Hivi kuna siku CDM ilishaendesha mkutano wowote na mahali popote bila kuitaja CCM..... ndivyo ilivyo na kwako kwani umekaririshwa. Sikulaumu kwani uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo......
ccm mnakiua chama chenu kwa ujinga wenu wenyewe, badala ya kushughulikia kero zinazo wasibu wanchi nyie mna kesha mkiiwazia mabaya cdm kama vile hiyo nayo ilikuwa sera yenu wakati mkiomba kura kwa wananzengo?????????.
Foolish people never know what treasures they have, until when they've lost it!.
Chadema will never be the same again!, na humu jukwaani baadhi wanaoitetea na kuutetea ukosefu wa busara wa CC yake, ni mijitu mijinga ya ajabu kabisa yanayo tetea ujinga!, mengi ni madebe matupu na vichwa maji kabisa!.
Ndani ya CC ya Chadema, kuna wenye busara watatu, Prof. Mwesiga Beregu, Prof. Safari na Victor Kimesera, I wish kuusikia msimamo wa hawa ili kujua kama bado kuna hata chembe ya busara vinginevyo, kwenye kigezo cha busara I'm very sorry to say Chadema ni bure kabisa !
Pasco.
Hiyo migogoro chanzo chake ni nini?
Chezea Mzimu wa Chacha Wangwe wewe....Mchawi wa CHADEMA ni UOngozi wa CHADEMA
Methali ya "mfa maji haachi kutapa" ndo yanatimia.....
sasa mara CCM mara CUF hivi hata kwa akili ya kawaida hatuwezi kuyaona haya matatizo yaliyopo kwenye uongozi wa juu au tunafumba macho na kushabikia ujinga.....
hakuna mchawi nje ya CHADEMA, mchawi yumo ndani ya kamati kuu na baraza la ushauri wa CHADEMA... mi nashauri wakae chini na kujitathimini ndani ya chama na ikiwezekana matatizo yao wayamalize kwa kushirikisha watu wenye busara nje na ndani ya chama na wenye uwezo wakuona mbali na ikiwezekana Viongozi wapate msasa wa elimu ya Sayansi ya siasa (Political Science.....)
Ninachokiona ndani ya CHADEMA ni Poor management of the Organization... Mtaalamu mmoja wa mambo ya Utawala Maxwell katika kitabu chake cha "The 21indispensable laws of a Leader" anashauri kuwa kama Kiongozi (Leader) unatakiwa kujifunza namna ya kuongoza kupitia migongo wa watu wenye ushawishi katika Taasisi yeyote suala hili kwa CHADEMA naona kama halipo....
Chanzo cha Migogoro Chadema hawataki Mtu ambaye si Mchaga ahoji Matumizi ya Ruzuku pesa za misaada ukabila Uteuzi wa Wabunge viti maalum mbowe kujilipa pesa ya Chana kwa kisingizio Kuwa alikikopesha chama na Vioja vinginevyo vingi mfano M/ kiti kuwageuza wabunge viti maalim Kuwa Vimada na kukutana Nao Dubai nk Ukiataka uishi kawa Amani CDM usithubutu kuhoji hayo hata siku moja ili upete CDM yakupasa ufumbie macho Udhaifu wa M/kiti na Timu yake kinyume na hapo Siri anayo Mungu Pia Deus Malya .
Mchawi wa CHADEMA ni UOngozi wa CHADEMA
Methali ya "mfa maji haachi kutapa" ndo yanatimia.....
sasa mara CCM mara CUF hivi hata kwa akili ya kawaida hatuwezi kuyaona haya matatizo yaliyopo kwenye uongozi wa juu au tunafumba macho na kushabikia ujinga.....
hakuna mchawi nje ya CHADEMA, mchawi yumo ndani ya kamati kuu na baraza la ushauri wa CHADEMA... mi nashauri wakae chini na kujitathimini ndani ya chama na ikiwezekana matatizo yao wayamalize kwa kushirikisha watu wenye busara nje na ndani ya chama na wenye uwezo wakuona mbali na ikiwezekana Viongozi wapate msasa wa elimu ya Sayansi ya siasa (Political Science.....)
Ninachokiona ndani ya CHADEMA ni Poor management of the Organization... Mtaalamu mmoja wa mambo ya Utawala Maxwell katika kitabu chake cha "The 21indispensable laws of a Leader" anashauri kuwa kama Kiongozi (Leader) unatakiwa kujifunza namna ya kuongoza kupitia migongo wa watu wenye ushawishi katika Taasisi yeyote suala hili kwa CHADEMA naona kama halipo....
Hivi kuna siku CCM ilishaendesha mkutano wowote na mahali popote bila kuitaja CDM..... ndivyo ilivyo na kwako kwani umekaririshwa. Sikulaumu kwani Umerithi kutoka kwa wazazi wako waliokulea kwa msaada wa cash ya CCM na mbaya zaidi akiri yako cyo INDEPENDANT......
Tafadhali Nzilo hebu niambie, ZZK yuko chama gani? Na hicho chama alichopo lengo lake ni nn? Na je anaamini katika hicho chama chake? Tuwe wakweli na tuache unafiki. Najaribu kumwangalia ZZK kwa jicho la tatu, naona kama hayo ayafanyayo ndio malengo yake.ya kuhakikisha Upinzani hauingii madarakani, maana wananchi watateseka hivyo kuwaaminisha watu kuwa chama pekee CCM.
Unaona au unafikiria kama umeona umeona wapi hebu tupe takwimu au taratibu na Kanuni za CHADEMA. Pengine kwa kutokuelewa kwako ndiyo maana unaona au kwa fikira zako umeona CHADEMA halipo, hebu jaribu kutufafanulia zaidi ili tukuelewe na tujadili
nampenda ZZK kasoro hana protocal mdomo wake hauchagui aongee nini bila kukonsida anayeongea naye ni mzee au kijana
Ni uwezo wa kujenga hoja......!!! Nani aliyekuroga wewe Pro-Mbowe....?
Chanzo cha Migogoro Chadema hawataki Mtu ambaye si Mchaga ahoji Matumizi ya Ruzuku pesa za misaada ukabila Uteuzi wa Wabunge viti maalum mbowe kujilipa pesa ya Chana kwa kisingizio Kuwa alikikopesha chama na Vioja vinginevyo vingi mfano M/ kiti kuwageuza wabunge viti maalim Kuwa Vimada na kukutana Nao Dubai nk Ukiataka uishi kawa Amani CDM usithubutu kuhoji hayo hata siku moja ili upete CDM yakupasa ufumbie macho Udhaifu wa M/kiti na Timu yake kinyume na hapo Siri anayo Mungu Pia Deus Malya .