njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,258
- 7,101
La kuvunda halina ubani! Ni mpumbavu gani huko mikoani asiyejua kazi za DrSlaa, hadi aanze kusubiri kumsikia Shonza?
kazi gani aliyofanya slaa...? zaidi ya kupiga campaign for 2015
La kuvunda halina ubani! Ni mpumbavu gani huko mikoani asiyejua kazi za DrSlaa, hadi aanze kusubiri kumsikia Shonza?
CCM inawamiliki ila inaweza kuwapeleka NCCR kwa mkopo.Itakuwa vigumu sana kwenda NCCR maana hawawezi kuwalipa, wa ama waende NCCR chini ya ufadhili wa CCM.
ningeruhusiwa kuoa mke wa pili ningemposa Juliana Shonza ili waache kumchezea mtoto mzuri hivi! Kweli naumia,pole sana dada Shonza kwa yote unayokumbana nayo.Imagine na ccm walivyo na makundi,wakikutema utaenda wapi? Labda kwa kaka mbatia,
Lowasa, mbabe wa CCM ameishindwa CDM, Shibuda mnyonge kabisa hatoweza , kuwa na Mdomo Mpana ni maumbile tu wala si kigezo cha kujua kuongea , ndiyo maana kuna wanawake wenye makalio makubwa sana lakini ni Wagumba !
Katika kile kinachoonekana kukwama kwa mpango wa awali wa kuivuruga cdm makada wawili wa chama hicho habibu mchange na juliana shonza wanatarajiwa kujiunga na CCM ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa harakati walizoshindwa za kuibomoa cdm wakiwa ndani na sasa wameamua kuhamia kama sio kuhamishiwa CCM na wale waliokuwa wakiwatumia wakiwa CHADEMA. mpango huo unaoratibiwa hapa makao makuu ya CCM lumumba una baraka za viongozi wakuu wa CCM na unatarajiwa kutekelezwa muda sio mrefu kutoka sasa katika siku na sehemu maalumu itakayopangwa.aidha,vijana hawa wameahididwa nafasi za uongozi ndani ya uvccm na hasa kitengo cha propaganda na ubunge wa viti maalumu.
Kwa kuanzia vijana hawa watazunguka mikoa ya Kanda ya Ziwa ambako kuna mbunge mmoja wa CHADEMA(jina tunalo) ameanza kuwasafishia njia huko kwa kudai kuwa CHADEMA haina mvuto huko.lengo kuu la safari hzi ni kumchafua Dr Slaa kwa kumshambulia binafs(personal attacks) ili kuidhoofisha CHADEMA.
Habari zaidi nitaendelea kuzitoa kadri zinavyoendelea kuvuja hapa makao makuu,lumumba.
Kwani akiwataja na hao saba ndo hatakua mmbea?We na wewe ni mmbea mbona hutaji na wale wabunge 7 walio mbioni kuvaa gamba.
Buriani Ndugu yangu Mchange. Nitakukumbuka tu kwasababu tulisoma wote UDOM wewe ukichukua BA. International Relation
Wafanye wanavyojisikia mie nipo kijijini napiga m4c yangu kivyangu nawavua magamba wazee kwa vijana kama kwamba wakiendelea kukaa nayo hawataiona pepo, kudadadeki!!
Toa upumbavu wako hapa. Yaani unaifananisha CCM na Walokole ( biblia ) ? Unatafuta laana wewe. Hakika moto wa milele unakusubiri jehanamu.Watakwenda kuwahubilia CCM kile wanachopenda kusikiliza................. CCM ni kama walokole na biblia hawachoki kusikia kile wanachopenda kusikia hata kama utarudia hicho hicho kila siku kwao ni sawa tu!!
Katika kile kinachoonekana kukwama kwa mpango wa awali wa kuivuruga cdm makada wawili wa chama hicho habibu mchange na juliana shonza wanatarajiwa kujiunga na CCM ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa harakati walizoshindwa za kuibomoa cdm wakiwa ndani na sasa wameamua kuhamia kama sio kuhamishiwa CCM na wale waliokuwa wakiwatumia wakiwa CHADEMA. mpango huo unaoratibiwa hapa makao makuu ya CCM lumumba una baraka za viongozi wakuu wa CCM na unatarajiwa kutekelezwa muda sio mrefu kutoka sasa katika siku na sehemu maalumu itakayopangwa.aidha,vijana hawa wameahididwa nafasi za uongozi ndani ya uvccm na hasa kitengo cha propaganda na ubunge wa viti maalumu.
Kwa kuanzia vijana hawa watazunguka mikoa ya Kanda ya Ziwa ambako kuna mbunge mmoja wa CHADEMA(jina tunalo) ameanza kuwasafishia njia huko kwa kudai kuwa CHADEMA haina mvuto huko.lengo kuu la safari hzi ni kumchafua Dr Slaa kwa kumshambulia binafs(personal attacks) ili kuidhoofisha CHADEMA.
Habari zaidi nitaendelea kuzitoa kadri zinavyoendelea kuvuja hapa makao makuu,lumumba.