wabara
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,500
- 706
Mie nashangaa upande ulioshindwa kukubali maamuzi hiyo jana ......!!
Lakini nilitoa maoni na maulizo mapema sana juu ya upokeaji, ukubalikaji wa hayo matokeo au hukumu ilotoelewa jana,
Chadema jipangeni kwa mengine, si muda wa kutoa matusi na kashfa,
Lakini nilitoa maoni na maulizo mapema sana juu ya upokeaji, ukubalikaji wa hayo matokeo au hukumu ilotoelewa jana,
Chadema jipangeni kwa mengine, si muda wa kutoa matusi na kashfa,