Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
kwanini aliwadanganya wananchi?. Why?!!.
Aliwaambia wananchi wake atalimaliza tatizo la maji. Atalimaliza vipi, kama sio jukumu lake!
Alijuwa kuwa angeweza kuifuatilia serikali itekeleze majukumu yake lakini kumbe serikali yenyewe imeweka big G masikioni.