ID Fake
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 503
- 760
...kumbe ulilijua hilo eeeh, ndo maana katika uzi huu nguruwe amekuwa mmoja tu ...
Ambaye ni yeye !
...kumbe ulilijua hilo eeeh, ndo maana katika uzi huu nguruwe amekuwa mmoja tu ...
Hater at its highestNguruwe aliyesema kuwa ni best comeadian in East Africa siyo!🤣 🤣 🤣 🤣 🤣. Mnacheza na comedy ninyi. Industry ya acting Bongo bado sana na wenye upeo finyu tu ndiyo wanaofurahia. Kwenye kundi la mashabiki wake utakuta ma-bar maid, ma-house girls, waendesha boda boda.... you name it.
Pumzika kwa amani Paul, masikini sijui nae alikua mgonjwa....😢Dahhh mzeee tulikuwa wote pale Muhimbili kweli niliona alikuwa anaumwa... pumzika kwa amani.
Duh jamani 😢😢 wote mmetanguliaDahhh mzeee tulikuwa wote pale Muhimbili kweli niliona alikuwa anaumwa... pumzika kwa amani.
Mkuu huyu memba naye ameyarudia mavumbi?Duh jamani wote mmetangulia
3 Angels message.Dahhh mzeee tulikuwa wote pale Muhimbili kweli niliona alikuwa anaumwa... pumzika kwa amani.
daaah njia yetu ni mojaDahhh mzeee tulikuwa wote pale Muhimbili kweli niliona alikuwa anaumwa... pumzika kwa amani.