Bwanaake? Huyo mbwa bwanaake alikua mzee kingunge? Hebu fafanua Tafadhali kwani alikua mbwa jike?
Ukienda pande hizo si lazima hata awe jike. Ila tuseme basi alikuwa master wake haya kuna swali tena?
Bwanaake? Huyo mbwa bwanaake alikua mzee kingunge? Hebu fafanua Tafadhali kwani alikua mbwa jike?
hahaa mzee Kingu alikuwa hatambui uwepo wa dini, hata mpwa wake nao hawatambui uwepo wake km owner wakaona wamng'ate tu@What goes around comes around
AwapiWatoto wake walishasema kuwa, wakati wa kulala wakishafunga milango, mlinzi huwafungulia. Alfajiri sana, huwafungia bandani. Hao mbwa walikuwa hawamfahamu!
Yote kwa yote, kwa mchango wake kwa Nchi hii, si yeye, wala mke wake tiba zao zingeishia Muhimbili tu! Serikali ingepaswa kuwatafutia tiba hata nje ya Nchi! Na si hivyo tu, hata bendera ya taifa, ilipaswa imlilie kwa nusu mlingoti, hata kwa siku moja, kama si tatu!
Tusilione hili ghorofa ( Tanzania) limesimama hivi, wapo waliojitolea kulijenga!
Kuwa nje ya KIJANI, si sababu ya kunyimwa haki yake!
Uchochezi na uchonganishi huuNa wasiwasi wasiojulikana wamepewa uwezo wa kujigeuza mijibwa!
Ikuwa ni ain gani ya mbwa? NI Pit Bull ama?kwa wafugaji wa mbwa (haswa wa ulinzi sio wa show off) mtakuwa mmelielewa hili suala...
kwa kawaida na mara nyingi sisi tunaofuga haya majibwa (sio mbwa) maana yameshiba kweli kweli huwa tuna kasumba moja ya kumzoesha mbwa watu wasiozidi watatu ndan ya nyumba ili tuuu kuongeza ufanisi wake yani kuna kawaida kuwa mbwa akizoea watu wengi ufanisi (ukali) wake hupungua..
mara nyingi mbwa huzoeshwa watu watatu tuuu watakaokuwa wanampa huduma na kumfungia na kumfungua
ikifika saa nne usiku wote ambao mbwa hajawazoea inabidi msitoke nje sababu ndio mda wa kufunguliwa mbwa.. na kwa waliomzoea wanaamka asubuhi sa kumi na moja kuwafungia mbwa ili watu wengine waendelee na shughuli zao
kilichotokea kwa marehemu mzee kingunge... hao mbwa hawakuwahi hata kumuona kwan wamemzoea kijana wa kazi anayewashughulikia huwa wanafunguliwa saa 4 usiku na kufungiwa saa kumi na moja alfajiri kabla ya wanafamilia kuamka
siku ya tukio kijana anayewapa huduma wale mbwa alipitiwa na usingizi akachelewa kuwafungia huku mzee kingunge akijua kwa muda ule tayar watakuwa wamefungiwa akatoka ili aelekee mazoezin ile tu alipotoka akiwa anakaribia geti hamaadii mbwa wakamuona wakamvamia wakijua ni mwizi sababu hawajawahi kumuona hata siku moja licha ya kuwa yy ndio mwenye nyumba.... kosa sio la mbwa kwan walikuwa wanatimiza jukumu lao la ulinzi
Sewa BAR Bugurini?? 😳Nipo bar imeibuka hii mada nikasema nisome zaidi. Asante kwa wachangiaji
Inanikumbushia kesi ya MboweUpelelezi unaendelea na Mbwa tayari yupo kituo cha polisi akisubiri kupandishwa kizimbani muda wowote