TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,695
- 2,449
Usiage bana Tatiana, tutakumic
Hahahaaaaa....haya bhana
Usiage bana Tatiana, tutakumic
Bora tena Komba amejisitili, huyu wa ukerewe mwenye jina la la kioo cha kwenye taa ya mafuta na karabai
kitu kizito.hilo dude lina mke kweli?linafanya nini mjengoni?
Mi naona kakosea kuku quote kwa ku panic
Za Mzee wa msituni ni za kitoto mkuu. Hizi mie nimejikuta naita jina la Muumba wangu bila hata kutegemea. :embarassed2:Duh sasa ndio unatupa mzuka au?mbona za mzee wa msituni zilimwaga na thread inaendelea punguza uoga wa ban.
Tisha kabisa
Za Mzee wa msituni ni za kitoto mkuu. Hizi mie nimejikuta naita jina la Muumba wangu bila hata kutegemea. :embarassed2:
Muheshimiwa katisha si kidogo.
.kuna moja amempakata mbebz nadhani kitu kimezama chuuuuubwiiiiiii....
Za Mzee wa msituni ni za kitoto mkuu. Hizi mie nimejikuta naita jina la Muumba wangu bila hata kutegemea. :embarassed2:
Kimezama kwelikweli sio mchezo viongozi wetu noumaaaaaa
Msaada kwenye tuta mkuu pelekeni kwenye jukwaa pendwa lile la chini kabisa kule kuna uhuru safi kabisa,au zungukia PM yasitupite nataka nijue kodi yangu inatumikaje.
Check post zilizopita mkuu, kuna aliejitosa kutupia. Wee Tatii Weee...Njoo huyu anazitaka TATIANA :wink2:Msaada kwenye tuta mkuu pelekeni kwenye jukwaa pendwa lile la chini kabisa kule kuna uhuru safi kabisa,au zungukia PM yasitupite nataka nijue kodi yangu inatumikaje.
Hahahahaaa.... raha hizi... but why hadi wajipige picha???
Mi naomba ruhusa toka kwa Mods nizimwage
Wamejipiga picha sababu ya utamu kuzid maana kusingezid utamu wasingepiga
hebu tupia hizo picha tuone bana