Mbwa koko wameadimika mtaani

Mbwa koko wameadimika mtaani

Ddm pale swaswa Kuna waauza mishkaki wengi mno na Ni Bei ni Mia mbili kwa moja ,niliwai kumuliza mtu mnapata wapi nyama hz akanijibu madukani jirani hapa bas nikaenda lile duka aliloniambia kuwa wanapata hxo nyama Hapo nilienda nikamuuliza muuza duka Hilo na kuruka mita Mia huku akicheka aksema hkn muuza mshikaki hapo nnje anaweza kununua nyama kwangu hao waliokuambia kuwa walinunua hapa wamekudanga nya

Mpk leo sijajuwa jamaaa wanapata wapi mishikaki hzo za Mia mbili

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ddm pale swaswa Kuna waauza mishkaki wengi mno na Ni Bei ni Mia mbili kwa moja ,niliwai kumuliza mtu mnapata wapi nyama hz akanijibu madukani jirani hapa bas nikaenda lile duka aliloniambia kuwa wanapata hxo nyama Hapo nilienda nikamuuliza muuza duka Hilo na kuruka mita Mia huku akicheka aksema hkn muuza mshikaki hapo nnje anaweza kununua nyama kwangu hao waliokuambia kuwa walinunua hapa wamekudanga nya

Mpk leo sijajuwa jamaaa wanapata wapi mishikaki hzo za Mia mbili

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Miaka ya nyuma kidogo ilikuwa kila dampo lazima ukute kundi la mbwa likitafuta chakula.

Lakini siku hizi ni ngumu sana kukuta mbwa iwe kwenye madampo au mtaani.

Hawa mbwa wamepata soko au watu wameamua kuwafuga kwa kuwafungia?
TUMISHIKAKI TULIOJAA MITAANI UNADHANI NI NGOMBE?, OGOPA SANA, LIFE IMEKUWA NGUMU WATU WANABUNI KILA JAMBO, KIBAYA ZAIDI, NYAMA IKIPAKWA VIUNGO KUIGUNDUA HUWEZI HATA PAKA UNAWEZA KULISHWA.
 
😅😂 kuna siku nilikula mishkaki hapo nilijiskia vibaya usiku mzima, ile sio nyama ya kawaida.
Wanakata vipande vikubwa vikubwa kuvutia wateja. Nimekula mara mbili na mara zote niliharisha. Mdogo wangu anafanya kazi stand ya Magufuli ndiye alinisanua.
Hata boda ya Busia nimetafuna sana nyama ya nyani bila kujua 😂😂😂
 
Kweli kabisa hata mimi naonaga bora kubeba chakula ambacho kwa asilimia 100 unakuwa na uhakika nacho.

Japo sasa hasa nyie Me baadhi bila kula hiyo mishikaki ya njiani wanaona kama hawajasafiri. 😅
Nisiseme uongo, mimi hata bila safari mishikaki napenda sanaa 😂😂.. Hata kwenye menyu naweza kula wali mbogamboga na mishikaki tu na ninaridhika kuliko rost. Kinachoniokoa huwa sili kila sehemu hasa zile zenye bei ambazo haziendani na hali halisi ya buchani
 
Nisiseme uongo, mimi hata bila safari mishikaki napenda sanaa 😂😂.. Hata kwenye menyu naweza kula wali mbogamboga na mishikaki tu na ninaridhika kuliko rost. Kinachoniokoa huwa sili kila sehemu hasa zile zenye bei ambazo haziendani na hali halisi ya buchani
Hapo sawa Mkuu. Nyama zisizoeleweka ni zile unaletewa madirishani. 😅
 
Unanunua mishkaki ya 100 au 200 na nyama kubwakubwa hata hujiulizi ndgu.

Kilo ya nyama 7000 afu mshkaki 100 na umejaa tele mzee shtukaa

Ushawahi kuona wapi mshkaki unauzwa 100 kama sio kadogy kadodo kadodo
 
Zile za stand na chips za moto huwa sinunui 😂 Ila kuna wale wa posta kitambo wanachoma mishikaki na ndizi, zile nimekula sana hasa siku nikiwa juu ya mawe
Hahahaa! Sio bure Mkuu nawe ni mmoja ya waliokula nyama ya 🐕. 🤪

Ila wale wauzaji wa mjini bana sijui wanaweka nini zile mishikaki kwani unakuta wamezingirwa na wanunuaji kibao halafu hamna anayejali hata ule moshi watu ni kula mishikaki na ndizi kwa kwenda mbele. 🤣🤣🤣
 
Hahahaa! Sio bure Mkuu nawe ni mmoja ya waliokula nyama ya 🐕. 🤪

Ila wale wauzaji wa mjini bana sijui wanaweka nini zile mishikaki kwani unakuta wamezingirwa na wanunuaji kibao halafu hamna anayejali hata ule moshi watu ni kula mishikaki na ndizi kwa kwenda mbele. 🤣🤣🤣
Ahh ndio vitu tunaweza mudu au unadhani kuna mtu anainjoi kula mihogo na dagaa mchele daily, ni bajeti tu hazibajeti 😂😂
 
Nyingi ni nyama ya ngombe waliokufa, paka, mbwa, punda, farasi etc
 
Wanatengenezewa passports wanapelekwa UTURUKI Na CHINA
 
Back
Top Bottom