Mchawi alivyong'ang'aniwa na maiti kasulu....

Mchawi alivyong'ang'aniwa na maiti kasulu....

ziwa letu tunalo....... na uchawi tunao........oh oh!! Leka tutigite!!!
 
Leka tutigite,mise,amawese,mashuka,vitenge.Kigoma Kasulu Kibondo Kakonko Buhigwe na Uvinza, nimekumbuka kuchambia wine kwny mambo ya kikubwa.
 
haya maajabu hiyo maiti ilikuwa ya mlokole nini?
 
Jana nilisikia kwamba kuna mchawi mmoja huko kasulu.,mkoan kigoma ya kuwa kuna mchawi mmoja alienda makabulin alipofika akafanya yake mara ghafla maiti ikamganda...,ebu mtujuze.!
Hear say is not admissible.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
hiyo maiti nayo inatia shaka au ya marehemu mchawi?
 
Maiti ilifufuka au jamaa aliibua toka kaburini?
 
mko wapi akina kigoma leka tutigite make wakati mnaisifia kigoma kwenye song lenu hamkutaja hayo maarifa ya kufukua maiti. Hachen hizo ishu bana.
 
yaani kuna mikoa bado sana! na kufikia 2015 hata butiama paongezewe ulinzi! hawachelewi kumfukua baba wa taifa!
 
Back
Top Bottom