Wewe ukiulizwa toa Jibu! Kusoma hayo mawazo mgando hayasaidii kitu! Kwasababu unafanya kz kubwa kueneza propaganda kitu ambacho Unajua wazi kua ni uongo!
Ukweli unaoufahamu ni upi? Na uongo unaoufahamu wangu ni upi? alafu nilichokiandika hakihusiani na propaganda ni ushauri wa sehemu ya taaluma ya Uongozi kwa kadiri ya uelewa wangu.....
Wewe umejifunzia wapi ukaelewa Bro? ....Hata maneno ya kiswahili umeshindwa kuyaandika kwa ufasaha halafu unawaambia wenzio "wakasome waelewe" na si "kukariri"!!???...Hata hiki ulicho post nina mashaka nacho kuwa umetumwa tu maskini hata hujui ufanyalo na usemalo!! Hebu tuambie hicho ni kiswahili au Kiha cha Kigoma?....Tatizo lenu mnasheherekea ushindi wa huyo ZZK mpaka mnavua na nguo za ufahamu wa akili zenu!!
Unapotumwa na kuambiwa kitu au jambo na mtu basi jaribu kuchanganya na za kwako humo......................................................chako!!
Kwa heri,siku njema endelea kusheherekea ushindi wa ZZK ndugu!!
Mwanzo wa mwisho sikujua kama utafika mapema hivi, yàani katika kundi zima la CDM wote hawana macho ya kuona kwamba wanaua upinzani wao wenyewe. Bakini na ZZK ili mbaki na CDM yeye nguvu lakini mkitaka kuwapa faida wengine jaribuni muone.
Matatizo yako huyaoni utayaonaje ya wenzio, kama umeyaona yatatue sasa, unafikili ni kazi rahisi kumnunua Dr Slaa na Mbowe, ngumu sana, mlifanikiwa kwa hao wenyeviti na makatibu wakuu wa vyama vingine, tumegundua uongozi wa juu ni kiboko, hatubadili ng'o.
Nahisi kama ndo unaamka vile...... kapige mshwaki kwanza....
Then what? atafanyakazi na katibu yupi? M/Kiti yupi?...wajumbe wepi? kwanini msiwe wakweli wa nafsi zenu kuwa amefanikiwa kutetea posho zake za ubunge na uenyekiti wa PAC? Mlarushwa mkubwa kama Zitto kuwa M/Kiti wa kamati ya Bunge i.e watch dog committee inayochunguza mashirika ya umma huoni kuwa kuna walakini?...kweli wajinga ndio waliwao...Mahakama ilikuwa haina namna zaidi ya kuitikia wito wa Rais na Mwenyekiti wa CCM... Ukweli huu utasimama mpaka siku ya mwisho wa dunia kuwa Zitto si Msafi na CCM wako nyuma yake kujaribu kudhoofisha upinzani... After all in saltation Zitto atasubutu kumwangalia Mbowe na Viongozi wake kweli...Kijana aliechukuliwa kibohehe secondary alikokuwa anashindwa hata kwenda likizo kwa kukosa nauli leo anauwezo wa kuingia kwenye propaganda chafu ya kumchafua master wake ? Anazuia harakati za kuokoa Tembo, Madini na Gesi mali halali ya Watanzania? ama kweli kizazi cha nyoka itaendelea kuwa kizazi cha nyoka hadi mwisho wa dunia...
Atambue kwamba cdm akimuhitaji kwa sasa. Akatafute chama kingine au atengengenze chama chake akiue yeye mwenyewe.Hayo ni maneno tu.... hata kwenye kanga yapo.... ukweli utabaki kuwa ukweli na Zitto kashinda kesi....!!!!