Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,557
- 3,001
Heshima zenu wakuu!
Wanajamvi jana imetokea sokomoko mtaani mida ya saa 9:05 usiku kundi la mbwa linatembea huku wakibweka, wengine huenda waliachwa nyuma wakawa wanipita mmoja na wengine wawili nakumbuka kuna wengine walikuja dirishani kubweka dah!
Sijawah experience hili jambo, hivi wajuzi wa mambo inawezekana mbwa wakatembea kwa makundi na hata kufatana?
Wanajamvi jana imetokea sokomoko mtaani mida ya saa 9:05 usiku kundi la mbwa linatembea huku wakibweka, wengine huenda waliachwa nyuma wakawa wanipita mmoja na wengine wawili nakumbuka kuna wengine walikuja dirishani kubweka dah!
Sijawah experience hili jambo, hivi wajuzi wa mambo inawezekana mbwa wakatembea kwa makundi na hata kufatana?