Mchawi wa CHADEMA huyu hapa

Mchawi wa CHADEMA huyu hapa

Ni hoja dhaifu sana hii Rockspider. Ulitaka mtu aliyesoma shule ya namna gani aweze kumkosoa Mbowe ama uongozi wa juu Cdm? Kukosa nauli ya kurudi likizo nyumbani vinaingiliana vipi na uchafu wa Mbowe? Kama huna hoja ya msingi kuchangia mada ni bora kukaa kimya. Hiyo Kibohehe Sekondari wamesoma watu wengi tu ambao wako vizuri katika nyanja zote uzijuazo.

Ni kweli hizo Historia za Shule Enzi hizo Zina uhusiano gani na Udhaifu na Mapungufu ya Mbowe?huyo Buibui wa Mwamba kweli amedhihilisha ni Mpambe number one wa Mbowe hataki kusikia wala kuona Mbowe akikosolewa ! Yeye anaamini Mbowe ni kama Maraika Hana Madhambi lakini kwa Kuwa Mzimu wa Chacha Wangwe upo hapo Makao makuu Nina imani hata yeye utampitia tu kwani inaelekea ni mmojawapo wa wale wanaofaidi matunda ya Ufisadi wa ndani kwa ndani pesa za Ruzuku na Pesa za Misaada toka ccm na Ulaya nk R.I.P chacha wangwe
 
Chanzo cha Migogoro Chadema hawataki Mtu ambaye si Mchaga ahoji Matumizi ya Ruzuku pesa za misaada ukabila Uteuzi wa Wabunge viti maalum mbowe kujilipa pesa ya Chana kwa kisingizio Kuwa alikikopesha chama na Vioja vinginevyo vingi mfano M/ kiti kuwageuza wabunge viti maalim Kuwa Vimada na kukutana Nao Dubai nk Ukiataka uishi kawa Amani CDM usithubutu kuhoji hayo hata siku moja ili upete CDM yakupasa ufumbie macho Udhaifu wa M/kiti na Timu yake kinyume na hapo Siri anayo Mungu Pia Deus Malya .

hayo ni maneno tu ambayo unaysikia na kuyaamin sku ukisikia babaako hakuwa mwanaume kamil nayo utayapost humu haya CCM hawamtaki lowasa agombee urais wanataka kanda ipi wagombee ipo siku ukwel utajulikana hujui zitto ana shida gani chadema mpaka anang'ang'ania mpk sasa alishalipwa pesa aharib chama ndo anatekeleza kazi yake
 
R.I.P chacha wangwe Mzimu wake Umesimama pale makao makuu CDM wapambe wa Mbowe sasa wanachachawa wanajitahidi kwa kila mbinu kumsafisha lakini hasafishiki hata kwa kutumia Tina ! Chezea Mzimu wewe...
 
hayo ni maneno tu ambayo unaysikia na kuyaamin sku ukisikia babaako hakuwa mwanaume kamil nayo utayapost humu haya CCM hawamtaki lowasa agombee urais wanataka kanda ipi wagombee ipo siku ukwel utajulikana hujui zitto ana shida gani chadema mpaka anang'ang'ania mpk sasa alishalipwa pesa aharib chama ndo anatekeleza kazi yake

Ukweli unauma Nadhani mnajua udhaifu na mapungufu ya Mbowe lakini kwa Maksudi kabsa mmeamua kuziba Masikio na kufumba macho hv hamuoni Kama mnakilegeza chama ?R.I.P chacha wangwe
 
Then what? atafanyakazi na katibu yupi? M/Kiti yupi?...wajumbe wepi? kwanini msiwe wakweli wa nafsi zenu kuwa amefanikiwa kutetea posho zake za ubunge na uenyekiti wa PAC? Mlarushwa mkubwa kama Zitto kuwa M/Kiti wa kamati ya Bunge i.e watch dog committee inayochunguza mashirika ya umma huoni kuwa kuna walakini?...kweli wajinga ndio waliwao...Mahakama ilikuwa haina namna zaidi ya kuitikia wito wa Rais na Mwenyekiti wa CCM... Ukweli huu utasimama mpaka siku ya mwisho wa dunia kuwa Zitto si Msafi na CCM wako nyuma yake kujaribu kudhoofisha upinzani... After all in saltation Zitto atasubutu kumwangalia Mbowe na Viongozi wake kweli...Kijana aliechukuliwa kibohehe secondary alikokuwa anashindwa hata kwenda likizo kwa kukosa nauli leo anauwezo wa kuingia kwenye propaganda chafu ya kumchafua master wake ? Anazuia harakati za kuokoa Tembo, Madini na Gesi mali halali ya Watanzania? ama kweli kizazi cha nyoka itaendelea kuwa kizazi cha nyoka hadi mwisho wa dunia...

Haya mmeyaone leo? Acheni kujipa moyo jamani.
 
Mchawi wa CHADEMA ni UOngozi wa CHADEMA

Methali ya "mfa maji haachi kutapa" ndo yanatimia.....

sasa mara CCM mara CUF hivi hata kwa akili ya kawaida hatuwezi kuyaona haya matatizo yaliyopo kwenye uongozi wa juu au tunafumba macho na kushabikia ujinga.....hakuna mchawi nje ya CHADEMA, mchawi yumo ndani ya kamati kuu na baraza la ushauri wa CHADEMA... mi nashauri wakae chini na kujitathimini ndani ya chama na ikiwezekana matatizo yao wayamalize kwa kushirikisha watu wenye busara nje na ndani ya chama na wenye uwezo wakuona mbali na ikiwezekana Viongozi wapate msasa wa elimu ya Sayansi ya siasa (Political Science.....)

Ninachokiona ndani ya CHADEMA ni Poor management of the Organization... Mtaalamu mmoja wa mambo ya Utawala Maxwell katika kitabu chake cha "The 21 Irrefutable laws of Leadership" anashauri kuwa kama Kiongozi (Leader) unatakiwa kujifunza namna ya kuongoza kupitia migongo wa watu wenye ushawishi katika Taasisi yeyote suala hili kwa CHADEMA naona kama halipo....
hapo kaka umeteleza, CDM ni chama chenye viongozi makini tatizo ni ZZK, huyu jamaa ni mnafiki mkubwa, anahisi yeye ni zaidi ya chama, sasa tuone, huko mahakamani ni suluhisho la muda tu, lakini kwahali halisi ameshafukuzwa CDM, agange yajayo.
 
Wale wote wanaofaidi Matunda ya Ufisadi wa ndani kwa ndani wa CDM wanaonufaika na Ukabila na ukanda Viti maalum nk Wote hawawezi kukubali Mbowe akosolewe kwa lolote kwani Ukimgusa Mbowe unakuwa umegusa masilahi Yao wapo tayari kwa lolote lakini watamtetea mbowe na mapungufu yake kwa gharama yeyote ile
 
Hayo ni maneno tu.... hata kwenye kanga yapo.... ukweli utabaki kuwa ukweli na Zitto kashinda kesi....!!!!
Ni maneno tu, ukweli utabaki kuwa ccm mnaua tembo,ni mafisadi wa umeme,elimu na mnanunua wajinga wajinga kuendeleza ujinga kwa wale wanaoendekeza njaa nchini.
Kama unamkubali zzk.muite muongee na umwambie live kwamba unamzimikia.......
 
hapo kaka umeteleza, CDM ni chama chenye viongozi makini tatizo ni ZZK, huyu jamaa ni mnafiki mkubwa, anahisi yeye ni zaidi ya chama, sasa tuone, huko mahakamani ni suluhisho la muda tu, lakini kwahali halisi ameshafukuzwa CDM, agange yajayo.

Soma Habari leo toleo la leo....kichwa cha habari "Niko tayari...." majibu yote utayapata kuhusu zuio la mahakama na ukomo wake...
 
Ni maneno tu, ukweli utabaki kuwa ccm mnaua tembo,ni mafisadi wa umeme,elimu na mnanunua wajinga wajinga kuendeleza ujinga kwa wale wanaoendekeza njaa nchini.
Kama unamkubali zzk.muite muongee na umwambie live kwamba unamzimikia.......

Ntaanza na wewe kabla ya kumwambia ZZK....... "NIMEKUZIMIA" unajisikiaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom