Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,912
Tusikuze maneno bila sababu. Alitumia neno 'shombo' in what context?
Yaani MITUMBA !!
Tusikuze maneno bila sababu. Alitumia neno 'shombo' in what context?
Katika mahubiri yake leo, Mzee wa upako amewambia wanaume ambao wanaoa wanawake waliokwisha olewa au wamezaa kuwa kama hawaogopi "Shombo" waoe tu. Waumini wakaonekana kushangaa!!! Akasema NDIOOOOOOOOO!!! kuwapoza.
Wanaume wenzangu tulioguswa, tufanyeje?
Mimi pia nilimshangaa,pia alisema yupo siku nyingi kwenye industry ya neno la Mungu. Kazi kweli kweli!!
Huyu mtu anamatatizo. sijawahi kusikia akihubiri kuhusu habari za dhambi na uzima wa milele. yeye kutwa anahubiri mafanikio ya duniani. utasikia chukua gari, oh chukua semitrailer, oh nakupa nyumba utakuwa baba mwenye nyumba. funguweni macho watu wa Mungu. siku za mwisho zaja hupesi.......
Aache ubaguzu aubiri upendo na siyo kusimanga wanawake kwani hata Adam pale bustanini SI alipata shombo Tu baada ya hawa kudanganywa na kutoa tunda asilete za kuleta na kianza kudhalilisha wanawake waliozaa au kuolewa na kuachwa au kufiwa .Mimi napinga huu udhalilishaji kwani Hana cha kuubiri au kufundisha
Mimi pia nilimshangaa,pia alisema yupo siku nyingi kwenye industry ya neno la Mungu. Kazi kweli kweli!!
hahaha industry ya neno la Mungu uwiii
Hiyo yote tisa kuna siku aliponda wanaume wafupi eti wewe mwanaume mfupi utaoaje mwanamke mrefu afu wewe ndo kichwa cha familia mfupi kushindwa mkeo!!Aache ubaguzu aubiri upendo na siyo kusimanga wanawake kwani hata Adam pale bustanini SI alipata shombo Tu baada ya hawa kudanganywa na kutoa tunda asilete za kuleta na kianza kudhalilisha wanawake waliozaa au kuolewa na kuachwa au kufiwa .Mimi napinga huu udhalilishaji kwani Hana cha kuubiri au kufundisha
Huyu mtu anamatatizo. sijawahi kusikia akihubiri kuhusu habari za dhambi na uzima wa milele. yeye kutwa anahubiri mafanikio ya duniani. utasikia chukua gari, oh chukua semitrailer, oh nakupa nyumba utakuwa baba mwenye nyumba. funguweni macho watu wa Mungu. siku za mwisho zaja hupesi.......
Mtumishi Lusekelo ni zaidi ya TB joshua!
Watu wametafsiri vingine kumbe alikuwa anawatia moyo wafanye maamuzi wasijiulize ulizeAlitoa mfano wa mfalme Daudi alivyomrejea mkewe wa zamani ambaye by then alikuwa mwanamke wa mwanaume mwingine. Akasema hakuogopa 'shombo'. Alimsifia kwa hilo
Acha umbea na uongo leo kile kipindi chake leo kimerushwa hewani na mimi nilikiangalia takribani saa nzima hayo uliyoyasema hakuyasema acha uongo dont be stupid.
Tusikuze maneno bila sababu. Alitumia neno 'shombo' in what context?
kwa mara ya kwanza nasikia nabii ana a.k.a