Mchange, Shonza kuhamia CCM punde

Mchange, Shonza kuhamia CCM punde

si ajabu CCM kuwapokea wao chadema waliwapokea .

Dk Slaa.

John shibuda

Acardo Ntagazwa

James Millya

na wengine

siasa zinahitaji uvumilivu huwezi kusema waliohamia chadema walikuwa mamluki ndani ya CCM.
 
ningeruhusiwa kuoa mke wa pili ningemposa Juliana Shonza ili waache kumchezea mtoto mzuri hivi! Kweli naumia,pole sana dada Shonza kwa yote unayokumbana nayo.Imagine na ccm walivyo na makundi,wakikutema utaenda wapi? Labda kwa kaka mbatia,
 
Ni jambo la aibu sana kijana msomi kujitambulisha hadharani kuwa wewe ni mnafiki,mwongo,mzandiki na huna adabu.Nawahurumia sana vijana hawa maana future yao sio ktk siasa tuu bali hata maisha ya kawaida wameiharibu wenyewe.
 
Katika kile kinachoonekana kukwama kwa mpango wa awali wa kuivuruga cdm makada wawili wa chama hicho habibu mchange na juliana shonza wanatarajiwa kujiunga na CCM ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa harakati walizoshindwa za kuibomoa cdm wakiwa ndani na sasa wameamua kuhamia kama sio kuhamishiwa CCM na wale waliokuwa wakiwatumia wakiwa CHADEMA. mpango huo unaoratibiwa hapa makao makuu ya CCM lumumba una baraka za viongozi wakuu wa CCM na unatarajiwa kutekelezwa muda sio mrefu kutoka sasa katika siku na sehemu maalumu itakayopangwa.aidha,vijana hawa wameahididwa nafasi za uongozi ndani ya uvccm na hasa kitengo cha propaganda na ubunge wa viti maalumu.

Kwa kuanzia vijana hawa watazunguka mikoa ya Kanda ya Ziwa ambako kuna mbunge mmoja wa CHADEMA(jina tunalo) ameanza kuwasafishia njia huko kwa kudai kuwa CHADEMA haina mvuto huko.lengo kuu la safari hzi ni kumchafua Dr Slaa kwa kumshambulia binafs(personal attacks) ili kuidhoofisha CHADEMA.

Habari zaidi nitaendelea kuzitoa kadri zinavyoendelea kuvuja hapa makao makuu,lumumba.

Wahamie Mara ngapi?
 
Usaliti huwa una gharama zake, ni muda tu wahusika watapata ujira wao iwapo wameamua kutumika. Huko Kanda ya Ziwa sina hakika kama wataweza kusalimika bila kichapo unless waende jimboni kwa Shibuda mwenyewe.
 
Unapomiliki danguro, halafu baadae ukaamua kujichukulia mke wa ndoa kutoka humo humo, lazima uwe umeamua!
 
Lowasa, mbabe wa CCM ameishindwa CDM, Shibuda mnyonge kabisa hatoweza , kuwa na Mdomo Mpana ni maumbile tu wala si kigezo cha kujua kuongea , ndiyo maana kuna wanawake wenye makalio makubwa sana lakini ni Wagumba !
 
Tunawatakia kila lakheri sana hawa wadau! Wajiandae kukumbana na zomea zomea za wananchi kila waendako, maana CCM na viongozi wake ni kuzomewa tu kwa kwenda mbele siku hizi! Tunawasihi katika ziara yao wasiacha kuja na Arusha!
 
La kuvunda halina ubani! Ni mpumbavu gani huko mikoani asiyejua kazi za DrSlaa, hadi aanze kusubiri kumsikia Shonza?

Watakwenda kuwahubilia CCM kile wanachopenda kusikiliza................. CCM ni kama walokole na biblia hawachoki kusikia kile wanachopenda kusikia hata kama utarudia hicho hicho kila siku kwao ni sawa tu!!
 
kama hawaijui kanda ya ziwa waambie wamuulize baba yao PINDA kilichomkuta viwanja vya sahara
 
hao kina shonza wanapata umaarufu humu jf.huko nje watu hawawafahamu ..kwangu hao ni saw ana ''ndorobo''
 
Back
Top Bottom