cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
Unanunua mishkaki ya 100 au 200 na nyama kubwakubwa hata hujiulizi ndgu.
Kilo ya nyama 7000 afu mshkaki 100 na umejaa tele mzee shtukaa
Ushawahi kuona wapi mshkaki unauzwa 100 kama sio kadogy kadodo kadodo





hivyo ulaji ukaendelea kama kawaida.