Mbwana Samata ajenga kituo cha watoto yatima, kuzinduliwa March

Mbwana Samata ajenga kituo cha watoto yatima, kuzinduliwa March

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,914
Reaction score
133,926
IMG-20260222-WA0006.jpg

Hongera sana Mbwana Samata
 
Wengine hatujatimiza majukumu yetu ipasavyo inasababisha mtu mmoja anajenga nyumba ya kulea watoto wengi, dini ya uislam inataka yatima wakaishi majumbani kwa watu na sio kwenye vituo, kama wananchi wenye uwezo wangegawana mayatima kusingekuwa na sababu ya vituo.
 
Back
Top Bottom