Mbwa koko wameadimika mtaani

Mbwa koko wameadimika mtaani

Kuna siku nimemtembezea mmoja mawe, nahisi mguu ulivunjika
 
Mbwa koko wameadimika kwasababu.
1. Kuongezeka kwa vijana wa kichaga mjini wasio na Ajira.
2. Kuongezeka kwa idadi ya wachina mjini.
3. Kuongezeka kwa biashara ya mishkaki muda wa usiku especially maeneo ya stendi..
 
Siku hizi kuna mbuzi koko....unakutana na mbuzi wanazurura tu wamenona balaaa... majaribu sana kwakweli huwa nawamezea mate
 
wee Eve una nini lakinii??
Kuna siku niliona kundi la mbuzi pale mitaa ya airport aloooo nilisimama kuwaangalia walikua 8 majike ya maana wote weusi mwingine ana mimba yani hadi nilimeza mate wanafaa kwa supu na kuchoma.... majaribuni kichizi mamaeeh
 
Miaka ya nyuma kidogo ilikuwa kila dampo lazima ukute kundi la mbwa likitafuta chakula.

Lakini siku hizi ni ngumu sana kukuta mbwa iwe kwenye madampo au mtaani.

Hawa mbwa wamepata soko au watu wameamua kuwafuga kwa kuwafungia?
Yule fundi wa vitoweo vya jitijiti Msamvu Morogoro analizungumziaje hili
 
Uwiii!! Kwa hizi comments Kama nawaona wale wapenda mishikaki inayouzwa mia mia wanàvyojisikia mioyoni.
Kuna kipindi njia ya Iringa Dim kulikuea na mama anauza sambusa za nyama na mapande ya nyama ya mbuzi kwenye mabasi, sijui bado anaendelea au ameacha?
 
Kuna siku niliona kundi la mbuzi pale mitaa ya airport aloooo nilisimama kuwaangalia walikua 8 majike ya maana wote weusi mwingine ana mimba yani hadi nilimeza mate wanafaa kwa supu na kuchoma.... majaribuni kichizi mamaeeh
Wee hao si ndo wanasema mbuzi watu? Yaan misukulee??
 
Miaka ya nyuma kidogo ilikuwa kila dampo lazima ukute kundi la mbwa likitafuta chakula.

Lakini siku hizi ni ngumu sana kukuta mbwa iwe kwenye madampo au mtaani.

Hawa mbwa wamepata soko au watu wameamua kuwafuga kwa kuwafungia?
Wachina wakishamaliza miradi nchini na wakaondoka tutawaona mbwa koko, paka na vijoka joka wakivinjari mitaani
 
Mbwa koko wameadimika kwasababu.
1. Kuongezeka kwa vijana wa kichaga mjini wasio na Ajira.
2. Kuongezeka kwa idadi ya wachina mjini.
3. Kuongezeka kwa biashara ya mishkaki muda wa usiku especially maeneo ya stendi..
Sasa wachaga wameingiaje Tena mkulu....
 
Back
Top Bottom