?

Kipindi cha ukame mnasingizia mabwawa yamekauka na mabwawa yakijaa unasingizia miundombinu mibovu na hakuna anaeonekana kusikitishwa kwaajili ya nchi kukosa umeme. Kwa kipindi kirefu tunaambiwa kuwa maji yaliyoingia bwawa la nyerere yanamudu kuwasha mashine ya kufua umeme, baada ya hapo mvua zikaendelea kujaza mito na mabwawa hadi mafuriko kutokea, lakini unamsikia kiongozi anasema labda mwezi February 2024 ndio mashine ya kwanza inaweza kuwashwa ili kufua umeme, maneno na kauli ambayo haionyeshi kuwa kuna udharura wa upatikanaji wa umeme nchini. yaani hakuna userious wowote kwenye kauli wala muonekano wa msemaji, hovyo.

Shida ni nini, muundo wa tanesco, wafanyakazi wa tanesco, viongozi wa tanesco, wizara ya nishati au serikali nzima?
CCM ndo tatizo
 
Hakuna umeme hata dar es salaam, viwanda, majumbani na kwenye biashara hakuna umeme, ni shida na hasara ya matrilion inapatikana: Mvua zinanyesha nchi nzima, mabwawa yamejaa na mafuriko kila kona ya nchi. Kwanini umeme hakuna?

Kipindi cha ukame mnasingizia mabwawa yamekauka na mabwawa yakijaa unasingizia miundombinu mibovu na hakuna anaeonekana kusikitishwa kwaajili ya nchi kukosa umeme. Kwa kipindi kirefu tunaambiwa kuwa maji yaliyoingia bwawa la nyerere yanamudu kuwasha mashine ya kufua umeme, baada ya hapo mvua zikaendelea kujaza mito na mabwawa hadi mafuriko kutokea, lakini unamsikia kiongozi anasema labda mwezi February 2024 ndio mashine ya kwanza inaweza kuwashwa ili kufua umeme, maneno na kauli ambayo haionyeshi kuwa kuna udharura wa upatikanaji wa umeme nchini. yaani hakuna userious wowote kwenye kauli wala muonekano wa msemaji, hovyo.

Shida ni nini, muundo wa tanesco, wafanyakazi wa tanesco, viongozi wa tanesco, wizara ya nishati au serikali nzima?
Unauliza shida ni nini!! Ina maana kweli hufahamu?

Ufahamu kuwa taasisi zote za Serikali ambazo kimsingi zinahitaji utaalam, maarifa, na nidhamu, watu wanapewa kwa kuangalia ukada wao kwa CCM.

Na kwa kadiri ya utafiti wa kitaalam uliofamywa na TWAWEZA ulionesha wazi CCM imejaa watu wajinga. Na wajinga wakiyapata madaraka wapo tayari hata kuua wabakie madarakani maana uwezo wao wa kujitegemea kutumia akili na maarifa ni zero.

Tumekubali taasisi zetu na hata Serikalini, kuongozwa na watu wenye uwezo mdogo wa akili na maarifa, unatarajia nini? Hapo ndiyo uwezo wao ulipofikia.

Kama laiti TANESCO, bodi na hata Waziri, wote wangekuwa ni watu wenye uwezo mkubwa wa akili na maarifa, Tanzania ingeongoza kwa kuwa na umeme wenye uhakila kuliko nchi zote kusini mwa Afrika. Tuna kila kitu, halafu tumekosa tu viongozi wa taasisi hizi wenye upeo mkubwa.

Suala la umeme ni la kisayansi, lakini sisi tunawapeleka wapiga domo wakaoongoze wizara. Kuamzia January mpaka huyu wa sasa, wote ni wapiga hadithi.
 
Hakuna umeme hata dar es salaam, viwanda, majumbani na kwenye biashara hakuna umeme, ni shida na hasara ya matrilion inapatikana: Mvua zinanyesha nchi nzima, mabwawa yamejaa na mafuriko kila kona ya nchi. Kwanini umeme hakuna?

Kipindi cha ukame mnasingizia mabwawa yamekauka na mabwawa yakijaa unasingizia miundombinu mibovu na hakuna anaeonekana kusikitishwa kwaajili ya nchi kukosa umeme. Kwa kipindi kirefu tunaambiwa kuwa maji yaliyoingia bwawa la nyerere yanamudu kuwasha mashine ya kufua umeme, baada ya hapo mvua zikaendelea kujaza mito na mabwawa hadi mafuriko kutokea, lakini unamsikia kiongozi anasema labda mwezi February 2024 ndio mashine ya kwanza inaweza kuwashwa ili kufua umeme, maneno na kauli ambayo haionyeshi kuwa kuna udharura wa upatikanaji wa umeme nchini. yaani hakuna userious wowote kwenye kauli wala muonekano wa msemaji, hovyo.

Shida ni nini, muundo wa tanesco, wafanyakazi wa tanesco, viongozi wa tanesco, wizara ya nishati au serikali nzima?
Ni maslahi binafsi tu hakuna kingine kwanini wasigawe shirika kama walivyofanya kwenye maji kila mkoa ukajitegemea na tanesco yk mf. Dar ikaitwa danesco, mwanesco na n.k hii ingebadili kidogo uendeshaji wa hili shirika na hata wawekezaji wa nishaji wa kweli wangewekeza kwa wingi..
 
Moyo na roho yangu vinaniambia kuwa ukosefu wa umeme nchini ni wa kutengenezwa kwa ajili ya neema ya wakubwa. Kuna biashara iliyojificha nyuma ya ukosefu huu wa umeme!
Na
Niliagiza samaki kutoka mwanza wote wameharibika, ni upuuzi mtupu, maana kuwasha generator usiku kucha kupoza samaki na juice kwenye majokofu ni ghali sana.
Na ndio ukawa unawaponda wanaoenda kutafuta maisha nje kwenye nchi zinazoeleweka.

Hiyo bado mpaka siku mlitoe joka linaloitwa CCM.
 
Unauliza shida ni nini!! Ina maana kweli hufahamu?

Ufahamu kuwa taasisi zote za Serikali ambazo kimsingi zinahitaji utaalam, maarifa, na nidhamu, watu wanapewa kwa kuangalia ukada wao kwa CCM.

Na kwa kadiri ya utafiti wa kitaalam uliofamywa na TWAWEZA ulionesha wazi CCM imejaa watu wajinga. Na wajinga wakiyapata madaraka wapo tayari hata kuua wabakie madarakani maana uwezo wao wa kujitegemea kutumia akili na maarifa ni zero.

Tumekubali taasisi zetu na hata Serikalini, kuongozwa na watu wenye uwezo mdogo wa akili na maarifa, unatarajia nini? Hapo ndiyo uwezo wao ulipofikia.

Kama laiti TANESCO, bodi na hata Waziri, wote wangekuwa ni watu wenye uwezo mkubwa wa akili na maarifa, Tanzania ingeongoza kwa kuwa na umeme wenye uhakila kuliko nchi zote kusini mwa Afrika. Tuna kila kitu, halafu tumekosa tu viongozi wa taasisi hizi wenye upeo mkubwa.

Suala la umeme ni la kisayansi, lakini sisi tunawapeleka wapiga domo wakaoongoze wizara. Kuamzia January mpaka huyu wa sasa, wote ni wapiga hadithi.
Umeuaaaa
 
Hakuna umeme hata dar es salaam, viwanda, majumbani na kwenye biashara hakuna umeme, ni shida na hasara ya matrilion inapatikana: Mvua zinanyesha nchi nzima, mabwawa yamejaa na mafuriko kila kona ya nchi. Kwanini umeme hakuna?

Kipindi cha ukame mnasingizia mabwawa yamekauka na mabwawa yakijaa unasingizia miundombinu mibovu na hakuna anaeonekana kusikitishwa kwaajili ya nchi kukosa umeme. Kwa kipindi kirefu tunaambiwa kuwa maji yaliyoingia bwawa la nyerere yanamudu kuwasha mashine ya kufua umeme, baada ya hapo mvua zikaendelea kujaza mito na mabwawa hadi mafuriko kutokea, lakini unamsikia kiongozi anasema labda mwezi February 2024 ndio mashine ya kwanza inaweza kuwashwa ili kufua umeme, maneno na kauli ambayo haionyeshi kuwa kuna udharura wa upatikanaji wa umeme nchini. yaani hakuna userious wowote kwenye kauli wala muonekano wa msemaji, hovyo.

Shida ni nini, muundo wa tanesco, wafanyakazi wa tanesco, viongozi wa tanesco, wizara ya nishati au serikali nzima?
Ikivunjwa ndio umeme hautakatika ? Tuache ujingaa......tukomae serikali iwe setious kuwekeza miundo mbinj kisasa tuweze kufikia .....sehemu umeme ukatile only sababu maintenance sio kuvunjaa tuache siasaa
 
Unauliza shida ni nini!! Ina maana kweli hufahamu?

Ufahamu kuwa taasisi zote za Serikali ambazo kimsingi zinahitaji utaalam, maarifa, na nidhamu, watu wanapewa kwa kuangalia ukada wao kwa CCM.

Na kwa kadiri ya utafiti wa kitaalam uliofamywa na TWAWEZA ulionesha wazi CCM imejaa watu wajinga. Na wajinga wakiyapata madaraka wapo tayari hata kuua wabakie madarakani maana uwezo wao wa kujitegemea kutumia akili na maarifa ni zero.

Tumekubali taasisi zetu na hata Serikalini, kuongozwa na watu wenye uwezo mdogo wa akili na maarifa, unatarajia nini? Hapo ndiyo uwezo wao ulipofikia.

Kama laiti TANESCO, bodi na hata Waziri, wote wangekuwa ni watu wenye uwezo mkubwa wa akili na maarifa, Tanzania ingeongoza kwa kuwa na umeme wenye uhakila kuliko nchi zote kusini mwa Afrika. Tuna kila kitu, halafu tumekosa tu viongozi wa taasisi hizi wenye upeo mkubwa.

Suala la umeme ni la kisayansi, lakini sisi tunawapeleka wapiga domo wakaoongoze wizara. Kuamzia January mpaka huyu wa sasa, wote ni wapiga hadithi.
Kalemani alipwaweza sn jamaa wakaona wamchomoe waweke mla rushwa, wakamtoa mla rushwa wameweka MC wa Ikulu sahivi kutwa anazunguka kwenye events za serikali badala ya kushughulikia umeme
 
Na

Na ndio ukawa unawaponda wanaoenda kutafuta maisha nje kwenye nchi zinazoeleweka.

Hiyo bado mpaka siku mlitoe joka linaloitwa CCM.
Kila nchi kuna wapumbavu wake. Kule magharibi na marekani kuna mfumoko mkubwa wa bei za vitu kwasababu ya upumbavu wao, kuna homeless wengi kuliko huku. Huku tz kuna ujinga mkubwa kama huu wa umeme unaokatika bila wahusika kujali maisha ya majumbani, maofisini, mitaani nyakati za usiku, viwandani na kwenye biashara na huduma zinazotegemea uwepo wa umeme. Kukatika kwa uwewe kuna watu wengi sana wanapoteza maisha au kuahirishiwa matibabu, kuna viwanda vinafungwa na wafanyakazi kukaa bure au kuondoka kwenda nyumbani, kuna mitaji ya wauza juice, mabarafu, samaki na hata vipindi vyuoni kuahirishwa. Ni upuuzi tu kaka lakini dawa yake sio kuikimbia nchi bali kuliondoa tatizo kwa mikono, sauti, maandishi yetu na akili zetu. Kuwaondoa wasiofanya vizuri na kuwaweka watu wanaokerwa na hali ya mambo inapokwenda vibaya. Fikiria watu wanapumbazwa na vitu vidogo kama kununua magoli na kusahau shida ya umeme. Utafurahi vipi kushangilia goli uwanjani wakti ukirudi mtaani na nyumbani kwako kuna giza totoro.
 
Back
Top Bottom