Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 631
Mbuzi anapata masanga?? mwe :A S embarassed:
Huyu NDAFU makofia kamtunza mpaka siku ya 25/12/2012
jamani ladha yake taamu!!!
Jaribu tu kuipata ile chupa,iwe ya bariidiiii,pembeni agiza nyama ya kuchoma na saladi utaona ladha yake ilivyo tamu.Kumbeee eeeh...twambie weee tusojua
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Jaribu tu kuipata ile chupa,iwe ya bariidiiii,pembeni agiza nyama ya kuchoma na saladi utaona ladha yake ilivyo tamu.