Ni hoja dhaifu sana hii Rockspider. Ulitaka mtu aliyesoma shule ya namna gani aweze kumkosoa Mbowe ama uongozi wa juu Cdm? Kukosa nauli ya kurudi likizo nyumbani vinaingiliana vipi na uchafu wa Mbowe? Kama huna hoja ya msingi kuchangia mada ni bora kukaa kimya. Hiyo Kibohehe Sekondari wamesoma watu wengi tu ambao wako vizuri katika nyanja zote uzijuazo.
Ni kweli hizo Historia za Shule Enzi hizo Zina uhusiano gani na Udhaifu na Mapungufu ya Mbowe?huyo Buibui wa Mwamba kweli amedhihilisha ni Mpambe number one wa Mbowe hataki kusikia wala kuona Mbowe akikosolewa ! Yeye anaamini Mbowe ni kama Maraika Hana Madhambi lakini kwa Kuwa Mzimu wa Chacha Wangwe upo hapo Makao makuu Nina imani hata yeye utampitia tu kwani inaelekea ni mmojawapo wa wale wanaofaidi matunda ya Ufisadi wa ndani kwa ndani pesa za Ruzuku na Pesa za Misaada toka ccm na Ulaya nk R.I.P chacha wangwe