Mbwa aliyemuuma kingunge

Mbwa aliyemuuma kingunge

hahaa mzee Kingu alikuwa hatambui uwepo wa dini, hata mpwa wake nao hawatambui uwepo wake km owner wakaona wamng'ate tu@What goes around comes around
Kwahiyo wenye dini wanaopata ajali kila kukicha ,kufa kwa kung'atwa na mbu tusemaje ?

Tuseme pia what goes around comes around sio
 
Dunia ya leo bado tunafuga mbwa? zipo spy camera za kila aina. huyo mbwa akibweka anayoka na panga?
Spy camera zinakamata Mwizi usiku au but kwa taarifa yako hata Kwenye sehemu nyeti kuna camera na Kuna mlinzi mbwa ni mlinzi ,ungejua Kazi za mbwa usiku usingeongea hivyo.nina camera Nina silaha but mbwa pia wapi,kuna kipindi usiku mbwa akibweka najua Kuna kitu natoka na cha moto kwenda kuangalia.
 
kwa wafugaji wa mbwa (haswa wa ulinzi sio wa show off) mtakuwa mmelielewa hili suala...

kwa kawaida na mara nyingi sisi tunaofuga haya majibwa (sio mbwa) maana yameshiba kweli kweli huwa tuna kasumba moja ya kumzoesha mbwa watu wasiozidi watatu ndan ya nyumba ili tuuu kuongeza ufanisi wake yani kuna kawaida kuwa mbwa akizoea watu wengi ufanisi (ukali) wake hupungua..

mara nyingi mbwa huzoeshwa watu watatu tuuu watakaokuwa wanampa huduma na kumfungia na kumfungua

ikifika saa nne usiku wote ambao mbwa hajawazoea inabidi msitoke nje sababu ndio mda wa kufunguliwa mbwa.. na kwa waliomzoea wanaamka asubuhi sa kumi na moja kuwafungia mbwa ili watu wengine waendelee na shughuli zao


kilichotokea kwa marehemu mzee kingunge... hao mbwa hawakuwahi hata kumuona kwan wamemzoea kijana wa kazi anayewashughulikia huwa wanafunguliwa saa 4 usiku na kufungiwa saa kumi na moja alfajiri kabla ya wanafamilia kuamka

siku ya tukio kijana anayewapa huduma wale mbwa alipitiwa na usingizi akachelewa kuwafungia huku mzee kingunge akijua kwa muda ule tayar watakuwa wamefungiwa akatoka ili aelekee mazoezin ile tu alipotoka akiwa anakaribia geti hamaadii mbwa wakamuona wakamvamia wakijua ni mwizi sababu hawajawahi kumuona hata siku moja licha ya kuwa yy ndio mwenye nyumba.... kosa sio la mbwa kwan walikuwa wanatimiza jukumu lao kosa ni la kijana wa kazi aliyechelewa kuwafungia hao mbwa
INNA LILLAHI WA INNA ILAYHI RAJIU'UN
WAKATI UKIFIKA HAKUNA ATAKAYE WEZA KUZUWIA, KUWAHISHA WALA KUCHELEWESHA..
MBWA ALIKUA NI SABABU TU.
R.I.P. MZEE.
 
kwa wafugaji wa mbwa (haswa wa ulinzi sio wa show off) mtakuwa mmelielewa hili suala...

kwa kawaida na mara nyingi sisi tunaofuga haya majibwa (sio mbwa) maana yameshiba kweli kweli huwa tuna kasumba moja ya kumzoesha mbwa watu wasiozidi watatu ndan ya nyumba ili tuuu kuongeza ufanisi wake yani kuna kawaida kuwa mbwa akizoea watu wengi ufanisi (ukali) wake hupungua..

mara nyingi mbwa huzoeshwa watu watatu tuuu watakaokuwa wanampa huduma na kumfungia na kumfungua

ikifika saa nne usiku wote ambao mbwa hajawazoea inabidi msitoke nje sababu ndio mda wa kufunguliwa mbwa.. na kwa waliomzoea wanaamka asubuhi sa kumi na moja kuwafungia mbwa ili watu wengine waendelee na shughuli zao


kilichotokea kwa marehemu mzee kingunge... hao mbwa hawakuwahi hata kumuona kwan wamemzoea kijana wa kazi anayewashughulikia huwa wanafunguliwa saa 4 usiku na kufungiwa saa kumi na moja alfajiri kabla ya wanafamilia kuamka

siku ya tukio kijana anayewapa huduma wale mbwa alipitiwa na usingizi akachelewa kuwafungia huku mzee kingunge akijua kwa muda ule tayar watakuwa wamefungiwa akatoka ili aelekee mazoezin ile tu alipotoka akiwa anakaribia geti hamaadii mbwa wakamuona wakamvamia wakijua ni mwizi sababu hawajawahi kumuona hata siku moja licha ya kuwa yy ndio mwenye nyumba.... kosa sio la mbwa kwan walikuwa wanatimiza jukumu lao kosa ni la kijana wa kazi aliyechelewa kuwafungia hao mbwa
Kosa hapo ni la marehemu,kwanini asiwazoee mbwa wanaofugwa nyumbani kwake?
R.I.P mzee wetu
 
kwa wafugaji wa mbwa (haswa wa ulinzi sio wa show off) mtakuwa mmelielewa hili suala...

kwa kawaida na mara nyingi sisi tunaofuga haya majibwa (sio mbwa) maana yameshiba kweli kweli huwa tuna kasumba moja ya kumzoesha mbwa watu wasiozidi watatu ndan ya nyumba ili tuuu kuongeza ufanisi wake yani kuna kawaida kuwa mbwa akizoea watu wengi ufanisi (ukali) wake hupungua..

mara nyingi mbwa huzoeshwa watu watatu tuuu watakaokuwa wanampa huduma na kumfungia na kumfungua

ikifika saa nne usiku wote ambao mbwa hajawazoea inabidi msitoke nje sababu ndio mda wa kufunguliwa mbwa.. na kwa waliomzoea wanaamka asubuhi sa kumi na moja kuwafungia mbwa ili watu wengine waendelee na shughuli zao


kilichotokea kwa marehemu mzee kingunge... hao mbwa hawakuwahi hata kumuona kwan wamemzoea kijana wa kazi anayewashughulikia huwa wanafunguliwa saa 4 usiku na kufungiwa saa kumi na moja alfajiri kabla ya wanafamilia kuamka

siku ya tukio kijana anayewapa huduma wale mbwa alipitiwa na usingizi akachelewa kuwafungia huku mzee kingunge akijua kwa muda ule tayar watakuwa wamefungiwa akatoka ili aelekee mazoezin ile tu alipotoka akiwa anakaribia geti hamaadii mbwa wakamuona wakamvamia wakijua ni mwizi sababu hawajawahi kumuona hata siku moja licha ya kuwa yy ndio mwenye nyumba.... kosa sio la mbwa kwan walikuwa wanatimiza jukumu lao kosa ni la kijana wa kazi aliyechelewa kuwafungia hao mbwa

Mnataka kumwangushia jumba bovu kijana wa watu.

Mbwa anamjua kijana wa kazi kuliko mwenye nyumba wakati kijana wa kazi ni wa kupita, ilitakiwa Mzee mwenye nyumba awe ni mmoja wa aliyezoewa na mbwa.
 
Usiogope, mbwa yulee hakuwa kichaa bali ni shetwani tu alimuingia. Huwezi kumuua mbwa mwaminifu kwa bwanake miaka nenda, miaka rudi. Kabla hamjamuua mbwa, mwulizeni mshana jr
Hili nalo jambo?,maana kweli mbwa hua hamg'ati master wake otherwise kuna namna nyingine
 
kwa wafugaji wa mbwa (haswa wa ulinzi sio wa show off) mtakuwa mmelielewa hili suala...

kwa kawaida na mara nyingi sisi tunaofuga haya majibwa (sio mbwa) maana yameshiba kweli kweli huwa tuna kasumba moja ya kumzoesha mbwa watu wasiozidi watatu ndan ya nyumba ili tuuu kuongeza ufanisi wake yani kuna kawaida kuwa mbwa akizoea watu wengi ufanisi (ukali) wake hupungua..

mara nyingi mbwa huzoeshwa watu watatu tuuu watakaokuwa wanampa huduma na kumfungia na kumfungua

ikifika saa nne usiku wote ambao mbwa hajawazoea inabidi msitoke nje sababu ndio mda wa kufunguliwa mbwa.. na kwa waliomzoea wanaamka asubuhi sa kumi na moja kuwafungia mbwa ili watu wengine waendelee na shughuli zao


kilichotokea kwa marehemu mzee kingunge... hao mbwa hawakuwahi hata kumuona kwan wamemzoea kijana wa kazi anayewashughulikia huwa wanafunguliwa saa 4 usiku na kufungiwa saa kumi na moja alfajiri kabla ya wanafamilia kuamka

siku ya tukio kijana anayewapa huduma wale mbwa alipitiwa na usingizi akachelewa kuwafungia huku mzee kingunge akijua kwa muda ule tayar watakuwa wamefungiwa akatoka ili aelekee mazoezin ile tu alipotoka akiwa anakaribia geti hamaadii mbwa wakamuona wakamvamia wakijua ni mwizi sababu hawajawahi kumuona hata siku moja licha ya kuwa yy ndio mwenye nyumba.... kosa sio la mbwa kwan walikuwa wanatimiza jukumu lao kosa ni la kijana wa kazi aliyechelewa kuwafungia hao mbwa
Asante sana kwa ufafanuzi
 
Atakuwa ana fanyiwa upelelezi ili ahukumiwe miaka 30 kwa kosa la kujeruhi
 
Mnataka kumwangushia jumba bovu kijana wa watu.

Mbwa anamjua kijana wa kazi kuliko mwenye nyumba wakati kijana wa kazi ni wa kupita, ilitakiwa Mzee mwenye nyumba awe ni mmoja wa aliyezoewa na mbwa.
Tabia ya mbwa au mnyama yeyote wa kufugwa anakuwa karibu na anaye muhudumia, yeye hajui kama humo ndani kuna baba mwenye nyumba, mama au watoto labda wao ndio wawe karibu naye ili awazoee vinginevyo matokeo ndio hayo
 
Usiogope, mbwa yulee hakuwa kichaa bali ni shetwani tu alimuingia. Huwezi kumuua mbwa mwaminifu kwa bwanake miaka nenda, miaka rudi. Kabla hamjamuua mbwa, mwulizeni mshana jr

Bwanaake? Huyo mbwa bwanaake alikua mzee kingunge? Hebu fafanua Tafadhali kwani alikua mbwa jike?
 
Watoto wake walishasema kuwa, wakati wa kulala wakishafunga milango, mlinzi huwafungulia. Alfajiri sana, huwafungia bandani. Hao mbwa walikuwa hawamfahamu!
Yote kwa yote, kwa mchango wake kwa Nchi hii, si yeye, wala mke wake tiba zao zingeishia Muhimbili tu! Serikali ingepaswa kuwatafutia tiba hata nje ya Nchi! Na si hivyo tu, hata bendera ya taifa, ilipaswa imlilie kwa nusu mlingoti, hata kwa siku moja, kama si tatu!
Tusilione hili ghorofa ( Tanzania) limesimama hivi, wapo waliojitolea kulijenga!
Kuwa nje ya KIJANI, si sababu ya kunyimwa haki yake!
kwani katiba ya nchi inasemaje kuhusu kushusha bendera nusu mlingoti??? au unataka washushe ili kuilidhisha nafsi ya moyo wako???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom