Mchange, Shonza kuhamia CCM punde

Mchange, Shonza kuhamia CCM punde

Queen Esther, futa kauli. Gundu mnalo!

By mchami:
Mkuu Queen Esther, unasemaje?
Mchami, hivi unategemea Shoza Kama kweli yote aliyoyafanya CDM ni kweli atajaribu kuyarudia CCM? Mbona watamgombea Kama mpira wa KONA!

CCM ina wenyewe hasa UWT, akamuulize Shyrose. Yaani anaangaliwa na kufatiliwa kuliko ilivyokuwa kwa Osama na Marekani.

Ushauri wangu kwake ni kulinda mguu wake na mdomo kuliko pochi Yake.

Ndimi mbili NOOOO!

Queen Esther
 
Last edited by a moderator:
hii ni baada ya vikao vingi na makada wa ccm na wengine wa cdm huku mikocheni b nyumbani kwa nape nnauye ambako ndugu mchange habibu sasa ameamua rasmi kujiunga na ccm kama walivofanya mwampamba na shonza waliohamia ccm hivi karibuni.mpango huo ambao pia unamhusisha kwa karibu kada mmoja wa chadema aitwaye greyson nyakarungu ambaye amekuwa akikutana na mwigulu nchemba maeneo mbalimbali na hivi karibuni katika hoteli moja kubwa ya jijini kwa ajili ya kuratibu hili wanaloita pigo tukufu kwa cdm. Kama ilivyokuwa kwa akina shonza na mwampamba,mchange pia atazungushwa maeneo mengi hasa ya ukanda wa pwani,mikoa ya tanga,tabora,morogoro na dar es salaam katika mpango maalumu wa kueneza sumu ya udini na ukabila ndani ya cdm.si muda mrefu mchange atafanya uamuzi huu anaodai ni kwa mustakbali wa taifa na watu wa dini na makabila yote.
 
Waache wapoteze muda na kupewa matumaini kama wapewayo walimu wa Tz kuwa ipo siku serikali itawajali kimaslahi kumbe ni danganya toto!!

Kihakika Machange anapoteza muda wake tu.
 
Kama ilivyokuwa kwa akina shonza na mwampamba,mchange pia atazungushwa maeneo mengi hasa ya ukanda wa pwani,mikoa ya tanga,tabora,morogoro na dar es salaam katika mpango maalumu wa kueneza sumu ya udini na ukabila ndani ya cdm.si muda mrefu mchange atafanya uamuzi huu anaodai ni kwa mustakbali wa taifa na watu wa dini na makabila yote.

CCM hawatosheki, bado wana kiu ya damu ya Watanzania?
 
uzuri n 2013,hawajui kufanya timing mpaka 2015 yatakuwa yamesahaulika hayo masumu.
 
anahamia akitokea wapi? si alikuwa chadema akifanya kazi zao? nionavyo hajahamia bali amerudi kutoa taarifa ya alichotumwa kama wenzie walivyofanya, ila CCM kwa hila wanajifanya eti wanahamia, hahahahahahahaha....
 
Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu,hii dhambi ya usaliti haitawaacha kamwe!!!!
 
Nimeamini CDM haibahatishi!! Ikikunyooshea kidole kweli we masalia!!

Viva CDM!!
 
Zamani, tulizoea kuona vyama vya upinzani vikipokea viongozi waliokataa kukubaliana na mambo yanayoendelea huko U-magambani. Siku hizi tunaendelea kushuhudia CCM wakipokea Masalia yaliyofukuzwa toka vyama vya upinzani, tena kwa mbwembwe! Hivi siku wakimpokea mtu aliyetoka upinzani bila kufukuzwa, akina Vuvu si watajifunga "kangamoko" na kucheza "Nsusumia" kwa furaha!
 
Mchange sio mwanachadema kwahiyo hawezi kuhama chadema.Aseme tu anajiunga na magamba baada ya kuwa hana chama.
 
hii ni baada ya vikao vingi na makada wa ccm na wengine wa cdm huku mikocheni b nyumbani kwa nape nnauye ambako ndugu mchange habibu sasa ameamua rasmi kujiunga na ccm kama walivofanya mwampamba na shonza waliohamia ccm hivi karibuni.mpango huo ambao pia unamhusisha kwa karibu kada mmoja wa chadema aitwaye greyson nyakarungu ambaye amekuwa akikutana na mwigulu nchemba maeneo mbalimbali na hivi karibuni katika hoteli moja kubwa ya jijini kwa ajili ya kuratibu hili wanaloita pigo tukufu kwa cdm. Kama ilivyokuwa kwa akina shonza na mwampamba,mchange pia atazungushwa maeneo mengi hasa ya ukanda wa pwani,mikoa ya tanga,tabora,morogoro na dar es salaam katika mpango maalumu wa kueneza sumu ya udini na ukabila ndani ya cdm.si muda mrefu mchange atafanya uamuzi huu anaodai ni kwa mustakbali wa taifa na watu wa dini na makabila yote.

Hapo kwenye red hapo!!! Alikuwa akikutana na Mgoni kwenye hotel!!!!???? Pamoja na kusaliti chama, inawezekana kulikuwa na jambo lingine wakuu! Si mnakumbuka ya Igunga na ya Juliana huko Dom??? Anaweza kusingizia ni mipango ya usaliti, lakini mhhh, haya!!!
 
Na Mungu yupo upande wetu! Kilicho baki sasa hivi Masalia, wanalia.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
I sometimes ask myself, Why are these things happening now..! I've just come to a conclusion that IF GOD BE FOR US, WHO CAN BE AGAINST US? Glory be to God!
 
Back
Top Bottom