View attachment 1543573
Hapo anajiuliza huyu nilishamuona wapi vile mbona kama nishamuona sehemu
asipokutambua vizuri anakupiga tusi kubwa moja ili aendelee na yake ..View attachment 1543573
🤣😅Hapo 👆 anajiuliza huyu nilishamuona wapi vile mbona kama nishamuona sehemu?
Unakimbia mbuzi? Unaishi mitaa gani hapo Kinondoni?Ukiwa na woga waweza kimbia
Wazee wa kuwekea watu 'uso wa mbuzi' kumbe huwa wanamaanisha kama hiyoHii sura ya huyu mbuzi si ngeni sijui nilimuona wapi
😂😂😂😂😂 mbuz wa Dr haoView attachment 1543573
🤣😅Hapo 👆 anajiuliza huyu nilishamuona wapi vile mbona kama nishamuona sehemu?
Aisee na macho alivyoyakaza sasa.Ukiwa na woga waweza kimbia
Yani sijui wa naniNa hujui nani anawafuga wapo tu wanajiongoza
View attachment 1543573
🤣😅Hapo 👆 anajiuliza huyu nilishamuona wapi vile mbona kama nishamuona sehemu?