Nzilo
Senior Member
- Nov 24, 2013
- 180
- 58
- Thread starter
- #161
Unaona unajenga hoja sn? Pole sn! Najua unachotimiza hapa ni kupata riziki Hakuna kitu kingine!
Hapa mlengwa ni Mbowe ndio anaewasumbua na Lissu na Lema!
Huwezi kumjua mshirikina kama wewe si mshirikina...... naanza kuwa na wasiwasi na wewe, pengine uliwahi kuwa mpokeaji mzuri wa hizo pesa unazozisema ndo maana unahisi kila mtu ana tabia kama yako..... kwa taarifa yako sijikombi kwa mtu mimi..... ndo maana nimeenda strait to the point... uongozi nilioulenga kwenye mada ni pamoja na ZZK....... Poleeeeeeeee!!!!