Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
Queen Esther, futa kauli. Gundu mnalo!
By mchami:
Mkuu Queen Esther, unasemaje?
Mchami, hivi unategemea Shoza Kama kweli yote aliyoyafanya CDM ni kweli atajaribu kuyarudia CCM? Mbona watamgombea Kama mpira wa KONA!
CCM ina wenyewe hasa UWT, akamuulize Shyrose. Yaani anaangaliwa na kufatiliwa kuliko ilivyokuwa kwa Osama na Marekani.
Ushauri wangu kwake ni kulinda mguu wake na mdomo kuliko pochi Yake.
Ndimi mbili NOOOO!
Queen Esther
Last edited by a moderator: