Mch.Josephat Gwajima aliejizolea Umaarufu wa kupambana na Nguvu za kichawi kwa Jina Yesu,Nikuombe Sasa ukiwa Mjumbe wa Mungu,Ukamfanyie Maombi DKT HARISON MWAKYEMBE taifa bado linamuhitaji,Mungu ni Mweza Wa Yote.
Najua humu wapo wa kupeleka Taarifa hz,
Mungu akuguse ukamwombee.