Mch.JOSEPHAT GWAJIMA MUOMBEE DKT MWAKYEMBE.

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Sep 2, 2011
4,875
1,216
Mch.Josephat Gwajima aliejizolea Umaarufu wa kupambana na Nguvu za kichawi kwa Jina Yesu,Nikuombe Sasa ukiwa Mjumbe wa Mungu,Ukamfanyie Maombi DKT HARISON MWAKYEMBE taifa bado linamuhitaji,Mungu ni Mweza Wa Yote.
Najua humu wapo wa kupeleka Taarifa hz,
Mungu akuguse ukamwombee.
 
Mch.Josephat Gwajima aliejizolea Umaarufu wa kupambana na Nguvu za kichawi kwa Jina Yesu,Nikuombe Sasa ukiwa Mjumbe wa Mungu,Ukamfanyie Maombi DKT HARISON MWAKYEMBE taifa bado linamuhitaji,Mungu ni Mweza Wa Yote.
Najua humu wapo wa kupeleka Taarifa hz,
Mungu akuguse ukamwombee.
Halafu?
 
Kisha Yesu akalia akasema baba ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke, lakini si kama nitakavyo mimi bali mapenzi yako yatimizwe! Ni kweli tumuombee sana Dr Harison Mwakyembe lakini tusisahau na mapenzi ya Mungu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom