Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Samahani sana mkuu yaani "babu" unataka kumfananisha na Yesu????????? Khaaaaa yaani wewe jamaa wa ajabu sana unamfananisha Messi na Ngasa?! Yesu ni world ICON huwezi kumfananisha na mtu wa kawaida mkuu..............
Aah kaka? Hajawafananisha bwana, amekosoa doubt ya Judy kwenye masharti kwa kuonesha kuwa hata Yesu alikuwa na masharti. Right Moh'd?