Mbwembwe za ndege zimeishia wapi?

Mbwembwe za ndege zimeishia wapi?

Uko mbali na uhalisia,,,,tunahitaji ndege tena sana,lkn si kwa utaratibu huu wa mtu mmoja kuamua
Kuna maamuzi yanahitaji kufanya kwa namna unavyoona, sio kila mtu anaweza support ideas zako kwa maana kila mmoja anaona tofauti, wengine mithili kama yako mnaogopa risk kuliko kutazamia ukuaji wa mradi, hakuna biashara isiyo na falls and rise, lazima kama mfanyabiashara uwe risk taker.

Shuleni mnasomea course gani zisizo hata na Economics marketing ,financial management, cost account, business mathematics, account maana haya masomo ni msingi katika maisha yetu ya kila siku
 
Kuna maamuzi yanahitaji kufanya kwa namna unavyoona, sio kila mtu anaweza support ideas zako kwa maana kila mmoja anaona tofauti, wengine mithili kama yako mnaogopa risk kuliko kutazamia ukuaji wa mradi, hakuna biashara isiyo na falls and rise, lazima kama mfanyabiashara uwe risk taker.. Shuleni mnasomea course gani zisizo hata na Economics marketing ,financial management, cost account, business mathematics, account maana haya masomo ni msingi katika maisha yetu ya kila siku
Usichanganye mambo boss,walioweka taratibu za manunuzi walijua iko siku atatokea mjinga mmoja afanye yake,hata lugola yalimfika kwa kutofuata kanuni
 
Baba akifeli watoto wenye akili lazima wamwambie ukweli. Ila mitoto ya mama inakaa kimya au inasifia ujinga wa baba...

Nikimwona baba yangu anafanya mambo ya kipuuzi inayokwamisha maendeleo ya familia, namwambia ukweli. Akileta ujinga naweza kumkwida...

Bahati nzuri baba yangu hajawahi fanya hayo, na hivi sasa nimekuwa baba tayari. Siwezi kufanya ujinga pia...

Baba unanunua magari ya kifahari, tunaishi kwenye nyumba ya kupanga unanisomesha shule ya kata, unaendekeza nyumba ndogo... ukikaa vibaya nakucharaza bakora
Unashadadikia vitu anavyonunua baba yako, nenda kajenge kwako huwe na uhuru sio kumsimamia baba yako kwa pesa alizozitafuta kwa jasho lake, mitoto mingine huwa inakua kama laana, haiwezi hata kusifia jitihada za baba imekaa kukosoa tu na kusubiri pesa ya baba akahongee visichana,
 
Endeleeni kutumia kovidi kama kivuli cha kujificha, muda utaongea tu!

Siku hizi kila kitu kovidi, hata mdeni wangu hanisumbui tena... namwambia tu hali ni mbaya si unaona!!!
Lakini si ni kweli kuwa Covid-19 imeleta athari, kama ingekua haijaleta athari basi tungesema imetumika kujenga hoja, uwekezaji wowote una hatua zake mpaka kufikia pale kwenye malengo(peak) ,
 
Naoana post yangu imefutwa, narudia tena hivi unaweza ukafurahi baba yako kufeli, utakua mzima kweli, hizi ndege ni kwa faida ya nani? Ni yetu sote watanzania lilifanyika jambo hili kwa manufaa yetu lakini watu mnakejeli sana uwekezaji huu
Kwa hakika si kitu cha kawaida mtu kufurahia kufeli kwa mzazi wake. Na ikitokea hivyo basi ujue lazima kuna sababu muhimu sana iliyopelekea furaha hiyo.
 
Unashadadikia vitu anavyonunua baba yako, nenda kajenge kwako huwe na uhuru sio kumsimamia baba yako kwa pesa alizozitafuta kwa jasho lake, mitoto mingine huwa inakua kama laana, haiwezi hata kusifia jitihada za baba imekaa kukosoa tu na kusubiri pesa ya baba akahongee visichana,
Mitoto ya mama ndo inadhani ndege imenunuliwa na hela ya baba. Haijui baba mwenyewe hata kula yake inategemea jasho lao. Mitoto mijinga iliyozoea kuvalishwa nepi ikiwa tayari inaweza kujisaidia yenyewe... Shame!
 
Naoana post yangu imefutwa, narudia tena hivi unaweza ukafurahi baba yako kufeli, utakua mzima kweli, hizi ndege ni kwa faida ya nani? Ni yetu sote watanzania lilifanyika jambo hili kwa manufaa yetu lakini watu mnakejeli sana uwekezaji huu
Mawe baba yake nani?

Na baba si mwanadamu au ni nani?

Baba?

Who is baba wewe?

Baba hakoseagi?

Eti baba yako akifeli,maana asifeli yeye nani?

Ukishakua baba IQ yako ni 300?

Na unakua bora kuliko wanadamu wote?Na Hufanyi kosa?

Anaekosea anasifiwa au anakoselewa regardless?

Yaani kama wanadamu wa hii nchi,tuna reward makosa sababu mtu anaitwa baba?

Je bibi?Babu?Mama?Kaka?etc?Hao si watu ni mawe?

Mawe baba yako wewe binafsi,usipakae watu wote upumbavu unaouona wewe!

Eti Uwekezaji kwa faida ya nani?Mali ni ya serikali kama entity,haihusu mwananchi private,ni looting ya wanasiasa kupata mitaji ya kuhonga electorates back.

Go lie to motherfvckers huko...

People know what is government and who is a politician and government wealth ni nini na chanzo chake ni looting kutoka kwa innocent hard working private citizens
 
Mawe baba yake nani?

Na baba si mwanadamu au ni nani?

Baba?

Who is baba wewe?

Baba hakoseagi?

Eti baba yako akifeli,maana asifeli yeye nani?

Ukishakua baba IQ yako ni 300?

Na unakua bora kuliko wanadamu wote?Na Hufanyi kosa?

Anaekosea anasifiwa au anakoselewa regardless?

Yaani kama wanadamu wa hii nchi,tuna reward makosa sababu mtu anaitwa baba?

Je bibi?Babu?Mama?Kaka?etc?Hao si watu ni mawe?

Mawe baba yako wewe binafsi,usipakae watu wote upumbavu unaouona wewe!

Eti Uwekezaji kwa faida ya nani?Mali ni ya serikali kama entity,haihusu mwananchi private,ni looting ya wanasiasa kupata mitaji ya kuhonga electorates back.

Go lie to motherfvckers huko...

People know what is government and who is a politician and government wealth ni nini na chanzo chake ni looting kutoka kwa innocent hard working private citizens
Ni kama umetokwa na povu sana,

Unaweza kujiona mjuaji kumbe ni mtupu waulize wenzako wanakuonaje ndiyo utajijua wewe ni mpuuzi kiasi gani,

Sihalalishi mawazo yangu yawe yako, ila pale unapochangia kujiona mawazo yako ndiyo kitu sana ni upumbavu wa hali ya juu,


Wewe unayoijua serikali umeisaidia nini?

Nani kasema baba hakosei? Kuna mibaba sampuli yako ni viazi sana,

Baba katika familia ndiyo muhimili lakini sio kila mtu anaweza kuwa baba sio kama wewe, kuwa baba inakuchukua kuwa na mambo mengi na yenye faidi kwa wengi ndani ya familia

Ulifikiri namtaja baba kiazi kama wewe,

Shida ni moja hapa huwezi kuona yaliyofanyika kwa taaifa hili kwa kuwa una bias, mchango wako mkubwa ni kukaa nyuma ya keyboard na kuponda vya wanaume wenzako, grow up acha kuwa mjinga na kufunika macho kujitia upofu kwa vitu vinavyonekana
 
Nyie watu hakika kuna mahali mnalipwa, huwezi kushupaza shingo namna hii.

Tatizo la usafiri wa anga halijaikumba TZ peke yake, ingekuwa nchi yetu ndio pekee imeumia hapo ungekuwa na hoja, lakini hili janga ni la dunia nzima. Unataka serikali ifanyaje hapo?
Hao wanalala huku wanaota waamke na 'hoja' gani kuleta mihemko mitandaoni.
 
Mitoto ya mama ndo inadhani ndege imenunuliwa na hela ya baba. Haijui baba mwenyewe hata kula yake inategemea jasho lao. Mitoto mijinga iliyozoea kuvalishwa nepi ikiwa tayari inaweza kujisaidia yenyewe... Shame!
Umehama hoja sasa unapondwa wakina mama kuwa wakina mama ni wajinga, una akili kweli wewe na ukongwe wako humu lakini akili yako haikui utoto mwingi,


Huna hoja kaa kimya sio kuanza na mifano ambayo ina mdhalilisha mama kama mama ambaye pia hata mama yako aliekuzaa,

Huyo huyo mama unae mdharaua ndiye aliekubeba wewe kwa miezi 9 tumboni, aliekulisha na kukubadilidha nepi usiku na mchana, leo umekua unamuona mpuzi, mjinga, unajichumia laana kwa kuwaita wakina mama wajinga na kwenda zaidi mitoto ya mama ni mijinga,

Ndivyo ulivyo lakini
 
Nyie watu hakika kuna mahali mnalipwa, huwezi kushupaza shingo namna hii.

Tatizo la usafiri wa anga halijaikumba TZ peke yake, ingekuwa nchi yetu ndio pekee imeumia hapo ungekuwa na hoja, lakini hili janga ni la dunia nzima. Unataka serikali ifanyaje hapo?
Wakati serikali inaanzisha na kununua ndege kwa fujo ilikuwa inamkomoa nani jawakujua biashara ya ndege ni janga la dunia.
 
Hivi janga la Covid-19 hujui kama limeleta athari kubwa sana, na kuathiri usafari wa anga pia, unachokosoa hapo ni nini, usomi wenu huwa mnasomea nini huko mashuleni mnashindwa hata kutoa tasmini za hapa na pale
Corona imeanza juzi hebu tupe faida ya ndege zetu kuanzia 2016 hadi 2019 kabla ya corona.
 
Naoana post yangu imefutwa, narudia tena hivi unaweza ukafurahi baba yako kufeli, utakua mzima kweli, hizi ndege ni kwa faida ya nani? Ni yetu sote watanzania lilifanyika jambo hili kwa manufaa yetu lakini watu mnakejeli sana uwekezaji huu
baba ukifanya ujinga wa kiburi na majigambo ya wendawazimu nitafurahi uki fail!
 
Kama ilivyo kosa matumizi Quinine baada ya ugonjwa wa malaria kutokomezwa na serikali ya awamu ya 5 na ndivyo wana ufipa mmekosa kabisa muelekeo, hamjitambui kabisa na hamjui vipawa mbele vyenu kwenye huu uchaguzi ni vitu gani. Wewe endelea kutafuta wagonjwa wa Malaria ili waitumie hiyo Quinine wakati wadudu wanaosababisha Malaria hawapo
Jibu hoja ya ndege mambo ya dawa ya quinine anzisha mada yake ujibiwe na wataalamu wa MSD.
 
Back
Top Bottom