Mbwembwe za ndege zimeishia wapi?

Mbwembwe za ndege zimeishia wapi?

Corona imeanza juzi hebu tupe faida ya ndege zetu kuanzia 2016 hadi 2019 kabla ya corona.
Hawawezi kukupa jibu mkuu! Ule mradi wa ndege ulikua ni wa kukurupuka na kutafuta sifa tu. Hauna faida yoyote kwa Watz
 
Tulikuwa hatulali kila kukicha kesho angalieni mawinguni, Serikali nzima ilikuwa inakesha airport kusubiri Bombardia, kila hotuba hata iwe kanisani lazima izungumzie ununuzi wa ndege, faida ya ndege, na majigambo kede kede, zile ahadi za kuifanya Dar hub of Afrika zimeishia wapi.

Sisi wachache kina Quinine, barafu, kina Zitto tuliwatahadharisha mapema, tuliwaambia MATAGA biashara ya ndege ni ngumu sana inahitaji back up kubwa ya Serikali hatukueleweka, OK, sasa midege haina route za nje imepaki tu airport mingine ikiishia kuzunguka Kibondo - Ngara kwa hasara, tumebaki kuzindua Rwandair ikibeba mizigo ya samaki Mwanza kupeleka Ulaya.

MATAGA tupeni mrejesho, Msemaji Mkuu wa Serikali lini tena tuangalie mawinguni.
Kuna kitu kinaitwa Corona, umeshawahi kukisikia? Nauliza tu
 
Tanzania hatuna vipaumbele. Tulitakiwa kumaliza kwanza madarasa na barabara na vituo vya afya..
Tulikuwa hatulali kila kukicha kesho angalieni mawinguni, Serikali nzima ilikuwa inakesha airport kusubiri Bombardia, kila hotuba hata iwe kanisani lazima izungumzie ununuzi wa ndege, faida ya ndege, na majigambo kede kede, zile ahadi za kuifanya Dar hub of Afrika zimeishia wapi.

Sisi wachache kina Quinine, barafu, kina Zitto tuliwatahadharisha mapema, tuliwaambia MATAGA biashara ya ndege ni ngumu sana inahitaji back up kubwa ya Serikali hatukueleweka, OK, sasa midege haina route za nje imepaki tu airport mingine ikiishia kuzunguka Kibondo - Ngara kwa hasara, tumebaki kuzindua Rwandair ikibeba mizigo ya samaki Mwanza kupeleka Ulaya.

MATAGA tupeni mrejesho, Msemaji Mkuu wa Serikali lini tena tuangalie mawinguni.
 
Tulikuwa hatulali kila kukicha kesho angalieni mawinguni, Serikali nzima ilikuwa inakesha airport kusubiri Bombardia, kila hotuba hata iwe kanisani lazima izungumzie ununuzi wa ndege, faida ya ndege, na majigambo kede kede, zile ahadi za kuifanya Dar hub of Afrika zimeishia wapi.

Sisi wachache kina Quinine, barafu, kina Zitto tuliwatahadharisha mapema, tuliwaambia MATAGA biashara ya ndege ni ngumu sana inahitaji back up kubwa ya Serikali hatukueleweka, OK, sasa midege haina route za nje imepaki tu airport mingine ikiishia kuzunguka Kibondo - Ngara kwa hasara, tumebaki kuzindua Rwandair ikibeba mizigo ya samaki Mwanza kupeleka Ulaya.

MATAGA tupeni mrejesho, Msemaji Mkuu wa Serikali lini tena tuangalie mawinguni.
Ndege anapanda mwenyewe kwenda kwake
 
Tulikuwa hatulali kila kukicha kesho angalieni mawinguni, Serikali nzima ilikuwa inakesha airport kusubiri Bombardia, kila hotuba hata iwe kanisani lazima izungumzie ununuzi wa ndege, faida ya ndege, na majigambo kede kede, zile ahadi za kuifanya Dar hub of Afrika zimeishia wapi.

Sisi wachache kina Quinine, barafu, kina Zitto tuliwatahadharisha mapema, tuliwaambia MATAGA biashara ya ndege ni ngumu sana inahitaji back up kubwa ya Serikali hatukueleweka, OK, sasa midege haina route za nje imepaki tu airport mingine ikiishia kuzunguka Kibondo - Ngara kwa hasara, tumebaki kuzindua Rwandair ikibeba mizigo ya samaki Mwanza kupeleka Ulaya.

MATAGA tupeni mrejesho, Msemaji Mkuu wa Serikali lini tena tuangalie mawinguni.
Utakufa na stress wewe vipi Mwenyekiti amepona na Faru John?
 
Tanzania hatuna vipaumbele. Tulitakiwa kumaliza kwanza madarasa na barabara na vituo vya afya..
Hangaika na Faru John. Leo WB wameitangaza TZ ni nchi yenye Kipato cha Kati. Pole sana!
 
COVID19 subiri huyu mdudu akidhibitiwa na anga za dunia zikifunguka ndio utajua ile midege ni asset au liability. Kwa sasa dunia karibu yote inalia na wale wasio na uwezo wa kusaidia airlines zao ndio zinaelekea kuzimu. Tanzania tuna utajiri wa kutosha ATCL lazima itaibuka tu.
 
Tulikuwa hatulali kila kukicha kesho angalieni mawinguni, Serikali nzima ilikuwa inakesha airport kusubiri Bombardia, kila hotuba hata iwe kanisani lazima izungumzie ununuzi wa ndege, faida ya ndege, na majigambo kede kede, zile ahadi za kuifanya Dar hub of Afrika zimeishia wapi.

Sisi wachache kina Quinine, barafu, kina Zitto tuliwatahadharisha mapema, tuliwaambia MATAGA biashara ya ndege ni ngumu sana inahitaji back up kubwa ya Serikali hatukueleweka, OK, sasa midege haina route za nje imepaki tu airport mingine ikiishia kuzunguka Kibondo - Ngara kwa hasara, tumebaki kuzindua Rwandair ikibeba mizigo ya samaki Mwanza kupeleka Ulaya.

MATAGA tupeni mrejesho, Msemaji Mkuu wa Serikali lini tena tuangalie mawinguni.
Corona huioni wewe eeeh..
Screenshot_2020-07-01-19-31-32-163_com.instagram.android.jpg
Screenshot_2020-07-01-19-31-29-511_com.instagram.android.jpg
 
Nilifurahi sana serikali ilipofufua shirika hili, hata kama linaenda kwa hasara, tuwe na shirika letu
Safi mkuu, tunahitaji uwekezaji huu sana na ni kwa manufaa yetu sote, tunasema tuna vivutio vya utalii lakini means of transport ni poor, usafiri wa anga rais wangu aliona mbali sana,

wengi hawawezi kuliona hilo, na wala hawawezi kuona faida mapema baadae watakuja kuelewa, na watakuja kwenye huu uzi wakijutia walichokua wakipinga, ukijaribu kuonyesha tija wa huu uwekezaji watu wanatamani hata kukutoa roho,
 
Ndege hazina faida mkuu, hatuwezi kukejeli maendeleo kwa maana halisi ya maendeleo lakini hatuwezi kuunga mkono miradi tunayojua wazi itatutia hasara.
Baba yako akianzisha biashara ya barafu Makete utamuunga mkono?
Bila bila
 
Naoana post yangu imefutwa, narudia tena hivi unaweza ukafurahi baba yako kufeli, utakua mzima kweli, hizi ndege ni kwa faida ya nani? Ni yetu sote watanzania lilifanyika jambo hili kwa manufaa yetu lakini watu mnakejeli sana uwekezaji huu.
Sema kwa faida ya wachache,ni lini masikini anayehangaikia mlo mmoja kwa siku atapanda ndege?hata hesabu za manunuzi yake zimefichwa au we unazo?
 
Naoana post yangu imefutwa, narudia tena hivi unaweza ukafurahi baba yako kufeli, utakua mzima kweli, hizi ndege ni kwa faida ya nani? Ni yetu sote watanzania lilifanyika jambo hili kwa manufaa yetu lakini watu mnakejeli sana uwekezaji huu.
Hazina faida yoyote, mlikurupuka
 
Back
Top Bottom