msaliti chadema shujaa ccm
Tatizo book 7 muna sema vitu kama kasuku hamna tofauti unakuwa kama marrobot kati wanacham wa chadema amekufa chacha wangwe peke yake hivi kichwani zinakutosha kweli wewe CCM walisimama lini kwa dakika moja hata kukumbuka muasisi wa Tanu na baadaye CMM, waziri mkuu Kawawa,Sokoine lini walisimama wewe mbumbumbu na mzungu wa reli,Chacha Wangwe anawazidi akina Mary Kabigi,George Wasira Brown Gwilulupi,Mzee Bob Makani, Mashujaa wa Arusha wewe vipi kama huna sera za kumwaga JF tulia endelea kula miguu na vichwa vya kuku, unasema matawi sijui wilayani hawapeleki fedha kazi ya siasa ni ya kujitolea na hata CCM yenye mabilioni na fedha za BOT na Makampuni ya maharamia bado matawi,kata,wilaya mkoa hawapewi posho zaidi ya elfu 10 acha ujinga ukidhani hatujui data habari ya mapenzi unaona wivu watu wanasaidiana viungo vyao vichangamke we unalia lia tuu mbona JK anao wengi kama msululu wa foleni ya clinic na bado yupo Ikulu ,ukiambiwa lete ushahidi au muhuri uliopiga kwa hao wanawake Kama umewahi Kuiwashikia miguu utaweza wananchi wapo na chadema nguvu zenu za shetani zimamalizwa akina selemani mumenyolewa nywele munataka suluhu nguvu zenu zimepukutika ,Chacha Wangwe apumzike kwa amani ndipo utakapo jua hiki chama ni chaguo la Mungu kwani waliodhani kwa kumuua chacha wangwe na kuachiwa na Raisi baada ya wiki mbili ndani wameshindwa wamelegea chama ndio kinadundaChezea Mzimu wa Chacha wangwe wewe ....Tokea afariki cc licha ya Kuwa na Padri na Mchungaji hawajawahi kumkumbuka hata kwa Sala ya Dakika moja tu yaani hata Bango pale TBC imekuwa issue !vile vioja alivyokuwa akivipinga wakati Akiwa Hai bado vipo Mfano Ukabila Ukanda Ruzuku na pesa za Misaada kuishia makao makuu huku Mashinani wakilia njaa Kali sana Uteuzi Viti Maalum ni Full Utata huku M/kiti akijilipa Madeni pesa za chama na kujiachia kimapenzi na wabunge wanawake huko Dubai Na Vioja vinginevyo vingi tu ! Lakini wapo watu hawajali Udhaifu huo wamekuwa Kama vipofu na viziwi na wanamshabikia mbowe pasipo kujali wala kumkemea kupokea misaada toka ccm na kuitafuna Chezea Mzimu wa Chacha wangwe wewe ...
Ruzuku na pesa za misaada zinaishia Makao makuu huko kwenye Mashina wanalia njaa huku Viti Maalum ni full Utata Pia kuna vioja CDM makao makuu wana mbinu za ajabu za kuwaaminisha wafuasi wao Kuwa Mtu anayewapinga kwa Vioja vyao ni Msariti na Mashabiki kusahau Udhaifu wao na kuanza kuwashambulia wasema Ukweli wakizani wanakisaidia Chama kumbe wanawapa Nguvu Wachache kuendelea kutafuna Pesa na kujiachia na Wabunge wanawake Dubai .
Tatizo book 7 muna sema vitu kama kasuku hamna tofauti unakuwa kama marrobot kati wanacham wa chadema amekufa chacha wangwe peke yake hivi kichwani zinakutosha kweli wewe CCM walisimama lini kwa dakika moja hata kukumbuka muasisi wa Tanu na baadaye CMM, waziri mkuu Kawawa,Sokoine lini walisimama wewe mbumbumbu na mzungu wa reli,Chacha Wangwe anawazidi akina Mary Kabigi,George Wasira Brown Gwilulupi,Mzee Bob Makani, Mashujaa wa Arusha wewe vipi kama huna sera za kumwaga JF tulia endelea kula miguu na vichwa vya kuku, unasema matawi sijui wilayani hawapeleki fedha kazi ya siasa ni ya kujitolea na hata CCM yenye mabilioni na fedha za BOT na Makampuni ya maharamia bado matawi,kata,wilaya mkoa hawapewi posho zaidi ya elfu 10 acha ujinga ukidhani hatujui data habari ya mapenzi unaona wivu watu wanasaidiana viungo vyao vichangamke we unalia lia tuu mbona JK anao wengi kama msululu wa foleni ya clinic na bado yupo Ikulu ,ukiambiwa lete ushahidi au muhuri uliopiga kwa hao wanawake Kama umewahi Kuiwashikia miguu utaweza wananchi wapo na chadema nguvu zenu za shetani zimamalizwa akina selemani mumenyolewa nywele munataka suluhu nguvu zenu zimepukutika ,Chacha Wangwe apumzike kwa amani ndipo utakapo jua hiki chama ni chaguo la Mungu kwani waliodhani kwa kumuua chacha wangwe na kuachiwa na Raisi baada ya wiki mbili ndani wameshindwa wamelegea chama ndio kinadunda
Hata mimi nikiwa kama Mhakiki wa siasa Afrika mashariki nachukua nafasi hii kuipongeza CC ya chama na kuwapa pole viongozi na wanachama wote wa CDM kwa yote wanayopitia kwa sasa,pamoja tutashinda!
Kabla ya CDM haijafa kwanza Wanachama wote watuue
Afrika Mashariki ya wapi...??? Mhakiki au mchambuzi????
Ni wazo safi....!!! na CDM haiwezi kufa itaishi na kusitawi kwa kuondoa tofauti zilizopo ila ikiendelea hivi lolote laweza kutokea ila binafsi sipendi jambo hili litokee.... Na lishindwe kwa nguvu zote.....
Msaliti ni Mbowe anayeteka na kuua wote wanaompinga na wengine kupewa vipigo kisa wanaongea na zito au Kitila na Mwigamba.! R.I.P Chacha Wangwe. Pole M/kiti wa Temeke.
View attachment 130901
Ndo maana nilikwambia unakurupuka mdogo wangu.... hata sentesi ya kiswahili unashindwa.... ona sasa ulivyochanganikiwa sina maana kuwa CDM ishindwe...!!!! la hasha!!! hilo lililosemwa lishindwe......
Huyo Mbowe siyo fisadi njaa mbaya anaiba wake za watu anapeleka Dubai kwa pesa za serikali anajilipa pesa za ruzuku akiulizwa kesi na kuwafukuza uanachama mwisho wenu umefika
kama haka kanyepesi kangekuwa kademu kangeitwa "dada Huruma".Si kanyimi.Kupokea vya watu kanakubali na kutoa si kagumu.Haaaa!Then what? atafanyakazi na katibu yupi? M/Kiti yupi?...wajumbe wepi? kwanini msiwe wakweli wa nafsi zenu kuwa amefanikiwa kutetea posho zake za ubunge na uenyekiti wa PAC? Mlarushwa mkubwa kama Zitto kuwa M/Kiti wa kamati ya Bunge i.e watch dog committee inayochunguza mashirika ya umma huoni kuwa kuna walakini?...kweli wajinga ndio waliwao...Mahakama ilikuwa haina namna zaidi ya kuitikia wito wa Rais na Mwenyekiti wa CCM... Ukweli huu utasimama mpaka siku ya mwisho wa dunia kuwa Zitto si Msafi na CCM wako nyuma yake kujaribu kudhoofisha upinzani... After all in saltation Zitto atasubutu kumwangalia Mbowe na Viongozi wake kweli...Kijana aliechukuliwa kibohehe secondary alikokuwa anashindwa hata kwenda likizo kwa kukosa nauli leo anauwezo wa kuingia kwenye propaganda chafu ya kumchafua master wake ? Anazuia harakati za kuokoa Tembo, Madini na Gesi mali halali ya Watanzania? ama kweli kizazi cha nyoka itaendelea kuwa kizazi cha nyoka hadi mwisho wa dunia...
Tatizo book 7 muna sema vitu kama kasuku hamna tofauti unakuwa kama marrobot kati wanacham wa chadema amekufa chacha wangwe peke yake hivi kichwani zinakutosha kweli wewe CCM walisimama lini kwa dakika moja hata kukumbuka muasisi wa Tanu na baadaye CMM, waziri mkuu Kawawa,Sokoine lini walisimama wewe mbumbumbu na mzungu wa reli,Chacha Wangwe anawazidi akina Mary Kabigi,George Wasira Brown Gwilulupi,Mzee Bob Makani, Mashujaa wa Arusha wewe vipi kama huna sera za kumwaga JF tulia endelea kula miguu na vichwa vya kuku, unasema matawi sijui wilayani hawapeleki fedha kazi ya siasa ni ya kujitolea na hata CCM yenye mabilioni na fedha za BOT na Makampuni ya maharamia bado matawi,kata,wilaya mkoa hawapewi posho zaidi ya elfu 10 acha ujinga ukidhani hatujui data habari ya mapenzi unaona wivu watu wanasaidiana viungo vyao vichangamke we unalia lia tuu mbona JK anao wengi kama msululu wa foleni ya clinic na bado yupo Ikulu ,ukiambiwa lete ushahidi au muhuri uliopiga kwa hao wanawake Kama umewahi Kuiwashikia miguu utaweza wananchi wapo na chadema nguvu zenu za shetani zimamalizwa akina selemani mumenyolewa nywele munataka suluhu nguvu zenu zimepukutika ,Chacha Wangwe apumzike kwa amani ndipo utakapo jua hiki chama ni chaguo la Mungu kwani waliodhani kwa kumuua chacha wangwe na kuachiwa na Raisi baada ya wiki mbili ndani wameshindwa wamelegea chama ndio kinadunda
Wewe ni mbumbu mkubwa mwenye siasa za unafiki, ubaguzi na uchochezi. huwez kutumia akili yako na kupambanua mambo zaid ya kupokea na kuziishi propaganda za watu wenye maslah binafsi ambao furaha na ushindi wao ni kuona Taifa linaingia kwenye dhiki na machafuko...
Hilo nalo neno, hop wana CCM wamelipokea...... ila nashindwa kukueleweni nani mkweli kati yenu mara buku 7 mara buku 5...... sasa tukubali lipi buku 7 au buku 5