Mbwembwe za ndege zimeishia wapi?

Mbwembwe za ndege zimeishia wapi?

Wewe mrundi unafurahia hasara ya ndege tunayopata ndiyo maana uko kimya.
Sasa wewe unafurahia kutokea kwa mabaya tu kwan ushabaguliwa kupewa huduma yoyote kisa wewe ni member wa chama fulani? Maana shule wanasoma watoto wetu wote,barabara na madaraja tunatumia wote na hata hizo ndege mnazoponda si huwa mnazipanda? Au ushazuiliwa kupanda ndege kisa wewe sio CCM? Yaani nyie watu ni watata sana.Sina chama ila mnafanya nianze kuwachukia kabisa yaani.
BTW ATCL ni changa bado imefufuliwa karibuni.Subiri normal schedule ya safari za ndege irudi labda utapata majibu ya maswali yako.
 
Jibu hoja ya ndege mambo ya dawa ya quinine anzisha mada yake ujibiwe na wataalamu wa MSD.
Wewe si ndiye dawa mwenyewe ambaye huna dili kabisa kwa sasa kwa sababu ugonjwa wa kifisadi haupo tena (Malaria ulikuwa ufisadi ya ndugu yako)
 
Nyie watu hakika kuna mahali mnalipwa, huwezi kushupaza shingo namna hii.

Tatizo la usafiri wa anga halijaikumba TZ peke yake, ingekuwa nchi yetu ndio pekee imeumia hapo ungekuwa na hoja, lakini hili janga ni la dunia nzima. Unataka serikali ifanyaje hapo?
Hawa watu ni wa ajabu sana mkuu, mimi sio mshabiki wa vyama vya siasa ila kama mleta hoja ni mpinzani basi kuna shida na aina ya upinzani tulio nao nchini.

Kupinga kila kitu ambacho kinafanywa na mpinzani wako kisiasa bila sababu za msingi, kutasababisha mtu udharaulike wewe na kundi lako lote na mwisho itaonekana ule umuhimu wa kuwa na hoja m-badala kutoka kwenye makundi mawili yanayokinzana kisiasa kwa maendeleo ya taifa haupo kabisa.
 
Kama ilivyo kosa matumizi Quinine baada ya ugonjwa wa malaria kutokomezwa na serikali ya awamu ya 5 na ndivyo wana ufipa mmekosa kabisa muelekeo, hamjitambui kabisa na hamjui vipawa mbele vyenu kwenye huu uchaguzi ni vitu gani. Wewe endelea kutafuta wagonjwa wa Malaria ili waitumie hiyo Quinine wakati wadudu wanaosababisha Malaria hawapo
Mataga tulia hapo chini sindano ikuingie vizuri.
 
kwahiyo Tanzania kama nchi tusimiliki ndege?
Quinine au ulikuwa na maoni gani labda na wewe kuhusu nchi kuwa na flag carrier?
 
Serikali naomba mthibiti mambo ya uhamiaji na wakimbizi.Matokeo yake miaka michache ijayo tunapata watu kaliba ya mtoa mada.
Wakimbizi na wahamiaji ni hawa wanaolitia hasara taifa na hawa wanaowasifia kwa kutuingiza loss kubwa.
 
Kuna maamuzi yanahitaji kufanya kwa namna unavyoona, sio kila mtu anaweza support ideas zako kwa maana kila mmoja anaona tofauti, wengine mithili kama yako mnaogopa risk kuliko kutazamia ukuaji wa mradi, hakuna biashara isiyo na falls and rise, lazima kama mfanyabiashara uwe risk taker.

Shuleni mnasomea course gani zisizo hata na Economics marketing ,financial management, cost account, business mathematics, account maana haya masomo ni msingi katika maisha yetu ya kila siku
Siyo unaingia kichwakichwa halafu unajiita risk taker, yakupasa ukapimwe mkojo bro.
Risk katika biashara haiwi hivyo.
 
Unatuletea story za mjinga mmoja eti hata mtoto wa jirani kafeli fomu foo kama wetu.
Mjinga ni yule anaemlaumu mumewe kuwa mtoto wake hajaenda shule miezi mitatu ilhali watoto dunia nzima walifunga/wamefunga shule kwasababu ya corona pandemic.
 
Ni kama umetokwa na povu sana,
Unataka povu atokwe nani?Kokoto?Miti?

Povu tunatokwa sisi wanadamu,and I'm doing exactly a human being is supposed to do!
Unaweza kujiona mjuaji kumbe ni mtupu waulize wenzako wanakuonaje ndiyo utajijua wewe ni mpuuzi kiasi gani
Nimejiona mjuaji?Unataka nijione sio mjuaji sababu wewe unataka?

Mimi mjuaji haswa...go jump into the ocean basi!
Wewe unayoijua serikali umeisaidia nini?
Nimesaidia nini na kwa nani?Binadamu nimekuja mwenyewe,sipo responsible for anybody,na yeyote hayupo responsible for me!

Kila mtu afanye yake!

Eti nimesaidia nini?Sipo hapa duniani kumsaidia yeyote,nipo hapa duniani ku-survive against anybody including you,bibi yako or anybody,and thats exactly my only duty!

Misaada peleka huko kwa macommunists mapumbavu!
Baba katika familia ndiyo muhimili lakini sio kila mtu anaweza kuwa baba sio kama wewe, kuwa baba inakuchukua kuwa na mambo mengi na yenye faidi kwa wengi ndani ya familia

Baba wa familia ni kichwa sio mpumbavu...Akiwa mumbavu anakua sio kichwa,full stop.

Na one another thing,Mawe sio baba wa yeyote else,ni baba wa familia yake yeye huko kwake,sisi tumempa kazi,analogy ya baba ni kama unatugeuza sisi watoto na ni so patronizing...fvkc you with your analogy!

Hoja zingine ulizotoa za kujifaraguza sijibu ni za kisenge...

Another thing,personally I dont care what you think about anything and don't even read what I write!
 
Back
Top Bottom