Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Mi huwa nafurah sanj nikiiona hyo avatar yko
dah mkuu avatar ina raha gani hiyo?
Mi huwa nafurah sanj nikiiona hyo avatar yko
watz bana kila kitu tunapenda kuangalia in negative way hivi hakuna hata siku moja amesema maneno ya busara? Usimjaji kwa mawazo yako binafsi jaribu kufikiri nje....Katika mahubiri yake leo, Mzee wa upako amewambia wanaume ambao wanaoa wanawake waliokwisha olewa au wamezaa kuwa kama hawaogopi "Shombo" waoe tu. Waumini wakaonekana kushangaa!!! Akasema NDIOOOOOOOOO!!! kuwapoza.
Wanaume wenzangu tulioguswa, tufanyeje?
Teh teh teh!Katika mahubiri yake leo, Mzee wa upako amewambia wanaume ambao wanaoa wanawake waliokwisha olewa au wamezaa kuwa kama hawaogopi "Shombo" waoe tu. Waumini wakaonekana kushangaa!!! Akasema NDIOOOOOOOOO!!! kuwapoza.
Wanaume wenzangu tulioguswa, tufanyeje?
Kruce are you single mom...???Tusikuze maneno bila sababu. Alitumia neno 'shombo' in what context?
ulipatwa na wewe??Unachongea unakijua??? Usitete uovu dhambi inatabia ya kumtafuna mtu..! Ngono zembe matunda ni majuto ikiwa ni pamoja na kulea mtoto peke yako.Aache ubaguzu aubiri upendo na siyo kusimanga wanawake kwani hata Adam pale bustanini SI alipata shombo Tu baada ya hawa kudanganywa na kutoa tunda asilete za kuleta na kianza kudhalilisha wanawake waliozaa au kuolewa na kuachwa au kufiwa .Mimi napinga huu udhalilishaji kwani Hana cha kuubiri au kufundisha
Hampendi ukweli kwanini? Saikolojikally iko hivyo wanawake walefu wanadharau sana menshortiii...Hiyo yote tisa kuna siku aliponda wanaume wafupi eti wewe mwanaume mfupi utaoaje mwanamke mrefu afu wewe ndo kichwa cha familia mfupi kushindwa mkeo!!

MSITOE SADAKA MWAMBIENI SADAKA NAZO NI SHOMBO KAMA SHOMBO NYINGINE,AU KAMA VIPI FANYENI KAMA WALIVYOFANYA BANDARINISasa ujipozee na nini mkuu kama ulipanga ratiba ya kumuangalia mtumishi ili upate neno na ukapata ulichotaraji ni sawia kabisa hakuna cha kujipoza hapo. Jpili ijayo kabla ujapanga ratiba za kwenda huko njoo hapa omba ushauri alafu .....
Not at all love. I am a married woman.Kruce are you single mom...???![]()
![]()
ulipatwa na wewe??
Hawa wachungaji wengine ni tabu tupu.Katika mahubiri yake leo, Mzee wa upako amewambia wanaume ambao wanaoa wanawake waliokwisha olewa au wamezaa kuwa kama hawaogopi "Shombo" waoe tu. Waumini wakaonekana kushangaa!!! Akasema NDIOOOOOOOOO!!! kuwapoza.
Wanaume wenzangu tulioguswa, tufanyeje?
You are missed big bro.Hawa wachungaji wengine ni tabu tupu.
Ndiyo maana wengine tumekataa kuamini dini, tumekataa kuamini Mungu, tunaishi maisha kwa kutumia akiki zetu wenyewe. Na hilo halina maana tunaishi maisha ya ukatili au immoral.
Ukifuata wachungaji kama hawa unaweza kunyanyapaa watu ukifikiri unafuata maagizo ya mtu wa mungu.
Upuuzi mtupu.
Mkuu mtu anayeitwa mtumishi/nabii hawa wanaoanzisha madhehebu yao, wengi wamejikita ktk mambo mawili;Huyu mtu anamatatizo. sijawahi kusikia akihubiri kuhusu habari za dhambi na uzima wa milele. yeye kutwa anahubiri mafanikio ya duniani. utasikia chukua gari, oh chukua semitrailer, oh nakupa nyumba utakuwa baba mwenye nyumba. funguweni macho watu wa Mungu. siku za mwisho zaja hupesi.......
Huyu Muhubiri ana matusi na kashfa sana. ni wa kumuombea Mungu amsamehe.Katika mahubiri yake leo, Mzee wa upako amewambia wanaume ambao wanaoa wanawake waliokwisha olewa au wamezaa kuwa kama hawaogopi "Shombo" waoe tu. Waumini wakaonekana kushangaa!!! Akasema NDIOOOOOOOOO!!! kuwapoza.
Wanaume wenzangu tulioguswa, tufanyeje?
Inalipahahaha industry ya neno la Mungu uwiii
Not at all love. I am a married woman.
Kwanza angalia bango lake, halina ujumbe wowote wa kiroho zaidi ya picha yake na anapenda sana misifa. Eti yeye ni transformer .. mzee wa upako .... u mimi mwingi. Zaidi mahubiri yao hujenga hofu ili wapate pesa, sio kukua kuroho.Huyu Mchungaji huwa ananiacha hoi sana.n