MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Mie mpiga kura wa Ubungo nachukua fursa hii adimu kukukumbusha ahadi yako kuwa utatatua kero ya maji mara utakapokuwa mbunge. Ni sekunde, dakika, saa, siku na miezi imepita haujafanya lolote la maana kukuhusiana na utatuzi wa kero ya maji jimboni mwako!!!! KULIKONI.
Kupitia JF nakuomba chonde chonde rejea kitabu chako cha AHADI, sie kazi yetu ilikuwa ni kukupa kura, nawe ni kutekeleza uliyoahidi.
Pia mbunge wetu uwe karibu na wapiga kura wote ACHA Ubaguzi wa kuwa karibu na wana magwanda tu. Kumbuka wewe ni mbunge wa wote,
Nawasilisha!!!
Kupitia JF nakuomba chonde chonde rejea kitabu chako cha AHADI, sie kazi yetu ilikuwa ni kukupa kura, nawe ni kutekeleza uliyoahidi.
Pia mbunge wetu uwe karibu na wapiga kura wote ACHA Ubaguzi wa kuwa karibu na wana magwanda tu. Kumbuka wewe ni mbunge wa wote,
Nawasilisha!!!