Mchele wa plastic; Clouds Fm yaiumbua TFDA


Kwanza unaodunda kama mpira si mchele ni wali.

Hao mapunguani wangechukuwa wali wa mchele mpya uliotoka kukobolewa mashine waone unavyodunda.

Hawajuwi mchele hao, usikute chakula mama kwao ni matoke.
 
Hzo Redio Za Watangazaj Wa Std7 Na Form4 Failure Znashda Sana. Kwa Mtu Mwenye Ufaham Mdogo Tu Wa Chemistry Hawez Kushupalia K2 Accho Na Utafit Nacho. Kuna Cku Walikuwa Wanajadili Jiko Litakalo Kuwa Linatumia Makaa Ya Mawe Badala Ya Mkaa Wa Kawaida, Yaan Vihoja, Km Mtu Huna K2 Kchwan Bora Kukaa Kmya Kuliko Kutumia Media Kuonyesha Ulivokimbia Shule. Ukihoj Watakwambia Kutangaza Kipaji.
 
Yes imeandikwa hivyo kwa sababu aliyepost hiyo video youtube ni mwanadamu kama mm na ww, na uzuri wa youtube wamekupa uhuru wa kupost chochote kiwe fake au original.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahah hata siku hiyo nilicheka sana yani tatizo wanataka kujadili jambo hata ambalo hawana uelewa nalo...
Halafu mambo mengine wanayo yapotosha ni ya kijinga ambayo hayahitaji elimu kujua kuwa ni uongo....
 
Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
....Mkuu sema tuu waongeze more parameters, lakini elasticity ni one property of the plastic materials

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu Elimu Elimu, wanga(starch) unatabia ya kushika vitu kama gundi. Sioni shida mchele ukidunda. Labda swali lingine jepesi ni hili, ukitengeneza mchele wa plastiki gharama yake inaweza kuwa chini ya bei ya mchele wa kawaida ukijumlisha na usafirishaji ?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu Elimu Elimu, wanga(starch) unatabia ya kushika vitu kama gundi. Sioni shida mchele ukidunda. Labda swali lingine jepesi ni hili, ukitengeneza mchele wa plastiki gharama yake inaweza kuwa chini ya bei ya mchele wa kawaida ukijumlisha na usafirishaji ?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu rudia tena kusoma comment uliyoiquote, ina majibu yote ya maswali yako!

- KANA -
 


Binafsi siwaamini kabisa hawa wauza sembe, wana vitu vya hajabu sana kama vile kuua wasanii na kusambaza sembe kila kona ya dunia. Usikute huu mchele umetengenezwa na wao wenyewe, wakaukamata ili wapate ujiko na jamii iwachukulie kuwa wanatujali. Sina imani kabisa na wauza sembe.
 
Kati ya hao claus wako waliosomea uandishi na utangazajiwa habari za ushilawadu na TFDA waliosomea chakula na dawa ni nani anayeweza kutoa jibu la kisayansi?

Nani aliyewadanganya kuwa kudunda ndio SI unit ya plastic?
msibishe sana,kuna siku dira ya dunia bbc,walitoa habari huko china pana mchicha wa plastic
 

Nchi inayoacha kusikiliza Food and Drugs authority inamsikiliza mtangazaji ambaye hana qualifications zozote za kupima na kutambua uhalisia wa bidhaa kitaalam ni nchi ya ajabu sana.

Tunastahili umaskini weru,kuitwa mal*fa na tunastahili kuwa ma viongozi wa hovyo hovyo kwa sababu wananchi asilimia kubwa ni wa hovyo hovyo wakifuatisha mambp ya hovyo hovyo.
 
Mfano mzuri ni SILICONE[gasket maker],hii kitu inahimili joto la hadi 150 degrees ktk engine na bado haiyeyuki,ije kuyeyuka kwa hivi vi moto vyetu vya mkaa?,...na ile unaweza kuitengeneza kwa mviringo vizuri na ikiganda hata ummpe MARIA SHARAPOVA au SERRENA WILLIAMS wanacheza fresh tu,na sio ajabu cku hiyo wakatoka droo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…