Abdillahjr
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 694
- 320
Kwa wale wanaopendelea kitoweo cha nyama ya mbuzi tafadhali piga 0659604089. Mbuzi wapo watano wasiopungua kilo 40 kwa uzito na zaidi, nawauza baada ya sehemU ya kuwafugia kukosekana!!
Kwa wale wanaopendelea kitoweo cha nyama ya mbuzi tafadhali piga 0659604089. Mbuzi wapo watano wasiopungua kilo 40 kwa uzito na zaidi, nawauza baada ya sehemU ya kuwafugia kukosekana!!
40kgs per a head au in total for both 5heads?????????????Kwa wale wanaopendelea kitoweo cha nyama ya mbuzi tafadhali piga 0659604089. Mbuzi wapo watano wasiopungua kilo 40 kwa uzito na zaidi, nawauza baada ya sehemU ya kuwafugia kukosekana!!
Mkuu Dar ndio default so ukiona tangazo kama hilo alafu mtu hajasema yupo mkoa gani just jua tuu kuwa yupo Dsm.Uko wapi mkuu?na nawezaje kuwaona?
Wote ni madume/majike au ni mchanganyiko
Hao mbuzi ni rangi gani?
Mkuu Dar ndio default so ukiona tangazo kama hilo alafu mtu hajasema yupo mkoa gani just jua tuu kuwa yupo Dsm.
Wote ni madume/majike au ni mchanganyiko
40kgs per a head au in total for both 5heads?????????????
Mkuu per a head na sio in total for both,and that is minimum weight,btw mbuzi sio sungura au siri wawe na uzito wa unyoya!!
ntakuchek mkuu nipate hapo mmoja.
Mkuu mbuzi wa kg40 sijawahi kumuona.Mkuu per a head na sio in total for both,and that is minimum weight,btw mbuzi sio sungura au siri wawe na uzito wa unyoya!!
Mkuu mbuzi wa kg40 sijawahi kumuona.
Uzito wa mbuzi mkubwa wa kienyeji dume makisai ukishamchinga ana range 13-16kgs only,so kabla ya kuchinjwa atakua ana range 17-25kg
By the way,tufanye hao wako wana hizo 40kgs kabla ya kumchinja,it means ukimchinja ni around 33-35,jee kwa bei hiyo ya 60,000 huoni kama ni hasara?
Mara ya mwisho nilinunua nyama ya mbuzi k,koo mwaka jana it was 6,000tsh per a kili.Tufanye 5,000x33kgs=165,000.
Jee huoni kwamba unapoteza takribani tsh 105,000?
Dini gani hiyo mkuu?Aya?Kwa kua tunaelimishana atika njia ya kutafuta ukweli basi wacha tufahamishane, kwa ufupi niliwanunua kwa ajili ya kuwafuga so nikachagua mbuzi maalumu lakini kutokana na mataraji ya eneo la kufugia kubadilika matumizi ikanibidi niwauze,niliwanunua shs elfu 40000 kila mmoja na nimewauza zaidi ya hapo, lengo langu halikkua kutengeneza faida bali kufidia pesa na garama yangu na pia kwenye dini yetu kupata faida kubwa sana ni dhambii!!!!