Lugha anazotumia msigwa zinafanana na lugha za vijana wa bavicha hapa JF na kwingineko. Inawezelama yeye ndio mkufunzi wa matusi wa vijana wa Bavicha!!!
Sijawahi kuona mchungaji mwenye upeo mdogo kama Msingwa.
hajaelewa maana chakafu kitu kilichoka hakifai ccm tena kila sekta wizi tuu
Wabaguzi hao, hawana lolote.michagadema hiyo watz wameistukia
Lugha anazotumia msigwa zinafanana na lugha za vijana wa bavicha hapa JF na kwingineko. Inawezelama yeye ndio mkufunzi wa matusi wa vijana wa Bavicha!!!
Nashangaa sana Msingwa ndiyo tegemeo lenu katika masuala ya uchambuzi.Ungeonaje wakati akili zako zimedumaa?
Sijawahi kuona mchungaji mwenye upeo mdogo kama Msingwa.
huna akili sawasawa upo wapi? unaishi Iringa? unamjua msigwa au unamlinganisha, mbona sisi tupo Iringa? na huyo ni Jembe la Iringa. hapo na wewe Umechakaa kama chama chako ccm, na akili mgando(Zimedumaa) kama mawaziri wakoNi kweli mawaziri wengi ni mzigo, lakini hata Mh. Msigwa naye ni mzigo kwa wana Iringa!