Mchange, Shonza kuhamia CCM punde

Good riddance!let them ila wajihadhari wanayajua vizuri makijani ......Hawa vijana kweli?wataishia kuzungushwa inchi nzima hakuna watakachoambulia,wa tz wa sasa Mbona hawadanganyiki wameshachoshwa na makijani mijitu inamzomea mpaka BA yake R 1,kina aw ku Pinda sembuse hao makinda?ubaya Hawa vijana hawashauriki wangetulia tu ingewapa heshima Mbele ya jamii Hii ruka ruka Yao itawacost sana tu.......au Ndio prezzo kawashauri watangulie atawakutaga mwee .....
 
hawa wasaliti wakija kanda ya ziwa tutawapiga na mavi ya ng'ombe makavu yanaitwa ndelya,wajaribu sie tuko serious na ukombozi zao la pamba linashushwa thamani na hawa watu wa ssm wala hawana mpango wa kutusaidi
 
CCM ina wenyewe, na watu wenye ndimi mbili huku hatuwataki. Tuna uhakika gani wakija huku hawatarubuniwa na kutuharibia chama? CCM ina maadili asikwambie mtu, ndimi mbili NO!
Queen Esther
 

Tunamfahamu huyo mbunge. Ni Shibuda!
 
CCM ina wenyewe, na watu wenye ndimi mbili huku hatuwataki. Tuna uhakika gani wakija huku hawatarubuniwa na kutuharibia chama? CCM ina maadili asikwambie mtu, ndimi mbili NO!
Queen Esther
Wawkeni benchi kwanza. Wapige mark time.
 
Sio kama wanahamia CCM,bali wanajidhihirishi wao ni CCM.CDM walikuwa maSPY wa CCM,uSPY wenyewe umewashinda.
 

Mkuu Gracious hapo kwenye red umemaliza kabisa.
 
huyu shibuda jamani ni magamba na alihamia cdm wakati ule kwa sababu alikosa ulaji. na kwa sababu cdm ameshagundulika kuwa ni mamluki na hana nafasi, basi anatumia kila mbinu kukidhoofisha cdm kwa matamko ya uzushi na kuwakatisha watu tamaa kuendelea kukipa nguvu na kukitegemea. lakini hataweza kwa kuwa hali ngumu ya maisha iliyosababishwa na ccm watanzania wanaiona tena bila kutumia kiona mbali.(binocolar) VIVA CDM. R.I.P CCM.
 
Hapa ndo mjue kuwa magamba ni upepo uvumao bila kutikisa miti, yaani alichokuwa anakisema Mwigulu ndo hiki kuwa kuna wabunge 7 wa CDM watakaohamia CCM, ndo hao sasa.
Dah Hongereni ccm, kwa kijana wa CCM ambaye alikuwa hajaoa amepata kimwana!!!
 

Wakitoka Kanda ya ziwa waende na Mbeya na Mtwara kuidhoofisha Cdm vizuri,hv maccm yana watu wenye akili timamu kweli?wana mbinu za kitoto na za k.i.p.u.u.z.i sana!!Watanzania wa leo ni wakuwadanganya kwa propaganda za k.i.p.u.u.z.i na rahisi kiasi hiko??kazi wanayo,watoto wa she buda sijui uwa wanajisikiaje kua na baba kama huyo!
 
Siku zote katika vita na hata mazouezini tu majeruhi na wachovu wakizidiwa huenda mapumzikoni. Sasa hawa kwa kuwa wamechoka na mwendo wa Makamanda, acha wakajipumzikie ccm ambako hawatasikika tena ktika uringo wa siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…