Mch. Antony Lusekelo na "shombo"

Mch. Antony Lusekelo na "shombo"

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,361
Reaction score
6,441
Katika mahubiri yake leo, Mzee wa upako amewambia wanaume ambao wanaoa wanawake waliokwisha olewa au wamezaa kuwa kama hawaogopi "Shombo" waoe tu. Waumini wakaonekana kushangaa!!! Akasema NDIOOOOOOOOO!!! kuwapoza.
Wanaume wenzangu tulioguswa, tufanyeje?
 
Leo ilikuwa marudio tu, hii aliisema siku chache zilizopita. Inaonekana mahubiri yake sio "live" hata siku moja. Kwa nini?
 
Tusikuze maneno bila sababu. Alitumia neno 'shombo' in what context?
 
Sasa ujipozee na nini mkuu kama ulipanga ratiba ya kumuangalia mtumishi ili upate neno na ukapata ulichotaraji ni sawia kabisa hakuna cha kujipoza hapo. Jpili ijayo kabla ujapanga ratiba za kwenda huko njoo hapa omba ushauri alafu .....
 
Huyu mtu anamatatizo. sijawahi kusikia akihubiri kuhusu habari za dhambi na uzima wa milele. yeye kutwa anahubiri mafanikio ya duniani. utasikia chukua gari, oh chukua semitrailer, oh nakupa nyumba utakuwa baba mwenye nyumba. funguweni macho watu wa Mungu. siku za mwisho zaja hupesi.......
 
Katika mahubiri yake leo, Mzee wa upako amewambia wanaume ambao wanaoa wanawake waliokwisha olewa au wamezaa kuwa kama hawaogopi "Shombo" waoe tu. Waumini wakaonekana kushangaa!!! Akasema NDIOOOOOOOOO!!! kuwapoza.
Wanaume wenzangu tulioguswa, tufanyeje?

Hata issue hiyo unacomplicate!! kweli?
 
Tusikuze maneno bila sababu. Alitumia neno 'shombo' in what context?

Sio kukuza, alikuwa akisimulia mambo ya agano la kale la vita, mapigano and the like. Kuna mtu alikuwa amekwenda kwenye vita akarudi akakuta mke wake ameolewa na mtu mwingine. Alichokidai cha kwanza ni mke wake: ndio Mzee wa upako akasema "kama haogopi shombo" akapewa. Wanarudia , fuatilia utaisikia! That was the context anyway?
 
Alitoa mfano wa mfalme Daudi alivyomrejea mkewe wa zamani ambaye by then alikuwa mwanamke wa mwanaume mwingine. Akasema hakuogopa 'shombo'. Alimsifia kwa hilo

Nashukuru kwa ufafanuzi sikuweza kushika majina ya huyo mtu. Asante!
 
Watanzania siku zote hamtaki kuambiwa ukweli, kama kuna aliyeumia dawa ni kwenda pale na kumuuliza alikuwa na maana gani na kama unasali pale ila hujafurahishwa na kauli hiyo hama kanisa, tupunguze kuleta mada za kulalamika hapa du!
 
Alitoa mfano wa mfalme Daudi alivyomrejea mkewe wa zamani ambaye by then alikuwa mwanamke wa mwanaume mwingine. Akasema hakuogopa 'shombo'. Alimsifia kwa hilo

mkuu naona ulielewa alichomaanisha, jitahidi kumuelewesha mtoa mada maana naona alisikia ila hakuelewa
 
Aache ubaguzu aubiri upendo na siyo kusimanga wanawake kwani hata Adam pale bustanini SI alipata shombo Tu baada ya hawa kudanganywa na kutoa tunda asilete za kuleta na kianza kudhalilisha wanawake waliozaa au kuolewa na kuachwa au kufiwa .Mimi napinga huu udhalilishaji kwani Hana cha kuubiri au kufundisha
 
Back
Top Bottom