jamaa huyu kanifurahisha maana kafa kishujaa, kang'ang'ania kumkwamua mbuzi aliyegoma mwisho kakwama yeye!!! na sikio la kifo halisikii dawa, licha ya kuambiwa bwana wee tigo itakutia raha hadi uchanganyikiwe yeye kang'ang'ania tu!!!! yaani kafa kishujaa akipata ile kitu roho inapenda!!! mie naihurumia familia yake ambayo itakuwa kama imejinyea mbele ya hadhara kwani wengi watawatazama kwa jicho pembe kidogo hadi watakapokuja kusahau kwa kweli itawachukua muda sana. Kwa niaba ya wazinzi wote napenda kuwapa pole mjane na watoto wa marehemu, aidha namnpa pole yule hawara ambaye amekatishwa uhondo kwa ghafla sana. swali: hivi huyu nae tunamuomba MUNGU amlaze pema peponi? au tunafanyaje???
Redbull na nyagi eti unataka kushindana na ilipotoka!!!watu bwana!!!Viagra
Heshima kwako Nyamayao,
Samahani jana nilikuwa na shughuli za nje kiasi kwamba nilisahau kabisa kuifuatilia hii mada.
Kanisa liliamua kumzika MC Lema kwasababu habari zilizoandikwa kwenye magazeti hasa Mwananchi zilikuwa zimejaa ushabiki na pengine uhasama baina ya marehemu na mwandishi.
Napenda kukujulisha kwamba MC W Lema alizikwa na kanisa kwa heshima zote za kanisa ingawa kulikuwa na maneno ya chini chini kwamba mwanamke anayedaiwa kutembea na marehemu alikuwa ni mtoto wa mchungaji ndio maana kanisa likatoa upendeleo.
Mwandishi wa gazeti la mwananchi alishutumiwa sana jinsi alivyoandika habari kwa ushabiki.mwandishi alikuwa na uhakika gani marehemu alishafanya **** mara moja na mara ya pili ndipo alipozidiwa,kwamba uenda alitumia viagra wakati hapakuwa na kidhiti chochote polisi kuthibitisha kauli yake pia marehemu hakufanyiwa postmoterm kubaini kama alitumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume.
SASA nitamuua nani wakati waifu mwenyewe KWA RIDHAA YAKE AMEAMUA KUVUA!
mbaya zaidi amekutwa kwenye nyumba ya kulala wageni,meaning kwamba angespend hapo hata siku mbili WHICH IMPLIES THE possibilities za kutotumia kondom,WHICH JUSTFIES KWAMBA kuna uwezekano watoto mlionao sio wako,WHICH WILL MEAN TO ME kwamba ni lazima nikachek DNA...
yaani SCIENTIFICALLY kuna so many implications.....!tuwe wakweli tuache siasa
ilikula sana chati hii thread .
kudadadadeki wazinzi tukifa huwa tunakufa vibaya ile mbaya
Kuna mama anaitwa Devota Masawe tena mke wa mtu kafia Rombo Green view pale Shekilango juzijuzi akiwa anakamuliwa na hawara. Inaelekea wachagga wanachangamkia sana pande hizi. Mbona ni wao tu? Mwaka jana bwana MC Lema, mwaka huu Mrs Masawe, wachagga badilikeni!
ilikula sana chati hii thread .
kudadadadeki wazinzi tukifa huwa tunakufa vibaya ile mbaya
Dada Heaven on earth pitia na hapa utapata kila kitu.
Amekufa akizini