Mchakato huu wa Katiba ni umasikini wetu. Tujikubali, tuukubali, tuupigie kura ya ndio

Wanabodi,

When you are poor, you are just poor!, nikimaanisha ukiwa maskini, wewe ni maskini tuu, unaweza kujikuta unaishi kwa unyonge kutokana na hali yako ya umasikini!. Lakini ukijikubali kuwa wewe ni masikini, na ukaukubali huo umasikini wako kuwa ndio reality ya maisha yako!, utaanza kuishi kwa furaha ndani ya umasikini wako!.

Hivi ndiyo ulivyo huu mchakato wa katiba, process nzima tangu mwanzo hadi sasa na hadi hapo itakapopatikana hiyo katiba mpya ya serikali mbili, ni process inayofanyika hivi kutokana na umasikini wetu!, hivyo natoa wito wito kwa Watanzania wote, kwanza tujikubali sisi ni masikini wa kutupwa!, pili tukubali kuwa mchakato huu unaendeshwa hivi unavyoendeshwa kutokana na umasikini wetu, hivyp tuukubali mchakato huu hivi hivi jinsi ulivyo, na matokeo yake ya serikali mbili, kufuatia ule msemo wa mwenye kisu kikali ndie atakula nyama!.

Nimesema mchakato wetu huu, unaendeshwa hivi unavyoendeshwa kutokana na umasikini kwa sababu uundaji katiba ni a defined process, na hupitia hatua mbalimbali kama ifuatavyo.

  1. National Convention-Huu ni mkutano mkuu wa taifa unaowajumuisha wawakilishi wa kila sekta, unaweza kuwa na wajumbe 100,000 kutoka kila sekta kila kona, kwa lengo la kupanga Dira ya Taifa, SISI Watanzania tunataka taifa la aina gani?. (hizi dira kule kwenye mchakato huu uliopo, wameziita "Tunu za Taifa" sijaweza kujua ni kina nani, walikaa wapi, wakazitunga hizo tunu za taifa!?. Kutokana na umasikini wetu, hatukuweza kuitisha "National Convention" kuweka dira ya taifa hivyo tukauanza mchakato wa katiba bila kujua tunataka nini?!, baada ya kupewa hiki tulichopewa, ndipo wanakuja watu sasa kudai oh, tulitaka hiki, tulitaka kile etc!. Hapa lazima tupokee chochote tunahopewa kwa sababu hayo ni matokea tuu ya umasikini wetu!.
  2. Opinion Poll ya Muungano na Muungano wa Aina Gani?. Baada ya kupata dira ya kujua tunataka nini, kwa vile nchi yetu ni ya muungano, na muungano huo iliingiwa ki magumashi magumashi bila wananchi kuulizwa!, hatua ya pili ilikuwa ni kupigwa kura ya maoni, kuwauliza hawa Watanzania, jee tunautaka muungano?, tunataka muungano wa aina gani?, union?, federation?, wa mkataba?, association, etc!. Baada ya wananchi kuyajibu hayo ndipo process ya kukusanya maoni ya wananchi!. Hili halikufanyika kutokana umasikini, hatuna political will kuwauliza wananchi kama wanautaka muungano au la!, baada ya kuutaka ndipo wangeulizwa muungano wa aina gani?!. Hili pia halikufanyika kutokana na umasikini!.
  3. Civic Education on Constitution-Huu ni utoaji wa elimu ya katiba kwa nchi nzima kuwaelimisha Watanzania kuhusu katiba, ili utakapowadia muda wa kutoa maoni yao kuhusu Katiba gani wanaitaka, watatoa maoni ya maana!. Hili halikufanyika kutoka na umasikini!. Tume iliundwa fasta fasta na kwenda kuwauliza mambumbumbu wa katiba kutoa maoni!.
  4. Tume ya Kukusanya Maoni-Baada ya wananchi kuelimika kuhusu katiba, ndipo wangeweza kwenda mbele ya tume na kutoa maoni yao!. na kisha tume hii kutoa rasimu ya katiba!. Angalau hii tume iliundwa!, kwa umasikini tulio nao, sikujua hata fedha za tume hii zilitoka wapi?!.
  5. Uchaguzi wa Wabunge wa Constituent Assembly-Wananchi walitakiwa wawachague wabunge wao wa constituent assembly, na kuwatuma kwenda kuwatengenezea katiba!. Process ya uchaguzi lengo lake ni kupata legitimacy from the people!. Wajumbe wote wa hili Bunge Maalum, hakuna yoyote mwenye legitimay from the people!. Hakuna aliyetumwa na yoyote kwenda kututengenezea katiba!. Hili halikufanyika kutokana na umasikini, wa kushindwa kuitisha uchaguzi!.
  6. Referendum ya Kupitisha Katiba-Hii ndio the last process, ya kuipigia kura katiba hiyo ili kuipatia peoples legitimacy. Hili litafanyika, japo kwa umasikini wetu, pia bado sijajua fedha za kuitisha referendum, zitatoka wapi?!.
Kufuatia baadhi ya process za msingi kuwa skipped kutokana na umasikini wetu uliotopea, hivyo tumeweka shortcuts nyingi, hiyo katiba itakayopatikana ni katiba ya shortcuts, ila pia kufuatia hotuba ya JK ya jana akizindua bunge hilo!,
ameishatoa msimamo wa serikali mbili!. Natoa wito tuungane kwa kauli moja kuipigia kura ya ndio katiba hiyo mpya ya serikali mbili kwa sababu pia by then, we'd have spent a hell out of our stinking poverty, tukipiga kura ya kuikataa all our money we've spent, will go down, the pit latrine!.

Kwa maoni yangu, Katiba Mpya, itakuwa ni katiba ya serikali mbili!, lakini kufuatia we Tanzanians are too poor to say no to katiba mpya!, simply because we just can't afford kutengeneza proper katiba!. Hivyo ni umasikini wetu ndio umehalalisha all these shortcuts, hata wale waliotaka serikali tatu!, wasihamasishe katiba hiyo ikataliwe, nawashauri tukubali yaishe, kwa sababu the consequences ya kuikataa ni worse than kuikubali!, haswa bearing in mind umasikini wetu huu!. Beggars can not be choosers!, as beggars as we are!, we have no choice except to say Yes kwa katiba mpya ya serikali mbili simply because we are too poor to say no!.

Jee wewe unaonaje?!.
Pasco.
umenibabasha paasi,
 
Wanabodi,

When you are poor, you are just poor!, nikimaanisha ukiwa maskini, wewe ni maskini tuu, unaweza kujikuta unaishi kwa unyonge kutokana na hali yako ya umasikini!. Lakini ukijikubali kuwa wewe ni masikini, na ukaukubali huo umasikini wako kuwa ndio reality ya maisha yako!, utaanza kuishi kwa furaha ndani ya umasikini wako!.

Hivi ndiyo ulivyo huu mchakato wa katiba, process nzima tangu mwanzo hadi sasa na hadi hapo itakapopatikana hiyo katiba mpya ya serikali mbili, ni process inayofanyika hivi kutokana na umasikini wetu!, hivyo natoa wito wito kwa Watanzania wote, kwanza tujikubali sisi ni masikini wa kutupwa!, pili tukubali kuwa mchakato huu unaendeshwa hivi unavyoendeshwa kutokana na umasikini wetu, hivyp tuukubali mchakato huu hivi hivi jinsi ulivyo, na matokeo yake ya serikali mbili, kufuatia ule msemo wa mwenye kisu kikali ndie atakula nyama!.

Nimesema mchakato wetu huu, unaendeshwa hivi unavyoendeshwa kutokana na umasikini kwa sababu uundaji katiba ni a defined process, na hupitia hatua mbalimbali kama ifuatavyo.

  1. National Convention-Huu ni mkutano mkuu wa taifa unaowajumuisha wawakilishi wa kila sekta, unaweza kuwa na wajumbe 100,000 kutoka kila sekta kila kona, kwa lengo la kupanga Dira ya Taifa, SISI Watanzania tunataka taifa la aina gani?. (hizi dira kule kwenye mchakato huu uliopo, wameziita "Tunu za Taifa" sijaweza kujua ni kina nani, walikaa wapi, wakazitunga hizo tunu za taifa!?. Kutokana na umasikini wetu, hatukuweza kuitisha "National Convention" kuweka dira ya taifa hivyo tukauanza mchakato wa katiba bila kujua tunataka nini?!, baada ya kupewa hiki tulichopewa, ndipo wanakuja watu sasa kudai oh, tulitaka hiki, tulitaka kile etc!. Hapa lazima tupokee chochote tunahopewa kwa sababu hayo ni matokea tuu ya umasikini wetu!.
  2. Opinion Poll ya Muungano na Muungano wa Aina Gani?. Baada ya kupata dira ya kujua tunataka nini, kwa vile nchi yetu ni ya muungano, na muungano huo iliingiwa ki magumashi magumashi bila wananchi kuulizwa!, hatua ya pili ilikuwa ni kupigwa kura ya maoni, kuwauliza hawa Watanzania, jee tunautaka muungano?, tunataka muungano wa aina gani?, union?, federation?, wa mkataba?, association, etc!. Baada ya wananchi kuyajibu hayo ndipo process ya kukusanya maoni ya wananchi!. Hili halikufanyika kutokana umasikini, hatuna political will kuwauliza wananchi kama wanautaka muungano au la!, baada ya kuutaka ndipo wangeulizwa muungano wa aina gani?!. Hili pia halikufanyika kutokana na umasikini!.
  3. Civic Education on Constitution-Huu ni utoaji wa elimu ya katiba kwa nchi nzima kuwaelimisha Watanzania kuhusu katiba, ili utakapowadia muda wa kutoa maoni yao kuhusu Katiba gani wanaitaka, watatoa maoni ya maana!. Hili halikufanyika kutoka na umasikini!. Tume iliundwa fasta fasta na kwenda kuwauliza mambumbumbu wa katiba kutoa maoni!.
  4. Tume ya Kukusanya Maoni-Baada ya wananchi kuelimika kuhusu katiba, ndipo wangeweza kwenda mbele ya tume na kutoa maoni yao!. na kisha tume hii kutoa rasimu ya katiba!. Angalau hii tume iliundwa!, kwa umasikini tulio nao, sikujua hata fedha za tume hii zilitoka wapi?!.
  5. Uchaguzi wa Wabunge wa Constituent Assembly-Wananchi walitakiwa wawachague wabunge wao wa constituent assembly, na kuwatuma kwenda kuwatengenezea katiba!. Process ya uchaguzi lengo lake ni kupata legitimacy from the people!. Wajumbe wote wa hili Bunge Maalum, hakuna yoyote mwenye legitimay from the people!. Hakuna aliyetumwa na yoyote kwenda kututengenezea katiba!. Hili halikufanyika kutokana na umasikini, wa kushindwa kuitisha uchaguzi!.
  6. Referendum ya Kupitisha Katiba-Hii ndio the last process, ya kuipigia kura katiba hiyo ili kuipatia peoples legitimacy. Hili litafanyika, japo kwa umasikini wetu, pia bado sijajua fedha za kuitisha referendum, zitatoka wapi?!.
Kufuatia baadhi ya process za msingi kuwa skipped kutokana na umasikini wetu uliotopea, hivyo tumeweka shortcuts nyingi, hiyo katiba itakayopatikana ni katiba ya shortcuts, ila pia kufuatia hotuba ya JK ya jana akizindua bunge hilo!,
ameishatoa msimamo wa serikali mbili!. Natoa wito tuungane kwa kauli moja kuipigia kura ya ndio katiba hiyo mpya ya serikali mbili kwa sababu pia by then, we'd have spent a hell out of our stinking poverty, tukipiga kura ya kuikataa all our money we've spent, will go down, the pit latrine!.

Kwa maoni yangu, Katiba Mpya, itakuwa ni katiba ya serikali mbili!, lakini kufuatia we Tanzanians are too poor to say no to katiba mpya!, simply because we just can't afford kutengeneza proper katiba!. Hivyo ni umasikini wetu ndio umehalalisha all these shortcuts, hata wale waliotaka serikali tatu!, wasihamasishe katiba hiyo ikataliwe, nawashauri tukubali yaishe, kwa sababu the consequences ya kuikataa ni worse than kuikubali!, haswa bearing in mind umasikini wetu huu!. Beggars can not be choosers!, as beggars as we are!, we have no choice except to say Yes kwa katiba mpya ya serikali mbili simply because we are too poor to say no!.

Jee wewe unaonaje?!.
Pasco.
One Nation, One Country or Separation - Taifa Moja, Nchi Moja au Utengano!

Hili lipigiwe kura kabla hatujaamua juu ya Katiba Mpya kwani hatuwezi kuwa na Katiba Mpya bila kuamua suala la Muungano. Suala la Muungano ni zito na kubwa sana sawasawa kabisa na suala la Katiba Mpya. Muungano lazima ujadiliwe in light ya kuandikwa kwa Katiba Mpya.
Mkuu Mzee Mwanakijiji , kwanza naunga mkono hoja ya nchi moja, serikali moja chini ya rais mmoja.


Pili, kwa vile maoni haya uliyatoa a way back kabla ya mchakato wa Katiba, and now it's very unfortunately tumeingia kwenye mchakato wa katiba bila kufanya a national convention ya kupata a consensus ya Tanzania tunataka kutengeneza taifa la aina gani, muungano wa aina gani, union or federation, kwa sasa muungano wetu ni both union kwa upande mmoja, na federation kwa upande mwingine which is very unique na ndipo kwenye mzizi wa fitna.

Sasa kwa vile mchakato ulikamilika, na tunachosubiri sasa ni kukamilisha tuu mchakato kwa referendum ya kuikubali au kuikataa, nilitegemea utupe update ya maoni yako kwa hapa tulipo and a way forward

P
 
Nimesema mchakato wetu huu, unaendeshwa hivi unavyoendeshwa kutokana na umasikini kwa sababu uundaji katiba ni a defined process, na hupitia hatua mbalimbali kama ifuatavyo.

  1. National Convention-Huu ni mkutano mkuu wa taifa unaowajumuisha wawakilishi wa kila sekta, unaweza kuwa na wajumbe 100,000 kutoka kila sekta kila kona, kwa lengo la kupanga Dira ya Taifa, SISI Watanzania tunataka taifa la aina gani?. (hizi dira kule kwenye mchakato huu uliopo, wameziita "Tunu za Taifa" sijaweza kujua ni kina nani, walikaa wapi, wakazitunga hizo tunu za taifa!?. Kutokana na umasikini wetu, hatukuweza kuitisha "National Convention" kuweka dira ya taifa hivyo tukauanza mchakato wa katiba bila kujua tunataka nini?!, baada ya kupewa hiki tulichopewa, ndipo wanakuja watu sasa kudai oh, tulitaka hiki, tulitaka kile etc!. Hapa lazima tupokee chochote tunahopewa kwa sababu hayo ni matokea tuu ya umasikini wetu!.
Jee wewe unaonaje?!.
Pasco.
Wanabodi, msikilize Askofu Gwajima Bungeni Jana.

hicho alichokisema ndicho kile nilicho kisema kuhusu Tanzania kutokuwa na , dira ya taifa, na dhima ya Taifa, hivyo kila rais anakuja na yake.
P
 
Wanabodi,

When you are poor, you are just poor!, nikimaanisha ukiwa maskini, wewe ni maskini tuu, unaweza kujikuta unaishi kwa unyonge kutokana na hali yako ya umasikini!. Lakini ukijikubali kuwa wewe ni masikini, na ukaukubali huo umasikini wako kuwa ndio reality ya maisha yako!, utaanza kuishi kwa furaha ndani ya umasikini wako!

Hivi ndiyo ulivyo huu mchakato wa katiba, process nzima tangu mwanzo hadi sasa na hadi hapo itakapopatikana hiyo katiba mpya ya serikali mbili, ni process inayofanyika hivi kutokana na umasikini wetu!, hivyo natoa wito wito kwa Watanzania wote, kwanza tujikubali sisi ni masikini wa kutupwa! Pili tukubali kuwa mchakato huu unaendeshwa hivi unavyoendeshwa kutokana na umasikini wetu, hivyo tuukubali mchakato huu hivi hivi jinsi ulivyo, na matokeo yake ya serikali mbili, kufuatia ule msemo wa mwenye kisu kikali ndie atakula nyama!

Nimesema mchakato wetu huu, unaendeshwa hivi unavyoendeshwa kutokana na umasikini kwa sababu uundaji katiba ni a defined process, na hupitia hatua mbalimbali kama ifuatavyo.
  1. National Convention-Huu ni mkutano mkuu wa taifa unaowajumuisha wawakilishi wa kila sekta, unaweza kuwa na wajumbe 100,000 kutoka kila sekta kila kona, kwa lengo la kupanga Dira ya Taifa, SISI Watanzania tunataka taifa la aina gani?. (hizi dira kule kwenye mchakato huu uliopo, wameziita "Tunu za Taifa" sijaweza kujua ni kina nani, walikaa wapi, wakazitunga hizo tunu za taifa!?. Kutokana na umasikini wetu, hatukuweza kuitisha "National Convention" kuweka dira ya taifa hivyo tukauanza mchakato wa katiba bila kujua tunataka nini?!, baada ya kupewa hiki tulichopewa, ndipo wanakuja watu sasa kudai oh, tulitaka hiki, tulitaka kile etc!. Hapa lazima tupokee chochote tunahopewa kwa sababu hayo ni matokea tuu ya umasikini wetu!
  2. Opinion Poll ya Muungano na Muungano wa Aina Gani? Baada ya kupata dira ya kujua tunataka nini, kwa vile nchi yetu ni ya muungano, na muungano huo iliingiwa ki magumashi magumashi bila wananchi kuulizwa!, hatua ya pili ilikuwa ni kupigwa kura ya maoni, kuwauliza hawa Watanzania, jee tunautaka muungano?, tunataka muungano wa aina gani?, union?, federation?, wa mkataba?, association, etc!. Baada ya wananchi kuyajibu hayo ndipo process ya kukusanya maoni ya wananchi!. Hili halikufanyika kutokana umasikini, hatuna political will kuwauliza wananchi kama wanautaka muungano au la!, baada ya kuutaka ndipo wangeulizwa muungano wa aina gani?!. Hili pia halikufanyika kutokana na umasikini!
  3. Civic Education on Constitution-Huu ni utoaji wa elimu ya katiba kwa nchi nzima kuwaelimisha Watanzania kuhusu katiba, ili utakapowadia muda wa kutoa maoni yao kuhusu Katiba gani wanaitaka, watatoa maoni ya maana!. Hili halikufanyika kutoka na umasikini!. Tume iliundwa fasta fasta na kwenda kuwauliza mambumbumbu wa katiba kutoa maoni!.
  4. Tume ya Kukusanya Maoni-Baada ya wananchi kuelimika kuhusu katiba, ndipo wangeweza kwenda mbele ya tume na kutoa maoni yao!. na kisha tume hii kutoa rasimu ya katiba!. Angalau hii tume iliundwa! kwa umasikini tulio nao, sikujua hata fedha za tume hii zilitoka wapi?!
  5. Uchaguzi wa Wabunge wa Constituent Assembly-Wananchi walitakiwa wawachague wabunge wao wa constituent assembly, na kuwatuma kwenda kuwatengenezea katiba!. Process ya uchaguzi lengo lake ni kupata legitimacy from the people!. Wajumbe wote wa hili Bunge Maalum, hakuna yoyote mwenye legitimay from the people! Hakuna aliyetumwa na yoyote kwenda kututengenezea katiba!. Hili halikufanyika kutokana na umasikini, wa kushindwa kuitisha uchaguzi!
  6. Referendum ya Kupitisha Katiba-Hii ndio the last process, ya kuipigia kura katiba hiyo ili kuipatia peoples legitimacy. Hili litafanyika, japo kwa umasikini wetu, pia bado sijajua fedha za kuitisha referendum, zitatoka wapi?
Pasco.
paschal changamoto ni kwamba hata weye ni mmoja wa wengi ambao hamjishughulishi kudai katiba mpya.Unawategea CDM tu wakupambanie.Upo na CCM yako isiyotaka katiba mpya na unawatetea kila siku.Halafu unashangaa!
Mkuu Moisemusajiografii, kwa vile humu jf, kila uchao, wanaingia members wapya, hivyo kuna members hatufahamia tumeanzia wapi kupigania katiba mpya and what we stand for, sio vibaya tukasalimiana kwa kukumbushana na kukutakia mwaka mpya mwema!.
P
 
Wanabodi,

Nimesema mchakato wetu huu, unaendeshwa hivi unavyoendeshwa kutokana na umasikini kwa sababu uundaji katiba ni a defined process, na hupitia hatua mbalimbali kama ifuatavyo.
  1. National Convention-Huu ni mkutano mkuu wa taifa unaowajumuisha wawakilishi wa kila sekta, unaweza kuwa na wajumbe 100,000 kutoka kila sekta kila kona, kwa lengo la kupanga Dira ya Taifa, SISI Watanzania tunataka taifa la aina gani?. (hizi dira kule kwenye mchakato huu uliopo, wameziita "Tunu za Taifa" sijaweza kujua ni kina nani, walikaa wapi, wakazitunga hizo tunu za taifa!?. Kutokana na umasikini wetu, hatukuweza kuitisha "National Convention" kuweka dira ya taifa hivyo tukauanza mchakato wa katiba bila kujua tunataka nini?!, baada ya kupewa hiki tulichopewa, ndipo wanakuja watu sasa kudai oh, tulitaka hiki, tulitaka kile etc!. Hapa lazima tupokee chochote tunahopewa kwa sababu hayo ni matokea tuu ya umasikini wetu!
  2. Opinion Poll ya Muungano na Muungano wa Aina Gani? Baada ya kupata dira ya kujua tunataka nini, kwa vile nchi yetu ni ya muungano, na muungano huo iliingiwa ki magumashi magumashi bila wananchi kuulizwa!, hatua ya pili ilikuwa ni kupigwa kura ya maoni, kuwauliza hawa Watanzania, jee tunautaka muungano?, tunataka muungano wa aina gani?, union?, federation?, wa mkataba?, association, etc!. Baada ya wananchi kuyajibu hayo ndipo process ya kukusanya maoni ya wananchi!. Hili halikufanyika kutokana umasikini, hatuna political will kuwauliza wananchi kama wanautaka muungano au la!, baada ya kuutaka ndipo wangeulizwa muungano wa aina gani?!. Hili pia halikufanyika kutokana na umasikini!
  3. Civic Education on Constitution-Huu ni utoaji wa elimu ya katiba kwa nchi nzima kuwaelimisha Watanzania kuhusu katiba, ili utakapowadia muda wa kutoa maoni yao kuhusu Katiba gani wanaitaka, watatoa maoni ya maana!. Hili halikufanyika kutoka na umasikini!. Tume iliundwa fasta fasta na kwenda kuwauliza mambumbumbu wa katiba kutoa maoni!.
  4. Tume ya Kukusanya Maoni-Baada ya wananchi kuelimika kuhusu katiba, ndipo wangeweza kwenda mbele ya tume na kutoa maoni yao!. na kisha tume hii kutoa rasimu ya katiba!. Angalau hii tume iliundwa! kwa umasikini tulio nao, sikujua hata fedha za tume hii zilitoka wapi?!
  5. Uchaguzi wa Wabunge wa Constituent Assembly-Wananchi walitakiwa wawachague wabunge wao wa constituent assembly, na kuwatuma kwenda kuwatengenezea katiba!. Process ya uchaguzi lengo lake ni kupata legitimacy from the people!. Wajumbe wote wa hili Bunge Maalum, hakuna yoyote mwenye legitimay from the people! Hakuna aliyetumwa na yoyote kwenda kututengenezea katiba!. Hili halikufanyika kutokana na umasikini, wa kushindwa kuitisha uchaguzi!
  6. Referendum ya Kupitisha Katiba-Hii ndio the last process, ya kuipigia kura katiba hiyo ili kuipatia peoples legitimacy. Hili litafanyika, japo kwa umasikini wetu, pia bado sijajua fedha za kuitisha referendum, zitatoka wapi?

Pasco.
Asante sana Rais Mama Samia, this time mchakato will do the right thing.
Mama Samia atabarikiwa sana!.

P
 
Ila wewe brother siku hizi dah pole sana mbona mchakato wa katiba ulifanyika chini ya warioba naikapatikana katiba safi ya wananchi ambayo inahitaji serikali tatu sasa kama ukizungumzia umasikini wetu inamaana umeyaona maoni ya wananchi ni yakimasikini napia unamaanisha masikini hana hadhi wala haki yakujadili katiba ya Taifa lake
Hicho ni kibri na dharau iliyopitiliza mifano na kama wewe na wanao kutuma mnatujadili hivyo baasi tunaomba mtuheshim na mtutake radhi tusije fikia kipindi chakumuachia mungu

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Nimesema mchakato wetu huu, unaendeshwa hivi unavyoendeshwa kutokana na umasikini kwa sababu uundaji katiba ni a defined process, na hupitia hatua mbalimbali kama ifuatavyo.
  1. National Convention-Huu ni mkutano mkuu wa taifa unaowajumuisha wawakilishi wa kila sekta, unaweza kuwa na wajumbe 100,000 kutoka kila sekta kila kona, kwa lengo la kupanga Dira ya Taifa, SISI Watanzania tunataka taifa la aina gani?. (hizi dira kule kwenye mchakato huu uliopo, wameziita "Tunu za Taifa" sijaweza kujua ni kina nani, walikaa wapi, wakazitunga hizo tunu za taifa!?. Kutokana na umasikini wetu, hatukuweza kuitisha "National Convention" kuweka dira ya taifa hivyo tukauanza mchakato wa katiba bila kujua tunataka nini?!, baada ya kupewa hiki tulichopewa, ndipo wanakuja watu sasa kudai oh, tulitaka hiki, tulitaka kile etc!. Hapa lazima tupokee chochote tunahopewa kwa sababu hayo ni matokea tuu ya umasikini wetu!
  2. Opinion Poll ya Muungano na Muungano wa Aina Gani? Baada ya kupata dira ya kujua tunataka nini, kwa vile nchi yetu ni ya muungano, na muungano huo iliingiwa ki magumashi magumashi bila wananchi kuulizwa!, hatua ya pili ilikuwa ni kupigwa kura ya maoni, kuwauliza hawa Watanzania, jee tunautaka muungano?, tunataka muungano wa aina gani?, union?, federation?, wa mkataba?, association, etc!. Baada ya wananchi kuyajibu hayo ndipo process ya kukusanya maoni ya wananchi!. Hili halikufanyika kutokana umasikini, hatuna political will kuwauliza wananchi kama wanautaka muungano au la!, baada ya kuutaka ndipo wangeulizwa muungano wa aina gani?!. Hili pia halikufanyika kutokana na umasikini!
  3. Civic Education on Constitution-Huu ni utoaji wa elimu ya katiba kwa nchi nzima kuwaelimisha Watanzania kuhusu katiba, ili utakapowadia muda wa kutoa maoni yao kuhusu Katiba gani wanaitaka, watatoa maoni ya maana!. Hili halikufanyika kutoka na umasikini!. Tume iliundwa fasta fasta na kwenda kuwauliza mambumbumbu wa katiba kutoa maoni!.
  4. Tume ya Kukusanya Maoni-Baada ya wananchi kuelimika kuhusu katiba, ndipo wangeweza kwenda mbele ya tume na kutoa maoni yao!. na kisha tume hii kutoa rasimu ya katiba!. Angalau hii tume iliundwa! kwa umasikini tulio nao, sikujua hata fedha za tume hii zilitoka wapi?!
  5. Uchaguzi wa Wabunge wa Constituent Assembly-Wananchi walitakiwa wawachague wabunge wao wa constituent assembly, na kuwatuma kwenda kuwatengenezea katiba!. Process ya uchaguzi lengo lake ni kupata legitimacy from the people!. Wajumbe wote wa hili Bunge Maalum, hakuna yoyote mwenye legitimay from the people! Hakuna aliyetumwa na yoyote kwenda kututengenezea katiba!. Hili halikufanyika kutokana na umasikini, wa kushindwa kuitisha uchaguzi!
  6. Referendum ya Kupitisha Katiba-Hii ndio the last process, ya kuipigia kura katiba hiyo ili kuipatia peoples legitimacy. Hili litafanyika, japo kwa umasikini wetu, pia bado sijajua fedha za kuitisha referendum, zitatoka wapi?
Na wote wanaozungumzia habari za Katiba Mpya hawazungumzii mambo haya ya Msingi katika kupata Katiba itakayomilikiwa na wananchi.

Wanaimba katiba mpya itafanya hivi itaondoa hivi. Lakini, hawasemi ili kupata Katiba mpya yenye uwezo wa kufanya hayo wanayoyataka ni nini kifanyike, hawausemi Hata Kidogo!!

Wanasema tutumie Ile ya "Jaji Warioba", kumbe nayo ilikuwa na hitilafu kama , Mheshimiwa Paskali Mayalla ulivyoainisha.

Asante sana, Mheshimiwa Paskali Mayalla.
 
Na wote wanaozungumzia habari za Katiba Mpya hawazungumzii mambo haya ya Msingi katika kupata Katiba itakayomilikiwa na wananchi.

Wanaimba katiba mpya itafanya hivi itaondoa hivi. Lakini, hawasemi ili kupata Katiba mpya yenye uwezo wa kufanya hayo wanayoyataka hawausemi!!!

Asante sana, Mheshimiwa Paskali Mayalla.
Mkuu TUJITEGEMEE , kiukweli kabisa kuna wengi wanataka katiba mpya kwa mkumbo tuu lakini hata hii katiba iliyopo hawaijui wala hawajui mapungufu yake, hivyo hawawezi kutoa mawazo ya maana ya kutaka katiba mpya bora, naendelea kusisitiza kwa huu muda uliobakia mpaka uchaguzi wa 2025, hautoshi kutupatia katiba mpya bora, ila muda uliobakia unatosha kufanya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi na kuunda tume huru ya uchaguzi kama tulivyo mshauri Mama hapa Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!
P
 
Wanabodi,
uundaji katiba ni a defined process, na hupitia hatua mbalimbali kama ifuatavyo.
  1. National Convention-Huu ni mkutano mkuu wa taifa unaowajumuisha wawakilishi wa kila sekta, unaweza kuwa na wajumbe 100,000 kutoka kila sekta kila kona, kwa lengo la kupanga Dira ya Taifa, SISI Watanzania tunataka taifa la aina gani?. (hizi dira kule kwenye mchakato huu uliopo, wameziita "Tunu za Taifa" sijaweza kujua ni kina nani, walikaa wapi, wakazitunga hizo tunu za taifa!?. Kutokana na umasikini wetu, hatukuweza kuitisha "National Convention" kuweka dira ya taifa hivyo tukauanza mchakato wa katiba bila kujua tunataka nini?!, baada ya kupewa hiki tulichopewa, ndipo wanakuja watu sasa kudai oh, tulitaka hiki, tulitaka kile etc!. Hapa lazima tupokee chochote tunahopewa kwa sababu hayo ni matokea tuu ya umasikini wetu!
  2. Opinion Poll ya Muungano na Muungano wa Aina Gani? Baada ya kupata dira ya kujua tunataka nini, kwa vile nchi yetu ni ya muungano, na muungano huo iliingiwa ki magumashi magumashi bila wananchi kuulizwa!, hatua ya pili ilikuwa ni kupigwa kura ya maoni, kuwauliza hawa Watanzania, jee tunautaka muungano?, tunataka muungano wa aina gani?, union?, federation?, wa mkataba?, association, etc!. Baada ya wananchi kuyajibu hayo ndipo process ya kukusanya maoni ya wananchi!. Hili halikufanyika kutokana umasikini, hatuna political will kuwauliza wananchi kama wanautaka muungano au la!, baada ya kuutaka ndipo wangeulizwa muungano wa aina gani?!. Hili pia halikufanyika kutokana na umasikini!
  3. Civic Education on Constitution-Huu ni utoaji wa elimu ya katiba kwa nchi nzima kuwaelimisha Watanzania kuhusu katiba, ili utakapowadia muda wa kutoa maoni yao kuhusu Katiba gani wanaitaka, watatoa maoni ya maana!. Hili halikufanyika kutoka na umasikini!. Tume iliundwa fasta fasta na kwenda kuwauliza mambumbumbu wa katiba kutoa maoni!.
  4. Tume ya Kukusanya Maoni-Baada ya wananchi kuelimika kuhusu katiba, ndipo wangeweza kwenda mbele ya tume na kutoa maoni yao!. na kisha tume hii kutoa rasimu ya katiba!. Angalau hii tume iliundwa! kwa umasikini tulio nao, sikujua hata fedha za tume hii zilitoka wapi?!
  5. Uchaguzi wa Wabunge wa Constituent Assembly-Wananchi walitakiwa wawachague wajumbe wao wa constituent assembly, na kuwatuma kwenda kuwatengenezea katiba!. Process ya uchaguzi lengo lake ni kupata legitimacy from the people!. Wajumbe wote wa hili Bunge Maalum, hakuna yoyote mwenye legitimay from the people! Hakuna aliyetumwa na yoyote kwenda kututengenezea katiba!. Hili halikufanyika kutokana na umasikini, wa kushindwa kuitisha uchaguzi!
  6. Bunge Maalum la Katiba ndipo sasa linafuata Bunge Maalum la Katiba Kupitisha Katiba pendekezwa.
  7. Referendum ya Kupitisha Katiba-Hii ndio the last process, ya kuipigia kura katiba hiyo ili kuipatia peoples legitimacy. Hili litafanyika, japo kwa umasikini wetu, pia bado sijajua fedha za kuitisha referendum, zitatoka wapi?
    Pasco.
Paschal Mayalla, niwie radhi kwasababu nilijibu maoni ya Lucas aliyokutag nikidhani ni maneno yako. Tena nilitaka kushangaa, mtu kama wewe kuwaza katika ule muelekeo ni ajabu.
Mkuu mbussi , usijali nimekuelewa na nimekuleta hapa kukupiga darasa la mchakato wa utengenezaji katiba bora. Mchakato huu wa Katiba ni umasikini wetu. Tujikubali, tuukubali, tuupigie kura ya ndio

Pia humu JF, najihesabu ni mmoja wa self made teachers wa katiba
P
 
Back
Top Bottom