TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Wananchi wa Jimbo la Kigoma kusini wanafungua kesi ya kikatiba saa 5 na nusu leo asubuhi katika mahakama kuu ya Tanzania kupinga Mbunge wao kuondolewa kwenye wadhifa huo kama msimamo wa NCCR-Mageuzi wa kumvua uanachama utaendelea. kwa habari zaidi mtaoweza fika Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam mwaweza kujipatia mengi zaidi.