stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,839
- 22,956
KUKU...Wakuu baada ya kutafakari mda mrefu Mara baada ya kufiwa na makuku yangu matetea 10 licha ya kuwapa madawa nimepata wazo la mbuzi.... Vipi wazoefu wa mfugo huu
KUKU...Wakuu baada ya kutafakari mda mrefu Mara baada ya kufiwa na makuku yangu matetea 10 licha ya kuwapa madawa nimepata wazo la mbuzi.... Vipi wazoefu wa mfugo huu
Karibu sana ktk ufugaji wa Mbuzi, naomba nikushauri kitu mifugo yote pia ina rski kubwa sana hakuna mfugo au ujasiria mali usio kuwa na changamoto, yote inachangamoto zke kikubwa kinacho pashwa kufanywa na mfugaji ni kujua njia mbali mbali za kuzikabili hizo changamoto ndio utavuka.Wakuu baada ya kutafakari mda mrefu Mara baada ya kufiwa na makuku yangu matetea 10 licha ya kuwapa madawa nimepata wazo la mbuzi.... Vipi wazoefu wa mfugo huu
weeeePole sana asee ungekuwa karibu ningekuadress kwa jamaa mmoja kiboko ya wezi.... Anatega tego kwenye eneo lako mwizi akifika tu anachezea fimbo kuanzia hapo mpaka atakaponasuliwa na mtegaji... Gharama ni buku 15 tu na kuku mmoja....
Huyo mwizi akinasa ndiye atakaelipa gharama za mtegaji
Ukifuga mbuzi jiandae kuwa mteja wa mtendaji wa Kijiji kwani kesi za kushtakiwa na majirani zako juu ya uharibifu wa mbuzi ni wa Kila siku
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
naomba hiyo connection tafadhali
Nguruwe kipindi cha nyuma alikua analipa sana ila kuna huu ugonjwa mpya unafyeka sana mbuzi katoliki.VP kuhusu nguruwe