Mbwa koko wameadimika mtaani

Mbwa koko wameadimika mtaani

Miaka ya nyuma kidogo ilikuwa kila dampo lazima ukute kundi la mbwa likitafuta chakula.

Lakini siku hizi ni ngumu sana kukuta mbwa iwe kwenye madampo au mtaani.

Hawa mbwa wamepata soko au watu wameamua kuwafuga kwa kuwafungia?
wapo....tembelea maeneo ya Saint Augustine wapo WA kutosha Hadi wanamwagikia
 
Kwenye miji mikubwa hapa Tz ndo wameadimika lkn ukizama ndani huko kama kawaida yanazurura hovyo.
 
Back
Top Bottom