Mchagua jembe si mkulima.

Mchagua jembe si mkulima.

Basi hata hiyo spot inakuwa haina ulazima wa mwanaume kuifanya pia kama wao ni lazima waweke vigezo vya kupewa pesa.

Kiufupi tu tusipangiane maisha mkuu
Mkuu maisha haya endo bila pesa, sembuse mwanamke ambae ndo anakupa ile kitu roho inapenda?

Mkuu maisha yana revolve around money, ukiwa huna hela wewe ni Takataka tu.

That's it, hakuna demu mkali atakuelewa, huta pata heshima, utaonekana debe tupu
 
Mkuu maisha haya endo bila pesa, sembuse mwanamke ambae ndo anakupa ile kitu roho inapenda?

Mkuu maisha yana revolve around money, ukiwa huna hela wewe ni Takataka tu.

That's it, hakuna demu mkali atakuelewa, huta pata heshima, utaonekana debe tupu
Sikupingi, ila kwa mwanaume mwenye pesa hazuiliwi kuweka vigezo vingi anavyovitaka maana yeye ndo kashikilia mpini
 
Mtu kuanguka doesn't corelate to being a fool, btw hio ilikua nyongeza tu main point ni chukua muda wako kuchunguza mtu cheki familia yake makuzi yake magonjwa ya kurithi, ushirikina etc. The divorce rate is higher coz people didn't take their time on choosing their partners.
Nimekuuliza hayo maadili siku hizi unayapata kwa nani?

Mkuu if you wait till uambiwe huyu ndiye sahihi pasipo wewe kukaa naye na kujiona mwenyewe utaishia kuwa single, maana nothing will feel pleasant to you
 
Sasa kama Binti kiziwi, ShesRise_1, Binti wa zamani wamemkazia unadhani atafanyaje ? Bora abaki kutushauri tu wengine 😅
Wewe Nimesha kwambia hizo nongwa zako za kutafuta attention kwa wanawake ambao unajua fika huwajui hawakujui ni ujuha tu
 
Nimekuuliza hayo maadili siku hizi unayapata kwa nani?

Mkuu if you wait till uambiwe huyu ndiye sahihi pasipo wewe kukaa naye na kujiona mwenyewe utaishia kuwa single, maana nothing will feel pleasant to you
Umeniuliza wapi? Fresh tu ni maisha yako wee jibebee zaga juu kwa juu ukipata watoto na mtu asie sahihi utakumbuka maneno yangu.
 
Umeniuliza wapi? Fresh tu ni maisha yako wee jibebee zaga juu kwa juu ukipata watoto na mtu asie sahihi utakumbuka maneno yangu.
My friend linapo kuja swala la kuoa.. Kupata mtu sahihi ni majaaliwa, unaweza kudhani ni sahihi na akaja kukupiga tukio, lakini unaweza kudhani sie na wewe kumuona ndo ikawa mwanzo wake mpya
 
Wanaume tuache kuweka vigezo vingi kwa wanawake..

Mchagua jembe si mkulima.

Tafuta mwenye unafuu anza nae, maisha.

Ukikaa kudhani kuna perfect match, utasubiri mpaka utakufa ukimtafuta.

Ndo maana mabachela wengi ni wale wenye elimu za darasani. Maana wana over analyse.

Life is short.
Umeoa au uko mbioni kutoa?
 
My friend linapo kuja swala la kuoa.. Kupata mtu sahihi ni majaaliwa, unaweza kudhani ni sahihi na akaja kukupiga tukio, lakini unaweza kudhani sie na wewe kumuona ndo ikawa mwanzo wake mpya
We unaongea theory me nakueleza practical, ok tufanye uko sahihi basi.. life will humble you man mark my words.
 
Wanaume tuache kuweka vigezo vingi kwa wanawake..

Mchagua jembe si mkulima.

Tafuta mwenye unafuu anza nae, maisha.

Ukikaa kudhani kuna perfect match, utasubiri mpaka utakufa ukimtafuta.

Ndo maana mabachela wengi ni wale wenye elimu za darasani. Maana wana over analyse.

Life is short.
Mkuu usichague sura check for her smartness
 
Back
Top Bottom