Mbwa koko wameadimika mtaani

Mbwa koko wameadimika mtaani

Miaka ya nyuma kidogo ilikuwa kila dampo lazima ukute kundi la mbwa likitafuta chakula.

Lkn siku hizi ni ngumu sana kukuta mbwa iwe kwenye madampo au mtaani.

Hawa mbwa wamepata soko au watu wameamua kuwafuga kwa kuwafungia?
Ni baada ya wachina kuongezeka.
 
Ila hivi vitu vya njiani hasa nyama sio za kuziamini ndo maana wanaosafiri na train, kama mtu hajiwezi anapika chakula kingi na anakiweka kwenye post fresh kuliko kulishwa mbwa manyoni 🤣🤣
Kweli kabisa hata mimi naonaga bora kubeba chakula ambacho kwa asilimia 100 unakuwa na uhakika nacho.

Japo sasa hasa nyie Me baadhi bila kula hiyo mishikaki ya njiani wanaona kama hawajasafiri. 😅
 
Kuna baadhi ya maeneo walikua wanapita na kuua mbwa wanaozurura ovyo mtaani...
 
Back
Top Bottom