Nzilo
Senior Member
- Nov 24, 2013
- 180
- 58
- Thread starter
- #101
Kuna kipindi M/kiti alijaribu kubalance Ukabila akamleta kijana toka Tarime na kumweka pale makao makuu Kama Msaidizi wake Lakini kwa kutojua Yule kijana akaandika kitabu cha kumbukumbu cha Maisha ya Chacha Wangwe kimya kimya pasipo kujua kuwa Mkiti Kuwa hapendi Msaidizi wake amkumbuke Chacha Wangwe yule kijana Siku alipotaka kukizindua kitabu tu M/kiti akajua ni Siku hiyo hiyo akamfukuza toka makao makuu na kupata Misuko suko ambayo haifai kuhadithia kwani hadi lap top yake iliporwa huyo kijana amehamia NCCR ukitaka akupe story nenda pale NCCR muulizie Yule kijana aliyetunga kitabu cha Maisha ya Chacha Wangwe watakuonyesha muulize maswali yote utapata jawabu.
Hoja nzuri sana.......!!! Tatizo ni Viongozi, hawako tayari kuzipokea changamoto na kuzifanyia kazi.... laiti hoja zilizoandikwa kwenye Waraka ule zingechukuliwa kama changamoto na kubadilisha misimamo na mitizamo yao haya yote yasingetokea... lazima unapoongoza Taasisi yeyote ujue kuwa watu wote hawawazi kama unavyowaza wewe na wanatofautiana kimtazamo na kifikira.... haya yote yote yasingetokea kama Viongozi wa CDM wangelitambua mawazo ya wanaowaongoza na Viongozi waandamizi.... A good Leader predicts and foresees what may happen in future........