Chanzo cha Migogoro Chadema hawataki Mtu ambaye si Mchaga ahoji Matumizi ya Ruzuku pesa za misaada ukabila Uteuzi wa Wabunge viti maalum mbowe kujilipa pesa ya Chana kwa kisingizio Kuwa alikikopesha chama na Vioja vinginevyo vingi mfano M/ kiti kuwageuza wabunge viti maalim Kuwa Vimada na kukutana Nao Dubai nk Ukiataka uishi kawa Amani CDM usithubutu kuhoji hayo hata siku moja ili upete CDM yakupasa ufumbie macho Udhaifu wa M/kiti na Timu yake kinyume na hapo Siri anayo Mungu Pia Deus Malya .
hayo ni maneno tu ambayo unaysikia na kuyaamin sku ukisikia babaako hakuwa mwanaume kamil nayo utayapost humu haya CCM hawamtaki lowasa agombee urais wanataka kanda ipi wagombee ipo siku ukwel utajulikana hujui zitto ana shida gani chadema mpaka anang'ang'ania mpk sasa alishalipwa pesa aharib chama ndo anatekeleza kazi yake