no,hatusemi ni moja kwa moja plastic,pengine watu wamechukulia easy tu kutamka plastic km ambavyo mfuko wowote wa plastic wabongo tunauita RAMBO,kwa nn tusiuite MICHAEL DUDIKOF AU CHACK NORRIS AU JEAN CLAUDE VAN DAMME?,,,,lkn tukiangalia tonge la kitu cha Mbeya au Kahama au cha huku kwetu Magugu hakiwez dunda mkuu,nadhani TFDA wanatakiwa watupe material halisi yaliyotumika siku wakiuona
na huyo mpishi atakuwa KUTOKA DRC,Wali udunde kama kitenesi? Labda kuna mapishi mapya yameibuka!
Ndio maana nimetaka nyie wenye uelewa (waungwana) mtufafanulie,hatujaja kubishana hapa na hakuna faida ya kubishana! Kama hujui kaa kimya
Naomba kujuzwa unaofinyangwa ili udundishwe ni wali au mchele?namaanisha uliopikwa?Hebu muungwana tuambie utakua ni Michele wa nini huo!? Maana ule upatikanao kwa mpunga huwa ukiufinyanga na kuutupa chini unaparavganyika wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee... kwa hiyo ule wa Kyela nao ukiudundisha chini unadunda..??!Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
Mkuu kama umeuona peleka sample FTDA uokoe watu wengi.Ni kweli mchele upo, hata mayai ya plastiki yapo. Serikali yetu inakuwa na tabia za unafiki sana. Hawakuwa na sababu ya kutofanya uchunguzi. Kuna siku wao wenyewe wataununua tu maana hauko Tandale wala Tandikà, uko kwenye maduka wanayonunua wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapike wali wako wa kawaida ufinyange udunde chini uone kama hautosambaa punje moja moja.Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
Mchele unaweza kufinyangwa na ukafinyangika kuwa tonge?watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa.
Michele ndio hupika wali,kwa hiyo jibu unaloNaomba kujuzwa unaofinyangwa ili udundishwe ni wali au mchele?namaanisha uliopikwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
tena apimwe mkojo na ukimwi ikiwezekanaHiyo ndiyo ulivyo utendaji wa selikali ya ccm. Usisahau aliyetangaza kwamba atayakayesema mchele wa plastic akamatwe!.
Niulize tu maswali machache kwa cloudsIkumbukwe wiki kadhaa zimepita paliibuka uvumi wa uwepo wa mchele wa plastic hapa nchini unaosadikiwa kutoka nchini china. Lakini baada ya muda TFDA waliibuka na kusema hakuna kitu kama hicho hapa nchini.
Leo hii katika kipindi cha cha "leo tena" watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa. Na mpaka naandika uzi huu wamesema huo mchele wanao hapo studio.
Chanzo: Clouds Fm
My Take;
TFDA badala ya kukaa ofisini mnapulizwa kiyoyozi kwa nini msikimbie hapo mikocheni kwenye studio za clouds fm mkachukue sample yao mkaipime pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchele wa plastic maana yake ni plastic, ukichoma moto unaungua kama Plastic,Usiwalaumu TFDA, Kama hawajakutana nao hamuwezi kuwalazimisha, kinachotakiwa ni wananchi kushirikiana nao mara tunapoisi kuwepo kwa mchele huo.Hiyo ndiyo ulivyo utendaji wa selikali ya ccm. Usisahau aliyetangaza kwamba atayakayesema mchele wa plastic akamatwe!.
Unaweza kutupatia properties za plastic? Ama utueleze plastic ni nini?Kujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
Kuna watu wana ubishi wa kijinga sana...Kwani ukichukua wali wako uliopika Kwa Mchele safi Wa shambani kwako ukiudundisha utadunda au utasambaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Soko huria baba.. Ata michepuko ipo though watu wameoaLakini pia hili ni jambo la kustajabisha sana! Tanzania ni nchi ya kuruhusu mchele toka china kweli? Tunauza mchele kwa majirani zetu alafu tuagize mchele toka china? Ata sumu tulishwe tu kama tunashindwa kizalisha mchele ata wa chakula achilia mbali wa biashara!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaana huyo mpishi atakuwa KUTOKA DRC,